Pampaz, na mipedi ya kina Dream Queen inachafua environmentHujaolewa nini,kuwa unapika mazingira yasiyo salama,unachagua mazingira na foil za take away,au na chupa,au zile za plastiki na hutaki kuambiwa ukweli🥱
Tatizo kubwa LA nchi hii Ni UPIGAJI na TAMAA.Nimetembelea jiji la Dar es salaam, kwa kweli hali niliyokutana nayo inasikitisha sana. Mpaka ikabidi nijiulize hii wizara inayohusika na mazingira iko wapi na inafanya nini?
1. Mifuko ya Plastic mitaani zimekuwa nyingi sana.
Miaka michache iliyopita wakati wa Utawala wa Hayati Magufuli serikali ilijaribu kupunguza kiwango cha mifuko ya plastic nchini, kwa kweli hilo lilisaidia sana. Lakini hivi sasa mifuko ya plastic imerudi tena, na inazagaa mitaani.
Kuna mifuko ya aina fulani ya plastic inauzwa kati ya sh 300 na 500, iliyoletwa kureplace mifuko ya nailoni nayo imekuwa kero sana. Imezagaa tele mitaani.
Aina nyingine za mifuko ya plastic niliyoiona ni mifuko ya sabuni ya unga, vifungashio mbalimbali
2. Chupa za Plastic zimekuwa nyingi sana.
Sasa hivi kuna chupa za energy drinks, Vikombe vya plastic vya juice, chupa za plastic za soda, hizi zimezagaa mitaani kama njugu. Kwa kweli kila mtaa unaopita hivi sasa unakuta chupa za namna hiyo zimezagaa
3. Foil za chakula za takeaway
Hili nalo ni tatizo kubwa mno. Siku hizi mtu akiagiza chakula anafungiwa kwenye take away au foil. Hizi taka nazo ni ngumu sana kuoza. Leo hii ukizunguuka mitaani, kumejazana hizi foil
4. Chupa za pombe
Leo hii wauza pombe zikiwemo pubs hawajisumbui kutafuta mahali sahihi pa kutupa chupa zao baada ya wateja kunywa pombe. miongoni mwa chupa hizo ni zile za Wine, Pombe kali kama vile K-Vant na nyinginezo. Matokeo yake wanavizia usiku wanaenda kutupa katika mitaa ya jirani
4. Uchomaji taka usio salama kwa afya wakithiri.
Leo hii ukipita katika mitaa, kwa sababu ya accumulation ya taka, basi raia wanajichomea taka kila mtu kadri anavyotaka. Lakini kitendo hicho ni hatari sana,baadhi ya taka kama vile plastic na foils zinatoa kemikali ambazo ni hatari sana kwa mapafu na inaweza kupelekea magonjwa ya kutopumua vizuri au kansa. Japo kufanya hivyo ni kinyume cha sheria za serikali za mitaa,lakini serikali insonekana imelala, watu wanachoma taka na kuhatarisha afya ya jamii kwa kiwango cha kutisha sana.
5. Upikaji chakula usiozingatia afya ya walaji.
Leo hii ukizunguuka mitaani kuna staili ya mapishi ambayo ni hatari sana kwa afya. Mama lishe wanapika wali huku wakiufunikia manailoni. Wao wanaamini wakifanya hivyo ndo unaiva haraka.Lakini athari ya hayo ni makemikali ya plastic baasa ya kupata joto kuvujia ktk chakula na kupelekea maradhi mengi ikiwemo kansa. Sasa hivi nchini kuna ongezeko kubwa la ugonjwa wa kansa, huenda miongoni mwa sababu ni lifestyle ya namna hii.
Huu ni wakati wa serikali kuamka. Nchi kwa kasi sana inageuka jalala. Waziri wa Mazingira uko wapi, timiza wajibu wako!
