Uchaguzi 2020 Wizara ya Mambo ya Ndani yawataka Viongozi wa Dini kutofanya kampeni

Uchaguzi 2020 Wizara ya Mambo ya Ndani yawataka Viongozi wa Dini kutofanya kampeni

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Endelea kujifariji.....
 
Wamtume msajili aifute bakwata na usajili wa misikiti yote kama wanajeuri.

Kisha mgeukie na yule askofu anayetembe na Lissu.

Hapo nitawaona wanazingatia matamko yao kiufasaha vinginevyo ni blah blah tu.
 
Viongozi wa Dini wajikite kuhubiri HAKI ndio huzaa AMANI
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Kati ya hao Watanzania labda kama hawako jamii hii ifuatayo
-Walioumizwa na Kikokotoo
-Ndugu zao waliobambikiwa kesi
-Kodi kubwa kwa Wafanyabiashara
-Waliotapeliwa kitambulisho cha Machinga
-Wakulima wa Pamba, Korosho, Mbaazi nk
-Waliotaifishiwa mifugo yao.
-Walionyang'anywa nyavu zao na wengine kukuawa.
-Walionyimwa uhuru wa kuongea (Waandishi wa Habari-ukimtoa tu yule mwenye njaa kali Paskali)

Watanzania watokanao na jamii hii hapo juu..wamesema wao wako na Lissu inyeshe mvua iwake jua !!! Bia yetu tunaomba kura yako mkuu
 
Huo ni uongo unatengenezwa na Chadema mitandaoni

Ila msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Kati ya hao Watanzania labda kama hawako jamii hii ifuatayo
-Walioumizwa na Kikokotoo...
 
Tena naona yule shehe ambaye anahubiri mambo ya Muhamadi na Yesu kwapamoja wamuite akajieleze.

Amechanganya hata baadhi ya waumini.
Waanze na Gwambina eti sorry Gwajima.mchngaji anafanyaje siasa.na serikaki inaruhusu maasikofu kugombea?shida imeanzia hapo bwasheee
 
Tena naona yule shehe ambaye anahubiri mambo ya Muhamadi na Yesu kwapamoja wamuite akajieleze.

Amechanganya hata baadhi ya waumini.
Huyo ni chaguo lao, hii habari inamlenga Ponda na Mwingira.
Nchi majitu ni mapuuzi kiwango cha lami eti.
Ningekuwa mchawi ningeloga accm wengi sana.
Mshana Jr nisaidie plz

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wa dini waliitisha kongamano na mgeni akawa waziri mkuu,lengo la kongamano ni azimio lao la kumuunga mkono JPM katika uchaguzi mkuu huu! Hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya jambo hilo na ilikuwa halali kabisa!...
Haswaa,

Hawa wahuni wasimwonee sheikh Ponda. Pia juzi kulikuwa na kongamano la"AMANI" la akina askofu Gamanywa , askofu Kakobe, BAKWATA, nk pale Golden Tulip wakipiga kampeni kwa ajili ya jiwe huku wakirushwa live na Tbc na Channel ten.

Huu uonevu haukubaliki.. watulie dawa ya rais Lissu iwaingie
 
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaasa viongozi wa kidini kutojihusisha na kampeni za kisiasa kwa kuwaambia waumini wao kuhusu viongozi wa kuwachagua bali wabaki kuhubiri amani, upendo na umoja...
Kabla ya Ponda kuibuka katika kampeni za Lissu mbona hatikuyasikia haya, hatukuona barua hizo wakati Al-Had Mussa na Zuberi wanataradadi na genge lao la kinafiki kwa jina la BAKWATA kwenye kampeni za CCM?

