Duuh kwahiyo mapadri si wachungaji!Yule padri wa Kagera ni mkatoliki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh kwahiyo mapadri si wachungaji!Yule padri wa Kagera ni mkatoliki?
Huyu Simbachawene sijui amekula maharagwe ya wapi. Shehe wa Dar alimpigia kampeni Magufuli hadharani hakuona, viongozi wa dini wamekusanywa Dodoma na CCM kumuombea Magufuli hakuona, viongozi wamekuwa wakifanywa dua chini ya udhamini wa CCM na Majaliwa haoni!Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaasa viongozi wa kidini kutojihusisha na kampeni za kisiasa kwa kuwaambia waumini wao kuhusu viongozi wa kuwachagua bali wabaki kuhubiri amani, upendo na umoja
Wizara imesema jumuiya za kijamii na taasisi za dini husajiliwa na Wizara ya Mambo ya ndani kwa mujibu wa Sura ya 337 kama ilivyofanyiwa marekebisho na Sheria Namba 3 ya mwaka 2019
Wizara imesema kiongozi wa dini kutoa maelekezo kwa waumini juu ya mgombea wa kumchagua ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Wizara imewataka viongozi wa dini wazingatie sheria za Jumuiya ambayo inakataza viongozi wa kidini kujihusisha na vitendo hivyo, kwa kuwa vinaingilia uhuru wa kikatiba wa kila mtu kumchugua mgombea anayemtaka.
Simbachawene acha kutuhadaa. Watanzania wanajua sana. Suala la viongozi wa dini kupanda majukwaani na kuomba kura kwa mgomeba fulani si kosa kisheria. Suala hili liachwe kwa mamlaka ya dhehebu husika kuhusu viongozi wake kufanya au kutofanya kampeni.Ila matatizo mengine serkali inayatengeneza,nikwanini wanawaita viongozi wa dini kwenye majukwaa ya kampeni?
Mbona bungeni kuna dua maalum kila siku kukiwa na vikao vya bunge lakini hakuna shehe wala padri anayeomba dua hizo kwenye chombo hicho nyeti.
Acheni kutengeneza matatizo halafu yakawasumbua kuyatatua
Naona hii hali inatengenezwa nchini. Wenye maamuzi ya watanzania wasifike huko ni Tume ya uchaguzi kutenda haki tu...Huu uonevu kuna kitu kinaitwa Arab Springs. Hawawez wakanielewa sababu lugha hawaijui nlotumia. Kuna kitu kingine kinaendelea Nigeria kwa sasa. Hii nayo hawawez jua sababu siasa za kimataifa hawazifatilii.
Ila haya mambo hua yana mwisho wake. Either mbaya au mzuri.
Ajuaye ni MUNGU
Yule ana hadhi moja na musiba,bashite heri James ktk nchi hii hata siro mahera hawezi wagusa Hawa watashinda njaa.Tena naona yule shehe ambaye anahubiri mambo ya Muhamadi na Yesu kwa pamoja wamuite akajieleze.
Amechanganya hata baadhi ya waumini.
Walikua wakifikiri wapinzani hawataungwa mkono na viongozi wa dini.Mbona wamechelewa
Bakwata iliasisiwa na ccm lengo kuu ni kuwanyamazisha waislamu wasidai haki zao.Hivi BAKWATA ni chama cha siasa sio??
Siku wakiondolewa madarakani, watafute pa kujifichaYani cha ajabu matamko hutolewa pale tu wapinzani wakifanya jambo. BAKWATA usiku na mchana inahamasisha watu wachague CCM hilo halikuwa kosa na maisha yaliendelea kama kawaida. Kwa vile Ponda kapanda jukwaa la upinzani basi ghafla sheria imechukuwa mkondo wake.
Hawa jeMzee Ponda na Bagonza Keisha habari yao! Viongozi wasimamie viapo au kama vipi wavue kora wavae magandwa, sio kujificha nyuma ya migongo ya madhabahu!
Nakushauri kwa faida yako ya siku za mbeleni kuwa tafuta chuo kinachofundisha propaganda hata kwa njia ya mtandao ukasome upate ujuzi wa kufanya propaganda!Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Nakushauri kwa faida yako ya siku za mbeleni kuwa tafuta chuo kinachofundisha propaganda hata kwa njia ya mtandao ukasome upate ujuzi wa kufanya propaganda!
Hili unachokifanya sio propaganda Bali ni person attack kwa uliyemlenga na siku akikupatia nafasi ya kukushughulikia utaiona siasa chungu! Kama anakukera mtafute umwambie ana kwa ana! Mr.polepole propaganda ulisomea chuo kipi? Unafeli Sana ndugu!
waswahili daima husema mdharau mwiba humchoma. Daima kila alalae huamka. Tuombe uhai tu tuje kuwa mashahidi watu wakiamka.Huu uonevu kuna kitu kinaitwa Arab Springs. Hawawez wakanielewa sababu lugha hawaijui nlotumia.
Kuna kitu kingine kinaendelea Nigeria kwa sasa. Hii nayo hawawez jua sababu siasa za kimataifa hawazifatilii
Ila haya mambo hua yana mwisho wake. Either mbaya au mzuri. Ajuaye ni MUNGU
Hii barua haina tofauti na toilet paper! Mmeshachelewa Sheikh Ponda keshatoa maelekezo kilichobaki tarehe 28/10/2020 natekeleza maelekezo yake. Kula yangu na familia yangu ni kwa lissuWizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaasa viongozi wa kidini kutojihusisha na kampeni za kisiasa kwa kuwaambia waumini wao kuhusu viongozi wa kuwachagua bali wabaki kuhubiri amani, upendo na umoja
Wizara imesema jumuiya za kijamii na taasisi za dini husajiliwa na Wizara ya Mambo ya ndani kwa mujibu wa Sura ya 337 kama ilivyofanyiwa marekebisho na Sheria Namba 3 ya mwaka 2019
Wizara imesema kiongozi wa dini kutoa maelekezo kwa waumini juu ya mgombea wa kumchagua ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Wizara imewataka viongozi wa dini wazingatie sheria za Jumuiya ambayo inakataza viongozi wa kidini kujihusisha na vitendo hivyo, kwa kuwa vinaingilia uhuru wa kikatiba wa kila mtu kumchugua mgombea anayemtaka.