mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
✅Je ni kweli kura zinaibwa wakati wa Uchaguzi mkuu?
✅Mbinu gani hutumika? Zinaibwaje kura husika?
✅Wahusika wa wizi ni nani hasa?
✅Wanaoshiriki na kufanikisha wizi wa kura wwnatunukiwa nini?
✅Je ni kweli kuna asante ya vyeo kwa wanaofanikisha wizi?
✅Wanao iba kura wanawezaje kujizuia kufanya wizi mwingine?
✅Nini kifanyike kwa wezi wa kura?
✅Je, kuna namna ya kuwakamata na kuwashitaki wezi wa kura ktk chaguzi?
✅Nini kifanyike kudhibiti wizi wa kura ktk chaguzi?
✅Alifanikisha wizi wa kura anaweza kuwa mwadirifu ktk ofisi ya umma?
Mungu Ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanganyika,Mungu ibariki Zanzibar
✅Mbinu gani hutumika? Zinaibwaje kura husika?
✅Wahusika wa wizi ni nani hasa?
✅Wanaoshiriki na kufanikisha wizi wa kura wwnatunukiwa nini?
✅Je ni kweli kuna asante ya vyeo kwa wanaofanikisha wizi?
✅Wanao iba kura wanawezaje kujizuia kufanya wizi mwingine?
✅Nini kifanyike kwa wezi wa kura?
✅Je, kuna namna ya kuwakamata na kuwashitaki wezi wa kura ktk chaguzi?
✅Nini kifanyike kudhibiti wizi wa kura ktk chaguzi?
✅Alifanikisha wizi wa kura anaweza kuwa mwadirifu ktk ofisi ya umma?
Mungu Ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanganyika,Mungu ibariki Zanzibar