Hatukuisikia hii barua wakati Al-Had Mussa akiwaongoza waislamu kumchagua Magufuli kwa jina la Yesu, acheni double standard mgejua hapo ndio wananchi wanazidi kuwachukia

Kudadeki Ponda kawashika kende shuwaini wakubwa nyie na hao Inzil wenu wa BAKWATA safari hii mnang'oka hata mfanyeje tunawafyeka sisi wananchi ndio tunaamua tumchague nani

Mlijifanya wababe kwa miaka mitano mlifikiri jua linasimama, mkasahau kuwa linazama na kuchomoka kila siku, haya mitano imekwisha mnaanza kujeletaleta na maneno ya sukari

Mwambieni apige PUSH UP si ndio zilimuweka madarakani akajiona mbabe anateka watu, akapoteza watu, akaua watu, aka dhuluma watu Nadhani mnakumbuka balaa la Bureau de Change na dhuluma iliyofanywa na mtoto wake Makonda

Tunakumbuka alivyo bambikia watu kesi za madawa ya kulevya buuure bila sababu akafikiri miaka mi 5 haaishi Mxieusssszzzz atupishe hatumtaki tena aende zake

Kwa kipindi hichi cha kampeni tuburudisheni vijana na CCM Fiesta yenu angalau tuburudike baada ya ukata na ugumu wa maisha kwa miaka mitano then mkimaliza, tarehe 28 October tunawachinjaaaaa kweupeeeeeeee!!!
 
Yani cha ajabu matamko hutolewa pale tu wapinzani wakifanya jambo. BAKWATA usiku na mchana inahamasisha watu wachague CCM hilo halikuwa kosa na maisha yaliendelea kama kawaida. Kwa vile Ponda kapanda jukwaa la upinzani basi ghafla sheria imechukuwa mkondo wake.
Huu uonevu kuna kitu kinaitwa Arab Springs. Hawawez wakanielewa sababu lugha hawaijui nlotumia.
Kuna kitu kingine kinaendelea Nigeria kwa sasa. Hii nayo hawawez jua sababu siasa za kimataifa hawazifatilii
Ila haya mambo hua yana mwisho wake. Either mbaya au mzuri. Ajuaye ni MUNGU
 
Hapo sasa, kwanza wanaombea wanasiasa kwenye mikutano, bungeni ni sehemu ya siasa. Dini na siasa ni part and parcel kwasababu zote zinahusu mustakabari wa maisha ya binadamu.
Kishindo cha shehe Ponda kimetikisa haswa
Pia viongozi wote wa dini na siasa huishi kwa kutegemea jasho la mlalahoi.
 
Huyu alianza zamani, ila kishindo cha Shehe Ponda kimehit mpaka wizara ya mambo ya ndani, TISS, NEC 😂😂
Huu uonevu kuna kitu kinaitwa Arab Springs. Hawawez wakanielewa sababu lugha hawaijui nlotumia. Kuna kitu kingine kinaendelea Nigeria kwa sasa. Hii nayo hawawez jua sababu siasa za kimataifa hawazifatilii.

Ila haya mambo hua yana mwisho wake. Either mbaya au mzuri.

Ajuaye ni MUNGU
 
Hivi viongozi wa kikatoliki kwenye uchaguzi huu mbona hawaonekani kwenye matamko?
Walitenganisha siasa na kazi yao ya kichungaji pale walipomsimamisha yule padri wa kagera! Wao nadhani wamechukua nafasi ya kuwa waangalizi.
 
Kuingilia kati kwa Wizara katika suala hili ni sahihi kabisa. Wizara ingekuwa imetoa onyo hilo mapema zaidi. Ikumbukwe kwamba waumini wanaunga mkono vyama tofauti. Utakuwa unawaweka njia panda wale ambao wanaunga mkono mwanasiasa tofauti na yule unayemhubiria wewe. Hivyo bora kiongozi wa dini ajikite kwenye kuhubiria dini tu ingawa yeye binafsi anabakia na maono yake kuhusu nani atampigia kura. Hiyo ibakie siri yake ili asiwakwaze waumini wake wenye maono tofauti.
Yaani Rashidi Gwajima, aache kuwaomba kura kondoo zake? Kweli? Basi kosa lilikuwa kutokubaliana na maoni ya "wajumbe"
 
Tena naona yule shehe ambaye anahubiri mambo ya Muhamadi na Yesu kwa pamoja wamuite akajieleze.

Amechanganya hata baadhi ya waumini.
Haswaa........

Wangeanza na huyo Sheikh Mkuu wa Dar, Alhad Mussa, ni kwanini yeye habanduki alipo mgombea wa CCM, John Magufuli, kwenye kampeni zake, tena kwa kupewa mic, ili ahutubie hadhara, kama alivyofanya majuzi, kwenye viwanja vya Tanganyika Packers?
 
Back
Top Bottom