benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Akifungua mkutano wa Tisa wa Maafisa Elimu Mikoa na Halmashauri nchini unaofanyika jijini Mwanza, Kamishna wa elimu nchini Dkt. Lyabwene Mtahabwa amewataka walimu kutoa adhabu ambazo hazitaleta madhara kwa wanafunzi.
Kamishna Dkt. Mtahabwa amewataka walimu nchini kuacha kutoa adhabu kali kwa wanafunzi na badala yake kuongeza juhudi kwa kutumia mbinu mbadala za ufundishaji kwa wanafunzi zitakazowaongezea weledi wanafunzi.
Nini maoni yako juu ya hatua hii mwanajamvi?
Kamishna Dkt. Mtahabwa amewataka walimu nchini kuacha kutoa adhabu kali kwa wanafunzi na badala yake kuongeza juhudi kwa kutumia mbinu mbadala za ufundishaji kwa wanafunzi zitakazowaongezea weledi wanafunzi.
Nini maoni yako juu ya hatua hii mwanajamvi?