Wizara ya Mazingira fanyeni kazi yenu sawa sawa nchi inageuka Jalala kwa kasi

Wizara ya Mazingira fanyeni kazi yenu sawa sawa nchi inageuka Jalala kwa kasi

Nchi yetu kwa ujumla wake ni chafu, unatembea mtaa mzima hakuna sehemu ya kuweka taka unategemea nini? Nitembee na chupa tupu ya maji wakati nilishamaliza kunywa?

Kifupi hata wewe ukipewa madaraka au nafasi ya kuongoza, unless uwe na uthubutu wa yule mwamba, otherwise ni yale yale tu.
 
Yaani jinsi serikali hii inavyofeli katika kumanage vitu basic kama hivi, hapo ndo ujue kuwa kamwe hawewezi kumanage vitu vikubwa, na complex vya kitaifa vya maendeleo ya kiuchumi!
 
Nimetembelea jiji la Dar es salaam, kwa kweli hali niliyokutana nayo inasikitisha sana. Mpaka ikabidi nijiulize hii wizara inayohusika na mazingira iko wapi na inafanya nini?

1. Mifuko ya Plastic mitaani zimekuwa nyingi sana.
Miaka michache iliyopita wakati wa Utawala wa Hayati Magufuli serikali ilijaribu kupunguza kiwango cha mifuko ya plastic nchini, kwa kweli hilo lilisaidia sana. Lakini hivi sasa mifuko ya plastic imerudi tena, na inazagaa mitaani.
Kuna mifuko ya aina fulani ya plastic inauzwa kati ya sh 300 na 500, iliyoletwa kureplace mifuko ya nailoni nayo imekuwa kero sana. Imezagaa tele mitaani.
Aina nyingine za mifuko ya plastic niliyoiona ni mifuko ya sabuni ya unga, vifungashio mbalimbali

2. Chupa za Plastic zimekuwa nyingi sana.
Sasa hivi kuna chupa za energy drinks, Vikombe vya plastic vya juice, chupa za plastic za soda, hizi zimezagaa mitaani kama njugu. Kwa kweli kila mtaa unaopita hivi sasa unakuta chupa za namna hiyo zimezagaa

3. Foil za chakula za takeaway
Hili nalo ni tatizo kubwa mno. Siku hizi mtu akiagiza chakula anafungiwa kwenye take away au foil. Hizi taka nazo ni ngumu sana kuoza. Leo hii ukizunguuka mitaani, kumejazana hizi foil

4. Chupa za pombe
Leo hii wauza pombe zikiwemo pubs hawajisumbui kutafuta mahali sahihi pa kutupa chupa zao baada ya wateja kunywa pombe. miongoni mwa chupa hizo ni zile za Wine, Pombe kali kama vile K-Vant na nyinginezo. Matokeo yake wanavizia usiku wanaenda kutupa katika mitaa ya jirani

4. Uchomaji taka usio salama kwa afya wakithiri.
Leo hii ukipita katika mitaa, kwa sababu ya accumulation ya taka, basi raia wanajichomea taka kila mtu kadri anavyotaka. Lakini kitendo hicho ni hatari sana,baadhi ya taka kama vile plastic na foils zinatoa kemikali ambazo ni hatari sana kwa mapafu na inaweza kupelekea magonjwa ya kutopumua vizuri au kansa. Japo kufanya hivyo ni kinyume cha sheria za serikali za mitaa,lakini serikali insonekana imelala, watu wanachoma taka na kuhatarisha afya ya jamii kwa kiwango cha kutisha sana.

5. Upikaji chakula usiozingatia afya ya walaji.
Leo hii ukizunguuka mitaani kuna staili ya mapishi ambayo ni hatari sana kwa afya. Mama lishe wanapika wali huku wakiufunikia manailoni. Wao wanaamini wakifanya hivyo ndo unaiva haraka.Lakini athari ya hayo ni makemikali ya plastic baasa ya kupata joto kuvujia ktk chakula na kupelekea maradhi mengi ikiwemo kansa. Sasa hivi nchini kuna ongezeko kubwa la ugonjwa wa kansa, huenda miongoni mwa sababu ni lifestyle ya namna hii.

