Wizara ya Ujenzi. Hivi ndo barabara zinavyojengwa kwenye miji mikubwa ya Biashara

Wizara ya Ujenzi. Hivi ndo barabara zinavyojengwa kwenye miji mikubwa ya Biashara

Nimeshangaa sana jana kupita hiyo barabara kutoka gongo la mboto mpaka posta,

Sikuamini kama hii nchi yetu tuna viongozi au hata sielwei nini hasa,
Labda ushamba sugu fulani,
Maana unashindwa hata kuelewa , hivi kweli hiyo barabara imejengwa miaka zaidi yarobaini, ndio miaka 40, Airport to city centre, ikiwa hivyo hivyo njia mbil, halafu leo baada ya miaka yote hiyo tena kipindi ambacho magari waliokuwa wsnamiliki ni wahindi na wstu binafsi wachache tu( Madocta na maafisa wa jeshi na pick up zao) halafu leo miaka 40 unafumua barabara nzima kwa ajili ya kuweka barabara ya mwendokasi tu?, hii ni akili au matope.
Ukitaka kujua kuwa tuna watu wa hovyo wasio na akili hata chembe uthibitisho mmoja wapo ni ule uchafu na ujinga wanaofanya wizara ya ujenzi na tanroads kwenye ile barabara ya posta hadi Airport/Gongo la Mboto

Mie nilitoa machozi kabisa maana sikuamini kuwa mwaka jana tu tumefanya sensa alafu wameenda kujenga kile kituko cha njia mbili mbili kila upande tena nyembamba sana na ile mwendokasi.
 
Hizo rasilimali zetu siyo za kwetu tena. Umesikia hata hiyo SGR, bwawa la Nyerere, bandari nk tunatarajia kuwapa watu au kampuni binafsi tunaowaita wawekezaji. Hiyo gesi tayari tuliwapa wawekezaji kipindi cha awamu ya nne, siyo ya kwetu tena na hutubidi ili kuitumia tuinunue kwa bei mbaya kutoka kwa hao wawekezaji. Madini tulishawapa wawekezaji kipindi cha awamu ya tatu. Wakina Kitila Mkumbo hawana cha kufanya isipokuwa kutegemea tu tozo.
Ndiyo sababu tunasema, wale wanaodai ccm imechoka na haifai tena wasikilizwe, wana hoja ya msingi.

Mwenye akili hawezi kuchukua rasilimali zake akagawa bure kwa wageni halafu akabaki kuwa omba omba.

Wananchi tunajua tunazo raslimali nyingi kama gesi, mbuga za wanyama, misitu, nk. Kama ccm wamegawa bure ni juu yao. Siku wakipigwa chini raslimali zitarejeshwa
 
JPM alikuwa ni genius sana, yule mzee nilimkubali sana.
Kweli Mkuu, aliibeba Wizara ya Ujenzi mabegani.

Angeendelea kusalia walau miaka 4 zaidi saivi angeivuta zile barabra za njia 6 hadi Morogoro ili kupunguza mafoleni ya kuingia dsm
 
Huku wazee wa 20%
Hiyo ni sifa unwapa,
Kwani hawawezi kichukua hiyo 10% na bado wakajenga kitu chenye dizaini,

Nimepata coco bench,
Mpaka nikashangaa hawa jamaa zetu wasomi,

Hivi kweli ule ufukwe ndio wa kuweka vile vibanda kweli?

Hata kama wenyewe hawana akili hiyo ya kupendezesha eneo kile,
Kwa nini wasibe ramani nzuri( hawana haja ya kuiba si zimejaa tele kwenye google) na wakampa mwekezaji akajenga vitu vya maana kama wenyewe hata kitu kidogo kile wanashindwa.
 
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Angola wana mafuta sisi tuna madini, gesi na mbuga za wanyama.
 
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Wewe ni Mp.umba.Vu na ni Ms.enge
 
Unadhani hajui? Usikute ni mtumishi wa Wizara ya Ujenzi au Tanroads anatetea ujinga wao humu

Ni akili zao fupi tu. We fikiria tu kwa akili ya kawaida tu, katika karne hii ya 21 unawezaje kujenga upya barabara ya Posta hadi Uwanja wa ndege alafu unaiwekea njia mbili kila upande? Kwenye jiji lenye watu Mil sita kasoro??
Hizi ni akili au matope?

Kesho wazungu wakituita manyani tunakasirika?
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
He was right for sure
 
Hiyo ni sifa unwapa,
Kwani hawawezi kichukua hiyo 10% na bado wakajenga kitu chenye dizaini,

Nimepata coco bench,
Mpaka nikashangaa hawa jamaa zetu wasomi,

Hivi kweli ule ufukwe ndio wa kuweka vile vibanda kweli?

Hata kama wenyewe hawana akili hiyo ya kupendezesha eneo kile,
Kwa nini wasibe ramani nzuri( hawana haja ya kuiba si zimejaa tele kwenye google) na wakampa mwekezaji akajenga vitu vya maana kama wenyewe hata kitu kidogo kile wanashindwa.
Wao akili zao zinaishia kwenye rushwa pekee kwingine hawataki kujua, kutwa wapo nje ya nchi kujifunza sijui huwa wanajifunza kitu gani?
 
Angola Luanda imejengeka bwana wale jamaaa km isingekua vita naona ingekua ulaya ndogo ya africa ww jiulize wamekuja kutulia mwaka 2000 ila ndo pamejengeka hatari miundo mbinu iko safiii Namibia ka nchi ka watu kidogo kanatuzidi miundo mbinu yaaan sisi tatizo ni viongozi ni majizi na majambazi yalio kalia ofisi za uma
meko angemaliza mihula wake wa pili tungeongea lugha Moja uko mbeleni
 
Yule mzee a

Huyu mzee angemsikiliza Kambona na akajishusha tungekuwa mbali sana. Ila kwa haya ya sasa wala tusimlaumu hayupo
Tangu aondoke madarakani miaka 38 ilitosha kuleta madiliko lkn wp, walaumiwe wote....Magu apunguziwe lawama jidogo kwani alijaribu japo kidogo
 
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Kwani lazima kuwa naafuta.sisi tuna rasilimali nyingi shida ni wezi
 
Back
Top Bottom