Wizi umerudi kwa kasi tena. Vibaka ni wengi mtaani

Wizi umerudi kwa kasi tena. Vibaka ni wengi mtaani

Haya mazali ya kuvamiwa na wezi na vibaka natamani sana zinitokee lakini wapi. Kila usiku nalala mlango wazi maksud wananikwepa tu na kuvamia majirani na kwengine.

Sijui nina gundu gani? Yani namaindi kichizi.
Tuliovamiwa twakushauri usiombee. Ila itakutokea. Ni experience mbaya sana inayoweza kukuuwa, kuwa kilema, kuuguwa kisaikolojia maana hujuwi watafanya nini, waweza kuwabaka wote ndani, kuwakata mapanga na hata kumaliza uhai wenu achana na kuiba vitu ambayo siyo mbaya. Ebu sali kujiepusha na hili balaa mkuu..
 
Usiku huu nimekuja kumtembelea rafiki yangu huku Msumi. Namkuta Yuko kwenye kikao Cha ulinzi kilichoitishwa kwa dharura jioni hii.

Kumetokea wizi wa majumbani usiku kwa siku tatu mfululizo.

Serikali na Jeshi la polisi chukueni hatua.

Familia zaidi ya saba zimeibiwa majumbani usiku ndani ya siku tatu.
Kwa Tanzania hii, usikute hao wezi ni polisi na wanajeshi wenyewehuko mitaani.
 
Huyo Dau nae walimuingilia lini ili hali yuko Malaysia?
Alingiliwaga na mwizi mmja
Alimpigaga pesa, sema mwizi alikamatwaga...
Ulikuwa mchongo fulani ulitengenezwa
Tukio lilitokeaga muda tu

Ova
 
Alingiliwaga na mwizi mmja
Alimpigaga pesa, sema mwizi alikamatwaga...
Ulikuwa mchongo fulani ulitengenezwa
Tukio lilitokeaga muda tu

Ova

Huyo mwizi walimkuta na hizo pesa DAU alizoiba NSSF nae akaibiwa?
 
Huyo mwizi walimkuta na hizo pesa DAU alizoiba NSSF nae akaibiwa?
Tena ni mwizi mzoefu
Jina kapuni, alikamatwaga alikaa ndani
Akaatokaga
Ngoja tuishie hapa, Maana tusije wapa watu faida

Ova
 
Msumi is a village in Tanzania. Msumi is situated west of Kulangwa, and southwest of Madala.
 
Usiku huu nimekuja kumtembelea rafiki yangu huku Msumi. Namkuta Yuko kwenye kikao Cha ulinzi kilichoitishwa kwa dharura jioni hii.

Kumetokea wizi wa majumbani usiku kwa siku tatu mfululizo.

Serikali na Jeshi la polisi chukueni hatua.

Familia zaidi ya saba zimeibiwa majumbani usiku ndani ya siku tatu.
Kwa huko msumi kituo cha polisi kipo mbali sana hadi mwabepandeee ndio maana vibaka wanajiamini sana usiku
 
Usiku huu nimekuja kumtembelea rafiki yangu huku Msumi. Namkuta Yuko kwenye kikao Cha ulinzi kilichoitishwa kwa dharura jioni hii.

Kumetokea wizi wa majumbani usiku kwa siku tatu mfululizo.

Serikali na Jeshi la polisi chukueni hatua.

Familia zaidi ya saba zimeibiwa majumbani usiku ndani ya siku tatu.
Dah...kazi hii sasa haiheshimiwi tena...yaani kila mtu anataka kuifanya....katika kila watu 10 ninaowapiga roba 7 wanasema ni staff...yaani hadi kero🤭
 
Back
Top Bottom