Wizi mpya waibuka

Wizi mpya waibuka

Habari za leo wakuu.

Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo husika.

Kuna wizi mkubwa sana unaendelea kasi kubwa sana hasa kwenye mtandao wa Facebook Kuna jamaa wanatumia trick ya kupost laptop computers wakidai wanauza. Hawa jamaa wanauza computer kwa bei ndogo sana ukilinganisha na bidhaa yenyewe, na hiyo ni kumshawishi mtu ili aingie mkenge.

Mara nyingi ukiwauliza kwamba mnapatikana wapi watakutumia namba ili muwasiliane kwa WhatsApp.
Na badae watakupa number ya kufanya malipo, Mara nyingi sana wanasema wanapatikana dodoma, Barabara ya nane,Jengo la capital city mall,Floor 1,duka All Muzamill PC solutions,Flame B6.

Number za simu wanazotumia.
0676976799
0678448681
0678376783
Tuchukue tahadhari....

Naomba kuwasilisha hoja.
Palipo na mapungufu mnisamehe
unatumaje hela kibwege?Wengne hujifanya watu wa kazi fulan na kujifanya wanataka kukutumia zawad kama laptop,kamera nk na kutaka full your details na location il wakutumiye huo ndiyo mwanzo wa kukuingiza kingi.
 
Habari za leo wakuu.

Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo husika.

Kuna wizi mkubwa sana unaendelea kasi kubwa sana hasa kwenye mtandao wa Facebook Kuna jamaa wanatumia trick ya kupost laptop computers wakidai wanauza. Hawa jamaa wanauza computer kwa bei ndogo sana ukilinganisha na bidhaa yenyewe, na hiyo ni kumshawishi mtu ili aingie mkenge.

Mara nyingi ukiwauliza kwamba mnapatikana wapi watakutumia namba ili muwasiliane kwa WhatsApp.
Na badae watakupa number ya kufanya malipo, Mara nyingi sana wanasema wanapatikana dodoma, Barabara ya nane,Jengo la capital city mall,Floor 1,duka All Muzamill PC solutions,Flame B6.

Number za simu wanazotumia.
0676976799
0678448681
0678376783
Tuchukue tahadhari....

Naomba kuwasilisha hoja.
Palipo na mapungufu mnisamehe
Na namba nyingine ni hizi hapa
0713069255 majina masaga karume
0653456207
Habari za leo wakuu.

Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo husika.

Kuna wizi mkubwa sana unaendelea kasi kubwa sana hasa kwenye mtandao wa Facebook Kuna jamaa wanatumia trick ya kupost laptop computers wakidai wanauza. Hawa jamaa wanauza computer kwa bei ndogo sana ukilinganisha na bidhaa yenyewe, na hiyo ni kumshawishi mtu ili aingie mkenge.

Mara nyingi ukiwauliza kwamba mnapatikana wapi watakutumia namba ili muwasiliane kwa WhatsApp.
Na badae watakupa number ya kufanya malipo, Mara nyingi sana wanasema wanapatikana dodoma, Barabara ya nane,Jengo la capital city mall,Floor 1,duka All Muzamill PC solutions,Flame B6.

Number za simu wanazotumia.
0676976799
0678448681
0678376783
Tuchukue tahadhari....

Naomba kuwasilisha hoja.
Palipo na mapungufu mnisamehe
Namba nyingine ni hizi hapa
0713069255
0653456207
 
Back
Top Bottom