Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza uchawi kwa mwizi.wezi ni wateja wakubwa Sana wa wagangaFunga kufuli, chini yake weka na hirizi inayopumua. Lakini bado kuna watakaotest zali
Hizi ni kwa ajili ya ukiwa ndaniZinafanyaje kazi hizi? Yaan unaifungaje kwa ndani mfano kwenye maduka ambayo unafunga ukiwa nje?
True hata mitaaa iliyoonyooka iloyopangika hawaibi mwizi ataki kimbia mda mrefu kwa kunyooka bila chochoMara nyingi wanakwenda iba ile mitaa dhaifu,ila kuna mitaa mingine watu wamejipanga univariate basi wanakugeuza chakula
Ova
Au wewe ni mwizi? Mbna hutak jamaa aweke waz mbinu znazotumika ili tuchukue tahadhari?mnafundishana kukwiba sio? @mods ondosha hii kitu
Sasa kama wana ile gas si wataenda kuchoma grill ya dirisha afu wanai gilia drishanHii ndo komesha ya wezi hata wakifungua makufuli na kupuliza dawa za usingizi hawatofanikiwa kufungua milango
Sasa kama wana ile gas si wataenda kuchoma grill ya dirisha afu wanai gilia drishanMilango dabo door si salama ni rahisi kuifungua komesha weka kigingi kwa ndani tumia bomba pigilia ukutani weka na lock kabisa, dizaini ya fatuma za zamani hata wakifungua makufuli hawawezi push bomba linazuia
Hii iko vzuri ila ni risk sana endapo ikotokea dharura kama vile moto maana ukitokea moto hivi vyuma vinatanuka (expansion) kwa hyo hutoweza kuvitoa ili upiteHii ndo komesha ya wezi hata wakifungua makufuli na kupuliza dawa za usingizi hawatofanikiwa kufungua milango
Nakazia tu, TBS nao wakae wakijua wanachoruhusu kwenda kwa walaji sio sawa.wezi wanaibia watu lazima mbinu zao ziwekwe hadharani ili tujue ni namna ipi ya kujikinga na wizi wao, humu ndani kuna watu wataalam wa makufuli, tunawasubiri waje watupe madini
wezi wanaibia watu lazima mbinu zao ziwekwe hadharani ili tujue ni namna ipi ya kujikinga na wizi wao, humu ndani kuna watu wataalam wa makufuli, tunawasubiri waje watupe madini
Mkuu unashindwaje kusikia mlio wa gas inavyofoka!!!Ni kimya kimya tu, kufuli linapigwa moto wa gesi linaachia lenyewe ama kuyeyuka....