Wizi wa mali za Umma ni reflection ya jamii ya watu wasiostaarabika

Wizi wa mali za Umma ni reflection ya jamii ya watu wasiostaarabika

Nyie si mmekazana kukaza misuli kukemea ushoga acha wajanja wajipigie pesa.

Yaan mmejiaminisha kua Ushoga ni janga zito kuliko Umeme, Maji, Afya, Ajira, Rushwa, Wizi wa Mali za Umma, n.k,

Na badooo, endeleeni kukemea Ushoga ripoti ya mwaka mwingine mtajikuta deni la Taifa limetuzidia tunaambiwa tupishe Nchi wenye madeni yao wajilipe.

nawewe kumbe ni shoga! Dah inasikitisha sana
 
uweusi siyo laana, ni namana watoto wetu tunavyowaandaa na kuwatafakarisha, kuna kazi,kubwa inapaswa kufanywa, kutoka chini kabisa
Hii ni nchi ya madalali.
Ili kurudi kwenywe mstari kiongozi lazima awe na Maono ya mbali sana
 
ndio maana tunasema hata ukete katiba mpya kwa watu kama hawa bado itakuwa shida maana hata sheria zilizopo haziruhusu wizi bali wanazivunja na kujitengenezea ulinzi.

Nini kifanyike: Dictatorship ni muhimu kwa jamii kama hii ambayo bado haijastaarabika ili wapumbavu wanyooshwe na wajifunze kupitia njia ngumu.
Ule udikteta wa kutupiga tri 1. 5 au upi. Mmeamua kutofata sheria msilaumu watu
 
Back
Top Bottom