Wizara ya ulinzi ya Israel yaanzisha uchunguzi baada ya app ya Strava kutumika kudukua na kuvujisha taarifa nyeti za Jeshi La Israel

Kosugi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2019
Posts
16,166
Reaction score
25,197
Wajuzi
T14 Armata
100 others
and 100 others
ILAN RAMON


Mtu asiyejulikana, anayeaminika kuwa mpelelezi kutoka nchi ya kigeni, anatuhumiwa kwa kuendesha operesheni ya upelelezi inayolenga kambi za jeshi na maeneo nyeti nchini Israel.

Operesheni hiyo ya upelelzi ilihusisha kutumia app ya Strava ili kukusanya taarifa kuhusu wanajeshi waliopo katika maeneo ya kambi za kijeshi za Israel.

Kwa kutumia akaunti bandia, mpelelzi huyi alitumia moja ya vipengele vya Strava kuiba na kutambua wanajeshi wa Israel, ikiwa ni pamoja na majina na anwani zao.

Tukio hili linaonesha udhaifu mkubwa wa kiusalama ambao Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limekuwa likishughulikia kwa miaka kadhaa.

Kufuatia hili, Wizara ya Ulinzi ya Israel imeanzisha uchunguzi ili kujaribu kubaini mhusika mkuu na mbinu alizotumia.


i.
 
Ila mkuu hiki ni chombo cha habari cha myahudi.
Haaretz ni chombo cha habari aminika hapo Israel.
Ni sawa useme TBC au ITV kwa huku bongo.
Jamaa anaona Israel haiwezi kudukuliwa au ni dhaifu kiusalama ndio maana hataki kuamini.Sema pro upinde akili zao mbovu sana yaani wao wayahudi ni miungu kwao
 
Israel huwa nawambia hana lolote ni Wafalme wa nchi za kiarabu ndio wanailinda Israel. Hizo technology uharo ni wapumbafu tu ndio wanao weza amini. Ile Drone ya Hezbullah mpaa chumbani kwa nyau Ingekuwa Israel kafanya vile wafuasi wamkosa nyumba wangetengeneza 10 thread humu kumsifu Israel 😄
 
Tunatizama asilimia ya hao wanaokupinga.
Netanyahu anapingwa na 90% ya raia wake.
Pia wayahudi wanataka amani na amani ni kuipa uhuru Palestina.
Ulifuatilia kipindi Yair Lapid alivyokua waziri wa mpito!?
 
Tunatizama asilimia ya hao wanaokupinga.
Netanyahu anapingwa na 90% ya raia wake.
Pia wayahudi wanataka amani na amani ni kuipa uhuru Palestina.
Ulifuatilia kipindi Yair Lapid alivyokua waziri wa mpito!?
Hizo % umezitolea wapi mkuu? Source ni wewe mwenyewe or what? Kama unajua Wayahudi wanataka AMANI, means unaamini Wayahudi wapo pale kwao, now chanzo cha hi VITA ni nini kaka?
 
Hizo % umezitolea wapi mkuu? Source ni wewe mwenyewe or what? Kama unajua Wayahudi wanataka AMANI, means unaamini Wayahudi wapo pale kwao, now chanzo cha hi VITA ni nini kaka?
Mkuu ulitizama maandamano yaliyofanyika NCHI NZIMA ya Israel tokea kuanzia kwa Oktoba 7!?
Nenda katizame yale maandamano ya kuanzia December kuja hadi April.
Kuna raia na uongozi.
Raia wanapenda amani ndio maana kipindi cha Yair Lapid kuna hadi wayahudi waliwekeza Gaza.
Ila toka Yair Lapid atoke madarakani na kurudi Netanyahu baada ya kushinda kesi za rushwa zinazomkabili vurugu zilianza tena.
Walowezi wa kizayuni walipewa bunduki wakaanza kufanya fujo katika makazi wanayopakana nayo ya Westbank.
Judiciary ilipitisha muswada wa kupanua makazi zaidi ndani ya Jenin.
Hili linaonesha kuna pande mbili ndani ya serikali ya Israel.
Mlengwa wa TERRITORY EXPANSION WA UPANDE WA NETANYAHU NA MLENGWA WA AMANI WA UPANDE WA YAIR LAPID.
Tatizo la machafuko ni dhana ya EXPANSION OF ZIONISM TERRITORY.
 
Ang
Hapo ingekuwa Iran wangekuja mbio mbio kuchangia ..ila kwa kuwa ni kipenz chao ...basi watajawa na sonona
Hawana akili aisee.
Kama huyu dudus nimemtoa akili kabbissa.
Yani anabishia chanzo cha habari cha wayahudi wenyewe.
Ni sawa na mtu aibishie TBC habari za Tanzania.
 
Aisee, kumbe huwezi kuzuia kuwa hacked, hacker katumia app ya strava tu ku hack taarifa za watu, Iran kwenye cyber wapo vizuri sana, wana hack sana Israel hadi nuclear research center sema ndio hivyo media za magharibi ni aibu kutangaza.
Hata hili suala la juzi kuvuja kwa documents zenye maelezo ya Israel kufanya retaliation, nilisoma BBC wanasema kwa sababu Iran ina hacker hatari inawezekana pia ni wao wamefanya hilo hivyo uchunguzi unafanyika, kwa maana hata kama sio Iran lakini tayari wanajulikana wana hackers hatari.

Hao hackers wa Iran wanaingia hadi kwenye emails za Trump wanazivujisha kwenda kwa team ya Biden...



Kuna kipindi wali hack Israel hadi kazi zilisimama, walikuwa na virus inaitwa pay2key... miaka ya 2021...


Jamaa wapo vizuri sio mchezo...

Hapa chini USA walitoa tangazo kwa atakaye toa taarifa kuhusu hao jamaa ambao wanasadikika ni hackers atapewa dola 10M, hapo chini walitoa na tor link ya dark web...
 
Iran nilikuwa naichukulia poa sana, kumbe nilipotea
 
Iran nilikuwa naichukulia poa sana, kumbe nilipotea
Ni kwa sababu ya media za magharibi wanafanya juhudi sana kuidogosha isisikike duniani...
Lakini ogopa nchi middle east ina proxies halafu ina wadhamini kifedha na silaha, hio ni akili kubwa sana, kabla hujamgusa Iran unakabiliana na proxies wake kwanza... kipindi hiko ana sanctions toka 1970s..

Ni strategy ya akili sana na ndicho kinamsumbua Israel...

Kwa middle east Iran ni regional power, wapo mbali sana... ni watu hawasemi ukweli..
 
mm nilianza kuwaheshimu Wa IRAN pale walipo hack tahasisi nyeti ya Israel kwamiezi3 wenyewe ktk iyo tahasisi awajajua adi waiio hack wakaweka bendera ya IRAN ndio wakashtuka!!! Chakushangaza zaid jinsi walivo weupe watahalamu wa ki Israel iyo tahasisi ndio tahasisi KUU inayousika kuzuiya tahasisi zote nyeti zisihackkiwe yenyewe jukum lake alaka ikiona kuna tahasisi inataka kuhackiwa iyo inawai kuzuiya na kulejesha uzibiti ipo macho kweli kweli sasa yenyewe ndio imehakiwa kwa miez 3 awakujuwa adi wakawekewa bendera ya IRAN. Toka apo nikajuwa Israe kwisha habari ivi sasa wanategemea zaid watahalamu wa INDIA wanyewe Israel wachovu Modi wa india kampa msaada Netanyahu seem mbili kuu wanajeshi na wabobez wa I .T
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…