Umejibu vema ila sentence zako mbili za mwisho zime wind me down, yes ni wajibu wa Halmashauri kuweka hizi bins kwa kila nyumba na mitaani, nakumbuka Mr.Mrema (rip)alijaribu hili ila matokeo yake yakawa ovyo, zile takataka hazikuzolewa kwa wakatiNchi yetu kwa ujumla wake ni chafu, unatembea mtaa mzima hakuna sehemu ya kuweka taka unategemea nini? Nitembee na chupa tupu ya maji wakati nilishamaliza kunywa?
Kifupi hata wewe ukipewa madaraka au nafasi ya kuongoza, unless uwe na uthubutu wa yule mwamba, otherwise ni yale yale tu.
Mzee uzi nau support bahati mbaya sina aatachment ( picha) ila kama kuna mtu amepita pale stand ya NZEGA atakuwa shahidi ..yaani stand imetawaliwa na vi plastik vilivyo zagaa eneo la stand and NO BODY CARESNimetembelea jiji la Dar es salaam, kwa kweli hali niliyokutana nayo inasikitisha sana. Mpaka ikabidi nijiulize hii wizara inayohusika na mazingira iko wapi na inafanya nini?
1. Mifuko ya Plastic mitaani imekuwa mingi sana.
Miaka michache iliyopita wakati wa Utawala wa Hayati Magufuli serikali ilijaribu kupunguza kiwango cha mifuko ya plastic nchini, kwa kweli hilo lilisaidia sana. Lakini hivi sasa mifuko ya plastic imerudi tena, na inazagaa mitaani.
Kuna mifuko ya aina fulani ya plastic inauzwa kati ya sh 300 na 500, iliyoletwa kureplace mifuko ya nailoni nayo imekuwa kero sana. Imezagaa tele mitaani.
Aina nyingine za mifuko ya plastic niliyoiona ni mifuko ya sabuni ya unga, vifungashio mbalimbali
2. Chupa za Plastic zimekuwa nyingi sana.
Sasa hivi kuna chupa za energy drinks, Vikombe vya plastic vya juice, chupa za plastic za soda, hizi zimezagaa mitaani kama njugu. Kwa kweli kila mtaa unaopita hivi sasa unakuta chupa za namna hiyo zimezagaa
3. Foil za chakula za takeaway
Hili nalo ni tatizo kubwa mno. Siku hizi mtu akiagiza chakula anafungiwa kwenye take away au foil. Hizi taka nazo ni ngumu sana kuoza. Leo hii ukizunguuka mitaani, kumejazana hizi foil
4. Chupa za pombe
Leo hii wauza pombe zikiwemo pubs hawajisumbui kutafuta mahali sahihi pa kutupa chupa zao baada ya wateja kunywa pombe. miongoni mwa chupa hizo ni zile za Wine, Pombe kali kama vile K-Vant na nyinginezo. Matokeo yake wanavizia usiku wanaenda kutupa katika mitaa ya jirani
4. Uchomaji taka usio salama kwa afya wakithiri.
Leo hii ukipita katika mitaa, kwa sababu ya accumulation ya taka, basi raia wanajichomea taka kila mtu kadri anavyotaka. Lakini kitendo hicho ni hatari sana,baadhi ya taka kama vile plastic na foils zinatoa kemikali ambazo ni hatari sana kwa mapafu na inaweza kupelekea magonjwa ya kutopumua vizuri au kansa. Japo kufanya hivyo ni kinyume cha sheria za serikali za mitaa,lakini serikali insonekana imelala, watu wanachoma taka na kuhatarisha afya ya jamii kwa kiwango cha kutisha sana.
5. Upikaji chakula usiozingatia afya ya walaji.
Leo hii ukizunguuka mitaani kuna staili ya mapishi ambayo ni hatari sana kwa afya. Mama lishe wanapika wali huku wakiufunikia manailoni. Wao wanaamini wakifanya hivyo ndo unaiva haraka.Lakini athari ya hayo ni makemikali ya plastic baasa ya kupata joto kuvujia ktk chakula na kupelekea maradhi mengi ikiwemo kansa. Sasa hivi nchini kuna ongezeko kubwa la ugonjwa wa kansa, huenda miongoni mwa sababu ni lifestyle ya namna hii.
