Wizi mpya, makufuli yanafunguliwa kwa gesi kimya bila kelele, tununue makufuli yapi?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ni kimya kimya tu, kufuli linapigwa moto wa gesi linaachia lenyewe ama kuyeyuka....

Nakumbuka kuna kipindi flani hapo miaka ya 2021 kuna mwizi alikuwa anahisiwa ndiye anaibia sana maduka ya mtaani kwa mbinu hii, alipoona watu wanamhisi ndiye ila hawana ushahidi ikabidi ahame mji, ni maduka kama manne hivi yalivunjwa kwa huu mtindo.

Your browser is not able to display this video.
 
mnafundishana kukwiba sio?
Yaani leo ni mada za kufundishana jinsi ya kupata mali kwa dhuluma tu.
Hii mada ya pili, nyingine imeelezea jinsi ya kufanya utapeli pasipo kushikwa
Wezi wanaibia watu lazima mbinu zao ziwekwe hadharani ili tujue ni namna ipi ya kujikinga na wizi wao, humu ndani kuna watu wataalam wa makufuli, tunawasubiri waje watupe madini
 
Walau yale mageti ya kupandisha juu, yana unafuu. Akichoma kufuli kwa gesi, itamlazimu mwizi/kibaka kutumia dakika kadhaa kufungua geti pasipp kelele.

Ila kwa yale mageti ya kufungua pande mbili, halafu uwe msimu wa mvua! Aisee watakomba kila kitu.

All in all, kuweka ulinzi eneo la biashara nako kunasaidia kwa sehemu yake.
 
Hii mbinu ipo tokea zamani
Wavunja magodown walikuwa
Wanatumia sana

Ova
 
Umasikini wa Tz hio mbinu bado...

Milango yenyewe ya mbao,,, akichoma kufuli ndio kachoma na nyumba kabisa...

Taabu sana haya mambo
 
Uneshauza ramani
 
Balaa ni pale unakuta kufuri inauzwa 300k yale ya mageti frem za posta,wewe unanunua solex kwa elfu 2500.[emoji16][emoji16][emoji16]

Masikini hatuna chaguo,ndio maama tukimkamata mwizi,tunamfilimba tu maana anausaidia umasikini kutuumiza.
 
Mwizi hapaswi kuachwa hai. Ukikamata mwizi ua kabisa. Ikiwezekana ua na kizazi chake kwasababu mwizi hurithisha wizi kwa watoto wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…