Huu ni wakati wa serikali kuamka. Nchi kwa kasi sana inageuka jalala. Waziri wa Mazingira uko wapi, timiza wajibu wako!
Tatizo kubwa LA nchi hii Ni UPIGAJI na TAMAA.

Kazi ya Usimamizi wa masuala ya USAFI wa MAZINGIRA na usimamizi wa sheria za mazingira ulikuwa unafanyika vizuri sana chini ya Halmashauri kupitia Maafisa Afya Mazingira ( Bwana na Bibi Afya ).

Baadaye, ilivyokuja kuonekana Luna pesa za ushuru wa taka na fine, kikatengenezwa Kitengo ndani ya Halmashauri chini ya DED kinaitwa Mazingira na Taka ngumu wakati huo huo, hawa Maafisa Afya wao wako chini ya Idara ya Afya.

Kitengo cha Mazingira wakawepo watu wa Mazingira ambao hawana man power mitaani.

Na to make things worse, pesa za taka zenyewe zinaenda kwenye majukumu mengine ikiwemo kulipa posho madiwani.

Yaani nchi hii ukifikiria unaweza kudhani hakuna MTU mwenye akili kabisa.
 

Attachments

  • Screenshot_20221009-103030.png
    Screenshot_20221009-103030.png
    64 KB · Views: 5
Nchi yetu kwa ujumla wake ni chafu, unatembea mtaa mzima hakuna sehemu ya kuweka taka unategemea nini? Nitembee na chupa tupu ya maji wakati nilishamaliza kunywa?

Kifupi hata wewe ukipewa madaraka au nafasi ya kuongoza, unless uwe na uthubutu wa yule mwamba, otherwise ni yale yale tu.
Umejibu vema ila sentence zako mbili za mwisho zime wind me down, yes ni wajibu wa Halmashauri kuweka hizi bins kwa kila nyumba na mitaani, nakumbuka Mr.Mrema (rip)alijaribu hili ila matokeo yake yakawa ovyo, zile takataka hazikuzolewa kwa wakati
 
Nimetembelea jiji la Dar es salaam, kwa kweli hali niliyokutana nayo inasikitisha sana. Mpaka ikabidi nijiulize hii wizara inayohusika na mazingira iko wapi na inafanya nini?

1. Mifuko ya Plastic mitaani imekuwa mingi sana.
Miaka michache iliyopita wakati wa Utawala wa Hayati Magufuli serikali ilijaribu kupunguza kiwango cha mifuko ya plastic nchini, kwa kweli hilo lilisaidia sana. Lakini hivi sasa mifuko ya plastic imerudi tena, na inazagaa mitaani.
Kuna mifuko ya aina fulani ya plastic inauzwa kati ya sh 300 na 500, iliyoletwa kureplace mifuko ya nailoni nayo imekuwa kero sana. Imezagaa tele mitaani.
Aina nyingine za mifuko ya plastic niliyoiona ni mifuko ya sabuni ya unga, vifungashio mbalimbali

2. Chupa za Plastic zimekuwa nyingi sana.
Sasa hivi kuna chupa za energy drinks, Vikombe vya plastic vya juice, chupa za plastic za soda, hizi zimezagaa mitaani kama njugu. Kwa kweli kila mtaa unaopita hivi sasa unakuta chupa za namna hiyo zimezagaa

3. Foil za chakula za takeaway
Hili nalo ni tatizo kubwa mno. Siku hizi mtu akiagiza chakula anafungiwa kwenye take away au foil. Hizi taka nazo ni ngumu sana kuoza. Leo hii ukizunguuka mitaani, kumejazana hizi foil

