Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnawasha gesi mnamtoboa kati ya mikonoNyie mkimgumia mvunjeni viungo vyote vya mwili yaani asitembe tena
Msg sent
Ova
Hahaha umenikumbusha mbaliMilango dabo door si salama ni rahisi kuifungua komesha weka kigingi kwa ndani tumia bomba pigilia ukutani weka na lock kabisa, dizaini ya fatuma za zamani hata wakifungua makufuli hawawezi push bomba linazuia
Mara nyingi wanakwenda iba ile mitaa dhaifu,ila kuna mitaa mingine watu wamejipanga univariate basi wanakugeuza chakulaMwizi ni shetani thus mida yao ya Kazi ni the same na ya wachawi kabla ya adhana wote ni lazima wawe wamemaliza Kazi. Kuuwa wezi sio dawa japo uweza kuwa vizuri kuimarisha ulinzi wako binafsi
Nlionaga cctv cam 1 YouTubeMnawasha gesi mnamtoboa kati ya mikono
Zinafanyaje kazi hizi? Yaan unaifungaje kwa ndani mfano kwenye maduka ambayo unafunga ukiwa nje?Hii ndo komesha ya wezi hata wakifungua makufuli na kupuliza dawa za usingizi hawatofanikiwa kufungua milango
Camera itakwambia uliibiwa saa ngapi, na mtu mfupi, maji ya kunde, katumia moto wa gesi.Fix cameras + alerts simple.