Huu ni wakati wa serikali kuamka. Nchi kwa kasi sana inageuka jalala. Waziri wa Mazingira uko wapi, timiza wajibu wako!
Duh! Kweli ccm haitufai kabisaTatizo kubwa LA nchi hii Ni UPIGAJI na TAMAA.
Kazi ya Usimamizi wa masuala ya USAFI wa MAZINGIRA na usimamizi wa sheria za mazingira ulikuwa unafanyika vizuri sana chini ya Halmashauri kupitia Maafisa Afya Mazingira ( Bwana na Bibi Afya ).
Baadaye, ilivyokuja kuonekana Luna pesa za ushuru wa taka na fine, kikatengenezwa Kitengo ndani ya Halmashauri chini ya DED kinaitwa Mazingira na Taka ngumu wakati huo huo, hawa Maafisa Afya wao wako chini ya Idara ya Afya.
Kitengo cha Mazingira wakawepo watu wa Mazingira ambao hawana man power mitaani.
Na to make things worse, pesa za taka zenyewe zinaenda kwenye majukumu mengine ikiwemo kulipa posho madiwani.
Yaani nchi hii ukifikiria unaweza kudhani hakuna MTU mwenye akili kabisa.
Hilo namba 1 ni uongo mbona huku kwetu sioni hiyo mifuko?Nimetembelea jiji la Dar es salaam, kwa kweli hali niliyokutana nayo inasikitisha sana. Mpaka ikabidi nijiulize hii wizara inayohusika na mazingira iko wapi na inafanya nini?
1. Mifuko ya Plastic mitaani imekuwa mingi sana.
Miaka michache iliyopita wakati wa Utawala wa Hayati Magufuli serikali ilijaribu kupunguza kiwango cha mifuko ya plastic nchini, kwa kweli hilo lilisaidia sana. Lakini hivi sasa mifuko ya plastic imerudi tena, na inazagaa mitaani.
Kuna mifuko ya aina fulani ya plastic inauzwa kati ya sh 300 na 500, iliyoletwa kureplace mifuko ya nailoni nayo imekuwa kero sana. Imezagaa tele mitaani.
Aina nyingine za mifuko ya plastic niliyoiona ni mifuko ya sabuni ya unga, vifungashio mbalimbali
2. Chupa za Plastic zimekuwa nyingi sana.
Sasa hivi kuna chupa za energy drinks, Vikombe vya plastic vya juice, chupa za plastic za soda, hizi zimezagaa mitaani kama njugu. Kwa kweli kila mtaa unaopita hivi sasa unakuta chupa za namna hiyo zimezagaa
3. Foil za chakula za takeaway
Hili nalo ni tatizo kubwa mno. Siku hizi mtu akiagiza chakula anafungiwa kwenye take away au foil. Hizi taka nazo ni ngumu sana kuoza. Leo hii ukizunguuka mitaani, kumejazana hizi foil
4. Chupa za pombe
Leo hii wauza pombe zikiwemo pubs hawajisumbui kutafuta mahali sahihi pa kutupa chupa zao baada ya wateja kunywa pombe. miongoni mwa chupa hizo ni zile za Wine, Pombe kali kama vile K-Vant na nyinginezo. Matokeo yake wanavizia usiku wanaenda kutupa katika mitaa ya jirani
4. Uchomaji taka usio salama kwa afya wakithiri.
Leo hii ukipita katika mitaa, kwa sababu ya accumulation ya taka, basi raia wanajichomea taka kila mtu kadri anavyotaka. Lakini kitendo hicho ni hatari sana,baadhi ya taka kama vile plastic na foils zinatoa kemikali ambazo ni hatari sana kwa mapafu na inaweza kupelekea magonjwa ya kutopumua vizuri au kansa. Japo kufanya hivyo ni kinyume cha sheria za serikali za mitaa,lakini serikali insonekana imelala, watu wanachoma taka na kuhatarisha afya ya jamii kwa kiwango cha kutisha sana.