4. Chupa za pombe
Leo hii wauza pombe zikiwemo pubs hawajisumbui kutafuta mahali sahihi pa kutupa chupa zao baada ya wateja kunywa pombe. miongoni mwa chupa hizo ni zile za Wine, Pombe kali kama vile K-Vant na nyinginezo. Matokeo yake wanavizia usiku wanaenda kutupa katika mitaa ya jirani

4. Uchomaji taka usio salama kwa afya wakithiri.
Leo hii ukipita katika mitaa, kwa sababu ya accumulation ya taka, basi raia wanajichomea taka kila mtu kadri anavyotaka. Lakini kitendo hicho ni hatari sana,baadhi ya taka kama vile plastic na foils zinatoa kemikali ambazo ni hatari sana kwa mapafu na inaweza kupelekea magonjwa ya kutopumua vizuri au kansa. Japo kufanya hivyo ni kinyume cha sheria za serikali za mitaa,lakini serikali insonekana imelala, watu wanachoma taka na kuhatarisha afya ya jamii kwa kiwango cha kutisha sana.

5. Upikaji chakula usiozingatia afya ya walaji.
Leo hii ukizunguuka mitaani kuna staili ya mapishi ambayo ni hatari sana kwa afya. Mama lishe wanapika wali huku wakiufunikia manailoni. Wao wanaamini wakifanya hivyo ndo unaiva haraka.Lakini athari ya hayo ni makemikali ya plastic baasa ya kupata joto kuvujia ktk chakula na kupelekea maradhi mengi ikiwemo kansa. Sasa hivi nchini kuna ongezeko kubwa la ugonjwa wa kansa, huenda miongoni mwa sababu ni lifestyle ya namna hii.

Huu ni wakati wa serikali kuamka. Nchi kwa kasi sana inageuka jalala. Waziri wa Mazingira uko wapi, timiza wajibu wako!
Mzee uzi nau support bahati mbaya sina aatachment ( picha) ila kama kuna mtu amepita pale stand ya NZEGA atakuwa shahidi ..yaani stand imetawaliwa na vi plastik vilivyo zagaa eneo la stand and NO BODY CARES

Hii component ya mazingira ni kama tunajifanyaga hatuijui..ata ukienda ktk halmashauri zetu ipo idara ya mazingira lkn haieleweki mara iitwe afya na mazingira mara misitu na nyuki
 
Wanahangaika kwenda nje kutangaza utalii lakini nchi yenyewe chafuuu.

Matokeo yake hata hao watalii wakija wanatuona kituko na mauchafuuchafu yetu!
 
Ili kuondoa uchafu mmoja wapo ni wafanyao biashara kando ya barabara na kwenye miundombinu ya barabara kuondolewa.
Wakiondolewa hao, wanasiasa wataleta siasa
 
Kuna mji unaitwa bwanga uko chato,mji mchafu ule sijawahi kuona,mji wote unanuka mikojo,vinyesi na maji machafu yanayotiririka
 
Tatizo kubwa LA nchi hii Ni UPIGAJI na TAMAA.

Kazi ya Usimamizi wa masuala ya USAFI wa MAZINGIRA na usimamizi wa sheria za mazingira ulikuwa unafanyika vizuri sana chini ya Halmashauri kupitia Maafisa Afya Mazingira ( Bwana na Bibi Afya ).

Baadaye, ilivyokuja kuonekana Luna pesa za ushuru wa taka na fine, kikatengenezwa Kitengo ndani ya Halmashauri chini ya DED kinaitwa Mazingira na Taka ngumu wakati huo huo, hawa Maafisa Afya wao wako chini ya Idara ya Afya.

Kitengo cha Mazingira wakawepo watu wa Mazingira ambao hawana man power mitaani.

Na to make things worse, pesa za taka zenyewe zinaenda kwenye majukumu mengine ikiwemo kulipa posho madiwani.

