Naona na nyie mmenda kuomba kura hukuChadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Mzee Ponda na Bagonza Keisha habari yao! Viongozi wasimamie viapo au kama vipi wavue kora wavae magandwa, sio kujificha nyuma ya migongo ya madhabahu!
Hivi hili tangazo halimuhusu rashid?
Sisi hawapigi kampeni huwa tunawahitaji kufungua kwa maombi basi!Hahahaha kwa chadema tu, ila kwenu nyie ccm ni poa kabisa
Na mimi nilikuwa najiuliza swali kama wewe hapo Rashid haimuhusu kabisa
Sisi hawapigi kampeni huwa tunawahitaji kufungua kwa maombi basi!
Mbona Gwajima anagombea siyo kiongozi wa dini?Yan ilitakiwa watumishi wote wa mungu wasiwe hata kwenye majukwaa wala kwenye vipindi vyovyote vya TV kuongea mambo yoyote ya siasa
Hili tamko limekuja kwa sababu ya Shekhe ponda tu
Hapo kabla mbona hakukuwa na barua za katazo kama hili
Kuingilia kati kwa Wizara katika suala hili ni sahihi kabisa. Wizara ingekuwa imetoa onyo hilo mapema zaidi. Ikumbukwe kwamba waumini wanaunga mkono vyama tofauti.Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaasa viongozi wa kidini kutojihusisha na kampeni za kisiasa kwa kuwaambia waumini wao kuhusu viongozi wa kuwachagua bali wabaki kuhubiri amani, upendo na umoja..
Kuna neno HAKI huwa linarukwa sana kutajwa wanapo ongelea amani na upendo sijui kwanini halitajwi wakati nalo ni muhimu.Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaasa viongozi wa kidini kutojihusisha na kampeni za kisiasa kwa kuwaambia waumini wao kuhusu viongozi wa kuwachagua bali wabaki kuhubiri amani, upendo na umoja...
Hii leo? Ilikuwa wapi siku zote walipokuwa wanatupigia debe CCM? Mkuki mtamu kwa ngurue; kwa binadamu mchunguWizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaasa viongozi wa kidini kutojihusisha na kampeni za kisiasa kwa kuwaambia waumini wao kuhusu viongozi wa kuwachagua bali wabaki kuhubiri amani, upendo na umoja...
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaasa viongozi wa kidini kutojihusisha na kampeni za kisiasa kwa kuwaambia waumini wao kuhusu viongozi wa kuwachagua bali wabaki kuhubiri amani, upendo na umoja...
Endelea kujifariji.....Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Juzi juzi tu hapa Sheikh wa Dar alivyomwombea Kura Magufuli hawakuona....Hii Barua ni kwa ajili ya Sheikh Ponda.. shame on themToo late ....Ndege imesha paa...