5. Upikaji chakula usiozingatia afya ya walaji.
Leo hii ukizunguuka mitaani kuna staili ya mapishi ambayo ni hatari sana kwa afya. Mama lishe wanapika wali huku wakiufunikia manailoni. Wao wanaamini wakifanya hivyo ndo unaiva haraka.Lakini athari ya hayo ni makemikali ya plastic baasa ya kupata joto kuvujia ktk chakula na kupelekea maradhi mengi ikiwemo kansa. Sasa hivi nchini kuna ongezeko kubwa la ugonjwa wa kansa, huenda miongoni mwa sababu ni lifestyle ya namna hii.
Huu ni wakati wa serikali kuamka. Nchi kwa kasi sana inageuka jalala. Waziri wa Mazingira uko wapi, timiza wajibu wako!
Atufigwegwe god 😄😄Nchi yetu kwa ujumla wake ni chafu, unatembea mtaa mzima hakuna sehemu ya kuweka taka unategemea nini? Nitembee na chupa tupu ya maji wakati nilishamaliza kunywa?
Kifupi hata wewe ukipewa madaraka au nafasi ya kuongoza, unless uwe na uthubutu wa yule mwamba, otherwise ni yale yale tu.
Watanzania sio wastaarabu kiasili huu ndo ukweli mchungu na sababu nyingine kutokuwepo kwa upangaji miji inakua ni ngumu sana kudeal na takataka in short dar es salaam ni mji mchafu sanaHiyo ni attitude ya watu, sio serikali.
Serikali kuu ikusimamie hadi utupaji wa taka?
Watu wa mtaa husika kama mnajielewa mnajiwekea utaratibu na kuhakikisha unafuatwa tu, sio Waziri
Hiyo wizara ina staff wangapi hadi waje kusimamia kila mtaa!
Kuna miaka flani nilikua nimepanga hadi kuosha choo watu wanataka waekew ratiba na kukumbushwa kama watoto ustaarabu bado sana kwa TanzaniaWabongo tumeshindwa kujisimamia hadi katika usafi wetu! Iko shida mahali.
Inasikitisha sana.
Serikali inahitaji kufanya utafiti how Rwanda wameweza. Kigali ni safi kuliko hata baadhi ya miji mikubwa ya ulaya. Pili uchafu ni mindset .umuhimu wa kusafisha mazingira ufundishwe kuanzia elementary schools.kuna nchi huwezi tupa takataka mtoto wa miaka minne akakuacha its just civilization issue .mamlaka zichukue hatua maendeleo yanakuwa defined na mambo mengi la sivyo kuweka ma structure kwenye mi watu michafu haina maana .viongozi fanyeni hata tour hapo Rwanda mkajifunze .ni aibuMtoa mada umeeleweka sana.
Serikali iweke sheria kali..
Kuhusu energy drinks, zile chupa zao waokota makopo wahazitaki, hivyo jukumu iwe kwa makampuni yazalishayo hizo bidhaa, yaweke wakusanyaji...
Chupa nyeupe zinaokotwa sana.
Karatasi, bado serikali yetu haijaweka msisitizo, yatakiwa isiruhusu mifuko ya aina yoyote ambayo ni poly au plastic
Kuhusu mapishi, wateja ni wengi hivyo ni swala la walaji kuamua kuhusu afya zao
Huwezi elewa mada za namna hii mtu wa kaliba yako uliekulia tandale!! Mnakula sebleni huku mbele ya kibaraza chenu kuna mtu anaoga maji machafu yanatiririkia kwenu... ukiingia chumbani kwenu dirisha linatizamana na jalala la jirani yenu... kando kidogo ya kwenu kuna madimbwi ya maji yaliyojaa uchafu unaonuka na condoms zilizotumika kwenye ma guest houses.... kwa hali hii utaelewa vipi mada hii?Nimesoma Ila sijaelewa