Yaani nchi hii ukifikiria unaweza kudhani hakuna MTU mwenye akili kabisa.
Duh! Kweli ccm haitufai kabisa
 
Nimetembelea jiji la Dar es salaam, kwa kweli hali niliyokutana nayo inasikitisha sana. Mpaka ikabidi nijiulize hii wizara inayohusika na mazingira iko wapi na inafanya nini?

1. Mifuko ya Plastic mitaani imekuwa mingi sana.
Miaka michache iliyopita wakati wa Utawala wa Hayati Magufuli serikali ilijaribu kupunguza kiwango cha mifuko ya plastic nchini, kwa kweli hilo lilisaidia sana. Lakini hivi sasa mifuko ya plastic imerudi tena, na inazagaa mitaani.
Kuna mifuko ya aina fulani ya plastic inauzwa kati ya sh 300 na 500, iliyoletwa kureplace mifuko ya nailoni nayo imekuwa kero sana. Imezagaa tele mitaani.
Aina nyingine za mifuko ya plastic niliyoiona ni mifuko ya sabuni ya unga, vifungashio mbalimbali

2. Chupa za Plastic zimekuwa nyingi sana.
Sasa hivi kuna chupa za energy drinks, Vikombe vya plastic vya juice, chupa za plastic za soda, hizi zimezagaa mitaani kama njugu. Kwa kweli kila mtaa unaopita hivi sasa unakuta chupa za namna hiyo zimezagaa

3. Foil za chakula za takeaway
Hili nalo ni tatizo kubwa mno. Siku hizi mtu akiagiza chakula anafungiwa kwenye take away au foil. Hizi taka nazo ni ngumu sana kuoza. Leo hii ukizunguuka mitaani, kumejazana hizi foil

4. Chupa za pombe
Leo hii wauza pombe zikiwemo pubs hawajisumbui kutafuta mahali sahihi pa kutupa chupa zao baada ya wateja kunywa pombe. miongoni mwa chupa hizo ni zile za Wine, Pombe kali kama vile K-Vant na nyinginezo. Matokeo yake wanavizia usiku wanaenda kutupa katika mitaa ya jirani

4. Uchomaji taka usio salama kwa afya wakithiri.
Leo hii ukipita katika mitaa, kwa sababu ya accumulation ya taka, basi raia wanajichomea taka kila mtu kadri anavyotaka. Lakini kitendo hicho ni hatari sana,baadhi ya taka kama vile plastic na foils zinatoa kemikali ambazo ni hatari sana kwa mapafu na inaweza kupelekea magonjwa ya kutopumua vizuri au kansa. Japo kufanya hivyo ni kinyume cha sheria za serikali za mitaa,lakini serikali insonekana imelala, watu wanachoma taka na kuhatarisha afya ya jamii kwa kiwango cha kutisha sana.

5. Upikaji chakula usiozingatia afya ya walaji.
Leo hii ukizunguuka mitaani kuna staili ya mapishi ambayo ni hatari sana kwa afya. Mama lishe wanapika wali huku wakiufunikia manailoni. Wao wanaamini wakifanya hivyo ndo unaiva haraka.Lakini athari ya hayo ni makemikali ya plastic baasa ya kupata joto kuvujia ktk chakula na kupelekea maradhi mengi ikiwemo kansa. Sasa hivi nchini kuna ongezeko kubwa la ugonjwa wa kansa, huenda miongoni mwa sababu ni lifestyle ya namna hii.

Huu ni wakati wa serikali kuamka. Nchi kwa kasi sana inageuka jalala. Waziri wa Mazingira uko wapi, timiza wajibu wako!
Hilo namba 1 ni uongo mbona huku kwetu sioni hiyo mifuko?

Mengine ni sawa kabisa ila nakushangaa unaacha masuala muhimu yanayoharibu vyanzo vya maji na misitu nacho ni ufugaji wa kienyeji wa kuhama hama..

