Hahaha misamwanda itawamaliza ...Hakikisha huwi na haraka wala madoido ufikapo kituo cha kujaza gari mafuta.
Usizubaishwe na uzuri wala story za kuzuga za mhudumu.
Epuka kukodolea macho msambwanda wa mhudumu Miele yako.
Macho yako yote kwenye pump reader hakikisha kabla hujawekewa mafuta isome 0000
Hivi Bongo hakuna vituo vya self service? Kampuni kama Total wanatakiwa wawke vituo vingi vya self service. Vituo kama hivyo vitaondoa huu wizi wa kijinga.Hii nilishapigwa Segera pale kuna kakituo mshenzi😂😂😂 mafuta ya 20K sikufika nayo Mombo yameshakata halafu highway ambako gari inakula vizuri😝😝😝 matusi niliyomtukana yule mshenzi dereva wangu alikuwa anakufa mbavu maana nilisema nijazie tu ili nimalizie safari 😁 gauge ikishuka sana economy inapungua
Oysterbay hamna kwani 😝Hivi Bongo hakuna vituo vya self service? Kampuni kama Total wanatakiwa wawke vituo vingi vya self service. Vituo kama hivyo vitaondoa huu wizi wa kijinga.
chombo n chombo ilimrad tunakutana sheli. JOTI... madereva wanaotoka nje sometimes wanapoteza sana muda especially rush hours. Hivi huwezi kukaa kwenye gari na bado ukasoma vizuri pump? Unless ni semi-trailer na tank liko kule nyuma kabisa ila kwa IST au Vitz, why should you get out of the car to be able to read the pump?
Kibajaji eti dereva "anatoka nje" kuhakiki mafuta; wanakera sana hawa ukiwa na haraka zako.
Mkuu kituo baada ya kwa Bibi ukiwa unaenda segerea mwisho au unaenda mjini..Hii michezo ipo petrol station moja ipo tabata sheli kituo after kwa bibi.
Pale ukizubaa unaachwa feri.
Wengine wapo pale kituo after external kabla hujafika mwananchi upande wa kuelekea buguruni ni wapigaji hataree.
Huyo jamaa anasumbuliwa na njaa tu, unakomaaje kuripoti jambo ambalo huna ushahidi nalo ?, enzi za Kikwete haya hayakuwepo, watu tulikuwa tunajaza mafuta hata huangalii ligeji linasoma namba ngapi, hii ndio faida ya kuchagua maccm, yalituambia tataisoma namba !!.... how possible is this? Kwa sababu, unless ulimkuta ile handle kaishikilia mkononi, ila ikisharudishwa mahali pake na kunyanyuliwa tena automatically ina-clear digits zote to zero. Yaani anawezaje kuanzia kiwango tofauti na zero? Naomba kuelimishwa.
Ukiwa unaenda segerea mwisho. Pale kwenye gym na supermaketMkuu kituo baada ya kwa Bibi ukiwa unaenda segerea mwisho au unaenda mjini..
Sent from my M1 Lite using JamiiForums mobile app
Jinsi hofu ya kuibiwa uliyonayo wewe ndivyo wao wanawaza watapigwa tukiamua kujihudumia.Hivi Bongo hakuna vituo vya self service? Kampuni kama Total wanatakiwa wawke vituo vingi vya self service. Vituo kama hivyo vitaondoa huu wizi wa kijinga.
Tukijihudimia watapigwaje? System si inafanya kazi kama unavyochukuwa fedha kwenye ATM ila tofauti ni kuwa yanatoka mafuta badala ya fedha?Jinsi hofu ya kuibiwa uliyonayo wewe ndivyo wao wanawaza watapigwa tukiamua kujihudumia.
Elfu 5 tu unalialiaaaa. We tip huwa unaacha kkw
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nina kakangu watu wanasema ni bahiri sana akienda sheli anaenda na madumu yake ya lita 60 anawekewa wese anaenda kujiwekea mwenyewe kwenye gari lake,ukimuuliza anasema ni mjanja baada ya kuibiwa kwa mda mrefu na wauza mafuta sheli
Huo wizi hata mm nilishawahi kukutana nao. Akirudisha pump sehemu yake haiweki mpaka mwisho,inakua kama imeegeshwa.... how possible is this? Kwa sababu, unless ulimkuta ile handle kaishikilia mkononi, ila ikisharudishwa mahali pake na kunyanyuliwa tena automatically ina-clear digits zote to zero. Yaani anawezaje kuanzia kiwango tofauti na zero? Naomba kuelimishwa.
Ungeelezea ni namna gani wanaweka huo mkono ungeonyesha nilivyokurupa Ila kuja na maneno matupu ni kazi bure..bila Shaka utakuwa Una undugu wa mbali na braza kWewe nawe unakurupuka. Hili la kweli na kuna namna wanaweka ule mkono. Unabisha nini sasa?
Ni vizuri kuwa na nidhamu ya pesa ya kuthamini kila shillingi unayoiingiza.Elfu 5 tu unalialiaaaa. We tip huwa unaacha kweli
HahahahaaHakikisha huwi na haraka wala madoido ufikapo kituo cha kujaza gari mafuta.
Usizubaishwe na uzuri wala story za kuzuga za mhudumu.
Epuka kukodolea macho msambwanda wa mhudumu Miele yako.
Macho yako yote kwenye pump reader hakikisha kabla hujawekewa mafuta isome 0000
Wiz upoHivi ni Umeandika bila kujua unachoandika na sijui hujui kweli au unafanya makusudi kupotosha ili uchangamshe jukwaa..
Wizi unaosema haupo na hakuna namna yoyote uneweza ukaibiwa Kwa staili hiyo uliyoileta .mkono wa pampu ukirudishwa kwenye mashine wakati wa kutoa unaanza zero mpaka bei uliyoset au utakapoishia
Kuibiwa ni kama ataendelea kupima bila kurudishwa mkono kwenye mashine tena ikiwa mwanzoni hakuset bei wakati anampimia mteja wa kwanza
Huwa wanaziegesha hawaziingizi kabisa kwenye lock yake.... how possible is this? Kwa sababu, unless ulimkuta ile handle kaishikilia mkononi, ila ikisharudishwa mahali pake na kunyanyuliwa tena automatically ina-clear digits zote to zero. Yaani anawezaje kuanzia kiwango tofauti na zero? Naomba kuelimishwa.