Wizi mpya, makufuli yanafunguliwa kwa gesi kimya bila kelele, tununue makufuli yapi?

Wizi mpya, makufuli yanafunguliwa kwa gesi kimya bila kelele, tununue makufuli yapi?

Wanafungua hivi makufuli ,kufuli hakuzuii mwizi kuiba
Check wanavyo fungua.
Mbinu za kufungua makufuli









Hapa Wanafungua kwa gas




Pia wanatumia kiberiti cha gas wanachoma pa kuingiza funguo zile lock za ndani zinayeyuka zinamwagika chenga
 
Milango dabo door si salama ni rahisi kuifungua komesha weka kigingi kwa ndani tumia bomba pigilia ukutani weka na lock kabisa, dizaini ya fatuma za zamani hata wakifungua makufuli hawawezi push bomba linazuia
 
Fix cameras + alerts simple.

Ukiwa na kibanda kama kina thamani weka bima ndugu.
 
wezi sio wa kuwahurumia ukikamta ni kipigo tu. mbinu hatari hizo
 
Asante kwa kunionyesha mbinu rahisi ya kujiajiri nikitoboa sitakusahau chalii yangu
 
Hii ndo komesha ya wezi hata wakifungua makufuli na kupuliza dawa za usingizi hawatofanikiwa kufungua milango
 

Attachments

  • Screenshot_20220529_195250.jpg
    Screenshot_20220529_195250.jpg
    39.7 KB · Views: 27
  • Screenshot_20220529_195149.jpg
    Screenshot_20220529_195149.jpg
    85.2 KB · Views: 25
  • Screenshot_20220529_194407.jpg
    Screenshot_20220529_194407.jpg
    88.3 KB · Views: 25
Milango dabo door si salama ni rahisi kuifungua komesha weka kigingi kwa ndani tumia bomba pigilia ukutani weka na lock kabisa, dizaini ya fatuma za zamani hata wakifungua makufuli hawawezi push bomba linazuia
Hahaha umenikumbusha mbali
Mzee,tuliendaga kongo ilikuwa lubumbashi,ilikuwa wakati hali si shwr huko,tulilala kwenye hotel moja
Usiku jamaa kwa ndani baada ya kufunga mlango akashusha na bonge la ubao kuzuia ambush au mlango kuvunjwa....
Alafu jamaa anakuambia usiku no kumfungulia mtu mkishaingia ndani ni ndani

Ova
 
Kuna milango inatoka Israel hiyo ni hatari

Ova
 
Dawa ya usingizi wanatumia zile za mahospitalini za operation nusu kaputi, komesha yake acha maji wazi ndani,grill za flati bar wanakata na mikasi ya kukata nondo, angalau nondo za milimita 16 Mimi niliweka enzi hizo nondo moja inauzwa elf 16 madirisha na milangoni pote, kwa sasa hivi inabidi ujipange.
Pia zile kengele za ng'ombe zininginize milangoni zinaisaidia mlango ukitikiswa zinatikisika na mida ya wezi Saa 8 hadi 9.30 sauti huwa kubwa Sana usiku lazima usikie.Uwe na speaker za machinga usiku ni nzuri Sana kupigia yowe sauti inafika kilometa 3 degree 360.
 

Attachments

  • Screenshot_20220529_195338.jpg
    Screenshot_20220529_195338.jpg
    64.7 KB · Views: 20
  • a1a241dbb0ee03d892f9042f67597b81--door-bar-security-door.jpg
    a1a241dbb0ee03d892f9042f67597b81--door-bar-security-door.jpg
    4.5 KB · Views: 21
Mwizi ni shetani thus mida yao ya Kazi ni the same na ya wachawi kabla ya adhana wote ni lazima wawe wamemaliza Kazi. Kuuwa wezi sio dawa japo uweza kuwa vizuri kuimarisha ulinzi wako binafsi
 
Mwizi ni shetani thus mida yao ya Kazi ni the same na ya wachawi kabla ya adhana wote ni lazima wawe wamemaliza Kazi. Kuuwa wezi sio dawa japo uweza kuwa vizuri kuimarisha ulinzi wako binafsi
Mara nyingi wanakwenda iba ile mitaa dhaifu,ila kuna mitaa mingine watu wamejipanga univariate basi wanakugeuza chakula

Ova
 
Mnawasha gesi mnamtoboa kati ya mikono
Nlionaga cctv cam 1 YouTube
Mwizi anaingiza mkono ili afungue mlango dah kumbe jamaa ndani anamlia timing tu
Aise mwizi alipigwa na gongo mkononi wacha apige kelele

Ova
 
Wezi washenzi walikuja iba mitaa ya mabibo enzi nakaa loyal hospital wamevunja sehemu ya duka wakaiba pesa Kama laki 3 chukua bidhaa baadhi unga wamwagamwaga

Halafu wakanya wakaondoka .Asubuhi ile kuamka wanarudisha mlango kufuli limevunjwa kufungua ndani kweupe pale juu jamaa anaweza mizani haipo halafu wamekunya
 
Hii ndo komesha ya wezi hata wakifungua makufuli na kupuliza dawa za usingizi hawatofanikiwa kufungua milango
Zinafanyaje kazi hizi? Yaan unaifungaje kwa ndani mfano kwenye maduka ambayo unafunga ukiwa nje?
 
Back
Top Bottom