Mwisho Serikali imebuni mkaa mbadala wa Makaa ya Mawe lakini hakuna anaesisitiza matumizi ya huo mkaa uzalishwe mwingi na kuzuia kukata miti.
 
Mada nzuri Sana kaka.uchafu wa miji yetu unareflect hatuna viongozi kabisaa nchi inajiongoza.
 
Wabongo tumeshindwa kujisimamia hadi katika usafi wetu! Iko shida mahali.
Inasikitisha sana.
 
Nchi yetu kwa ujumla wake ni chafu, unatembea mtaa mzima hakuna sehemu ya kuweka taka unategemea nini? Nitembee na chupa tupu ya maji wakati nilishamaliza kunywa?

Kifupi hata wewe ukipewa madaraka au nafasi ya kuongoza, unless uwe na uthubutu wa yule mwamba, otherwise ni yale yale tu.
Atufigwegwe god šŸ˜„šŸ˜„
 
Hiyo ni attitude ya watu, sio serikali.
Serikali kuu ikusimamie hadi utupaji wa taka?

Watu wa mtaa husika kama mnajielewa mnajiwekea utaratibu na kuhakikisha unafuatwa tu, sio Waziri

Hiyo wizara ina staff wangapi hadi waje kusimamia kila mtaa!
Watanzania sio wastaarabu kiasili huu ndo ukweli mchungu na sababu nyingine kutokuwepo kwa upangaji miji inakua ni ngumu sana kudeal na takataka in short dar es salaam ni mji mchafu sana

Kuna migahawa mingi hata choo haina
 
Wabongo tumeshindwa kujisimamia hadi katika usafi wetu! Iko shida mahali.
Inasikitisha sana.
Kuna miaka flani nilikua nimepanga hadi kuosha choo watu wanataka waekew ratiba na kukumbushwa kama watoto ustaarabu bado sana kwa Tanzania
 
Mtoa mada umeeleweka sana.

Serikali iweke sheria kali..

Kuhusu energy drinks, zile chupa zao waokota makopo wahazitaki, hivyo jukumu iwe kwa makampuni yazalishayo hizo bidhaa, yaweke wakusanyaji...
Chupa nyeupe zinaokotwa sana.

Karatasi, bado serikali yetu haijaweka msisitizo, yatakiwa isiruhusu mifuko ya aina yoyote ambayo ni poly au plastic

Kuhusu mapishi, wateja ni wengi hivyo ni swala la walaji kuamua kuhusu afya zao
Serikali inahitaji kufanya utafiti how Rwanda wameweza. Kigali ni safi kuliko hata baadhi ya miji mikubwa ya ulaya. Pili uchafu ni mindset .umuhimu wa kusafisha mazingira ufundishwe kuanzia elementary schools.kuna nchi huwezi tupa takataka mtoto wa miaka minne akakuacha its just civilization issue .mamlaka zichukue hatua maendeleo yanakuwa defined na mambo mengi la sivyo kuweka ma structure kwenye mi watu michafu haina maana .viongozi fanyeni hata tour hapo Rwanda mkajifunze .ni aibu
 
Nimesoma Ila sijaelewa
Huwezi elewa mada za namna hii mtu wa kaliba yako uliekulia tandale!! Mnakula sebleni huku mbele ya kibaraza chenu kuna mtu anaoga maji machafu yanatiririkia kwenu... ukiingia chumbani kwenu dirisha linatizamana na jalala la jirani yenu... kando kidogo ya kwenu kuna madimbwi ya maji yaliyojaa uchafu unaonuka na condoms zilizotumika kwenye ma guest houses.... kwa hali hii utaelewa vipi mada hii?
 
Serikali itoe amri ya kufanya usafi siku moja kwa saa nane Kila mtu. Inaweza kuwa ijumaa ili siku nyingine watu wafanye kazi. Pia makampuni yanayozalisha uchafu wa plastic wasipewe kibali bila kuweka mpango wao wa kupunguza uchafu
 
Back
Top Bottom