Wizi mkubwa nilio ushudia kivuko cha Busisi

Wizi mkubwa nilio ushudia kivuko cha Busisi

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Wakuu msije mkasema nina wivu, ila inaniuma kama mTanzania.
Ipo hivi...
Unapo shuka kuelekea kukata ticket kama mwenda kwa miguu, pale unakutana na mtoa huduma akiwa tayari amesha kata tickets nyingi na anachokifanya ni kukupa (abiria ticket) kisha anakupa na chenji yako na unaondoka.

Baada ya hapo, unapoifikia ile sehem ya ku beji ili uingie ndipo picha linapo anzia. Pale kwanza zile sensors hazifanyikazi na badala yake kwa pembeni kuna mtu anaepokea stakabadhi ili aithibitishe na kisha aichane. Lakini badala yake unakuta yule mkaguzi anapokea tickets na wakati huo anajifanya kama yupo busy na simu (ili asiichane) na kusha anazikusanya zile stakabadhi na mwisho anazirudisha kwa yule muuzaji wa tickets pale ambapo abiria huingilia.

Sasa hapa panakua na connection link kati ta muuza tickets na mkagua tickets.

Kazi ya mkaguzi kwenye wizi ule ni kukagua na kujifanya yupo busy na simu yake halafu anazirudisha zile tickets kwa muuzaji, hapo wote wanaangalia timing wakati abiria wanakua hawajapanga foleni wakati huo wakisubiria fery nyingine iwadie.
 
Urefu wa kamba
IMG-20220414-WA0084.jpg
 
Wakuu msije mkasema nina wivu, ila inaniuma kama mTanzania.
Ipo hivi.....
Unapo shuka kuelekea kukata ticket kama mwenda kwa miguu, pale unakutana na mtoa huduma akiwa tayari amesha kata tickets nyingi na anachokifanya ni kukupa (abiria ticket) kisha anakupa na chenji yako na unaondoka.
Baada ya hapo, unapoifikia ile sehem yaku beji ili uingie ndipo picha linapo anzia. Pale kwanza zile sensors hazifanyikazi na badala yake kwa pembeni kuna mtu anaepokea stakabadhi ili aithibitishe na kisha aichane. Lakini badala yake unakuta yule mkaguzi anapokea tickets na wakatihuo anajifanya kama yupo busy na sim (ili asiichane) na kusha anazikusanya zile stakabadhi na mwisho anazirudisha kwa yule muuzaji wa tickets pale ambapo abiria huingilia.
Sasa hapa panakua na connection link kati ta muuza tickets na mkagua tickets.
Kazi ya mkaguzi kwenye wizi ule ni kukagua na kujifanya yupo busy na sim yake alafu anazirudisha zile tickets kwa muuzaji, hapo wote wanaangalia timing wakati abiria wanakua hawajapanga foleni wakati huo wakisubiria fery nyingine iwadie.

Watakuwa wanakula kwa urefu wa kamba zao tu mkuu
 
Na mpaka leo Gavana wa Benki yupo ofisini na mwisho wa mwezi atalipwa mshahara...Usalama wa Taifa wako kazini...hili nalo litapita libaki kwenye makaratasi..wananchi tutaendelea kuhimizwa tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi...

Kuna mambo ukiwaza unajiongezea presha na vidonda vya tumbo bure tu!
 
Wakuu msije mkasema nina wivu, ila inaniuma kama mTanzania.
Ipo hivi...
Unapo shuka kuelekea kukata ticket kama mwenda kwa miguu, pale unakutana na mtoa huduma akiwa tayari amesha kata tickets nyingi na anachokifanya ni kukupa (abiria ticket) kisha anakupa na chenji yako na unaondoka.

Baada ya hapo, unapoifikia ile sehem ya ku beji ili uingie ndipo picha linapo anzia. Pale kwanza zile sensors hazifanyikazi na badala yake kwa pembeni kuna mtu anaepokea stakabadhi ili aithibitishe na kisha aichane. Lakini badala yake unakuta yule mkaguzi anapokea tickets na wakati huo anajifanya kama yupo busy na simu (ili asiichane) na kusha anazikusanya zile stakabadhi na mwisho anazirudisha kwa yule muuzaji wa tickets pale ambapo abiria huingilia.

Sasa hapa panakua na connection link kati ta muuza tickets na mkagua tickets.

Kazi ya mkaguzi kwenye wizi ule ni kukagua na kujifanya yupo busy na simu yake halafu anazirudisha zile tickets kwa muuzaji, hapo wote wanaangalia timing wakati abiria wanakua hawajapanga foleni wakati huo wakisubiria fery nyingine iwadie.

Mkuu Ushimen hongera kwa kuwa Mzalendo. Naomba usijali kwa maneno ya kejeli utakayokutana nayo kwenye hili jukwaa, wewe umetimiza wajibu na nina amini mkono mrefu wa dola utafuatilia hilo jambo
 
Kukata mzizi wa fitina waweke camera za kutosha kila sehemu.
 
Back
Top Bottom