Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel imetoa pole kuhusu kifo cha Joshua Mollel, Ubalozi wa Palestine hapa Tanzania umekaa kimya tu


WEWE MGALATIA USIO NA AKILI,TUMIA HATA CHEMBE ULIZONAZO

YEYE AMEKUAMBIA KUWA WAMEPATA TAARIFA KUTOKA UBALOZI WA ISRAEL KUWA HUYO MTZ KAUWAWA NA HAMAS,MIND YOU TAARIFA HIYO IMETOKA KWA ISRAEL HASIMU MKUBWA WA HAMAS...

UNAPROVE VIPI KUWA NI TAARIFA YA KWELI??AU SIMPLY BECAUSE KASEMA ISRAEL WEWE NDIYO UAMINI KUWA NI SAHIHI??

TUAMBIE CHOMBO GANI CHA ZIADA DUNIANI IMERIPOT TAARIFA HIYO ZAIDI YA HUO UBALOZI WA ISRAEL??
 
Kwa hiyo unataka kusemaje?? Watanzania ndio wamefufuliwa?


Mtu ashakufa ashakufa tu, hata yakija maelezo kibao hausaidii kitu
Swala sio kusaidia kufufua... Swala ni kuonyesha kuguswa... Nchi mbili mkishakuwa na ushirikiano lazima yakitokea majanga kama haya kila mmoja anaguswa... Sasa wapalestina wamemuua mtanzania, alafu ubalozi wao hapa Tanzania umekaa kimya tu
 
Wewe jamaa ni bonge moja la gaidi sina Shaka ungekua kwenye lile Kundi la magaidi wenzio ungemkata kichwa kabisa Josh
 
Braza sisi tuna watu wetu wapo pande hizo za Israel... Hao ndio wanatupa mrejesho, wewe umekaa Bonyokwa bila source yoyote ya maana unakuja kuleta habari uchwala... Huyo hapo ni mwanangu yuko Israeli mpaka sasa...

 
Mimi nawashauri kabla ya kusitishwa mapigano huko msiwapeleke. Mazayuni watawaua na wao wawatengenezee mchezo mwengine kama wa hawa vijana.
Bibi kama una connection ya kwenda huko naomba.
 
🥺🥺🥺🥺
 
Wewe jamaa ni bonge moja la gaidi sina Shaka ungekua kwenye lile Kundi la magaidi wenzio ungemkata kichwa kabisa Josh
NIMKATE KICHWA ILI INISAIDIE KITU GANI WEWE KAFIRI??

NAKUULIZA TOA MAJIBU,TUPE UTHIBITISHO KUWA HUYO JAMAA KAULIWA NA HAMAS UNAJAMBA JAMBA TUH HAPA,KAMA HAUJUI KINACHOENDELEA KAA KIMYA MUIMBA KWAYA WEWE
 
Ingekuwa Serikali inayo jali,huyo balozi angetimuliwa
 
NIMKATE KICHWA ILI INISAIDIE KITU GANI WEWE KAFIRI??

NAKUULIZA TOA MAJIBU,TUPE UTHIBITISHO KUWA HUYO JAMAA KAULIWA NA HAMAS UNAJAMBA JAMBA TUH HAPA,KAMA HAUJUI KINACHOENDELEA KAA KIMYA MUIMBA KWAYA WEWE
Ndio maana nasema wewe ni gaidi tu mfuasi wa Mudi na Allahu Akbaru unatetea magaidi sababu wanamtaja Allahu Akbaru au sio?
 
Ni kikundi cha wapiganaji lakini sio mamlaka ya Palestina....Ni kama M23 huko DRC waue raia kisha uanze kuwalaumu Wacongo wote
HAMAS ni wapalestina ambao wako chini ya kivuli cha kundi la PLO (Palestine Liberation Organization), kuna interview ya mtoto wa kiongozi wa kundi hilo anaelezea kundi hilo linavyofanya kazi.... Mipango ya M23 na mipango ya Hamas ni vitu viwili tofauti... Jeshi la Congo lenyewe linapigana na hao hao M23, ila Jeshi la Palestine ndilo hilo hilo jeshi la HAMAS na linapewa Support na serikali ya Palestina na nchi za uarabuni
 
KUNIITA MIMI GAIDI TU HAITOSHI,JARIBU KUELEWA HIKI NINACHOKUELEZA BASI WEWE KAFIRI.

KUTAMKA NENO ALLAHU AKBAR,YEYOTE ANAWEZA TAMKA,NI KAMA VILE AMBAVYO MTU ANAWEZA TAMKA JESUS CHRIST MUNGU WAKO YULE ULIEMTUNDIKA MSALABANI NA KILE KICHUPI CHAKE SAWA...

KWAHIYO UNAPOKUJA HAPA UJE NA PROOF KUWA NI KWELI HAMAS WAMEFANYA MAUAJI NA SIYO KUEGEMEA TAARIFA YA UBALOZI WA ISRAEL,HUO NI UPUMBAVU
 
Wafuga Majini magaidi na mavaa kobazi tangu lini yakatoa pole
 
Wewe ni gaidi yaani kusupport tu mauaji yale yalivyofanywa na kusema ni propaganda wakati vyanzo halisi vinasema tukio kweli limetokea na wahusika ni hao magaidi na wewe unawakingia kifua wewe gaidi tu sema Allahu Akbaru maana yake Mimi ni gaidi
 
Ndio maana nasema wewe ni gaidi tu mfuasi wa Mudi na Allahu Akbaru unatetea magaidi sababu wanamtaja Allahu Akbaru au sio?
NOW DAYS JF WATOTO NI WENGI SANA,MNATUPA KAZI SANA KUWAELEKEZA VITU NYINYI NGUCHIRO,KATIKA HALI YA KAWAIDA MIJADALA KAMA HII MNGEIFANYA HUKO FACEBOOK AU INSTAGRAM ETC,MTU NA AKILI ZAKE TIMAMU UNAWEZA VIPI DISCUSS ISHU YA ALLAHU AKBAR UKAPROVE KUWA ETI KWA KUWA IMETAMKWA HIVYO BASI WALIOFANYA NI WAISLAM,MEANS HATA BIBLE YAKO UNASHINDWA KUSOMA NA KUONA HAWA WAKRISTO WENZAKO UARABUNI WANATUMIA THE SAME WORD??HATA KUGOOGLE TU BASI UNASHINDWA??MAKAFIR VICHWA MBOVU SANA
 
Ushahamisha topic unaanza kufanya ugaidi mwingine au sio unataka kufanya character assassination au sio? Gaidi mkubwa wewe
 
Serikali yetu ndio tatizo kuendelea kuwakumbatia palestina na wakati hawana faida yoyote kwa nchi yetu, ilitakiwa hadi sasa hivi balozi wao awe ameitwa kutoa majibu yanajitosheleza kuhusiana na vifo vya hao watanzania wenzetu, na wakishindwa kutoa majibu ya kueleweka watolewe nduki tuu hawana faida yoyote washenzi kabisa wale
 
May God bless Israel. Tanzania inaziogopa nchi za kiarabu, nyingi ni za kiislam/OIC. Kama si woga na kujipendekeza sana kwa waarabu huyo balozi angelazimika kutoa maelezo ya kina kuhusu raia wa Tanzania kushikiliwa mateka na kikundi cha kipalestina cha hamas. Yangefanyika maandamano makubwa kuelekea ubalozi wa palestina. Kwani Tanzania inahusikaje na mzozo wao na Israel hadi wateke raia wa Tanzania na kisha kuwaua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…