Wizi wa wahudumu wa kwenye vituo vya kujaza mafuta

Wizi wa wahudumu wa kwenye vituo vya kujaza mafuta

Hakikisha huwi na haraka wala madoido ufikapo kituo cha kujaza gari mafuta.

Usizubaishwe na uzuri wala story za kuzuga za mhudumu.

Epuka kukodolea macho msambwanda wa mhudumu Miele yako.

Macho yako yote kwenye pump reader hakikisha kabla hujawekewa mafuta isome 0000
Hahaha misamwanda itawamaliza ...
 
Hii nilishapigwa Segera pale kuna kakituo mshenzi😂😂😂 mafuta ya 20K sikufika nayo Mombo yameshakata halafu highway ambako gari inakula vizuri😝😝😝 matusi niliyomtukana yule mshenzi dereva wangu alikuwa anakufa mbavu maana nilisema nijazie tu ili nimalizie safari 😁 gauge ikishuka sana economy inapungua
Hivi Bongo hakuna vituo vya self service? Kampuni kama Total wanatakiwa wawke vituo vingi vya self service. Vituo kama hivyo vitaondoa huu wizi wa kijinga.
 
... madereva wanaotoka nje sometimes wanapoteza sana muda especially rush hours. Hivi huwezi kukaa kwenye gari na bado ukasoma vizuri pump? Unless ni semi-trailer na tank liko kule nyuma kabisa ila kwa IST au Vitz, why should you get out of the car to be able to read the pump?

Kibajaji eti dereva "anatoka nje" kuhakiki mafuta; wanakera sana hawa ukiwa na haraka zako.
chombo n chombo ilimrad tunakutana sheli. JOTI
 
Hii michezo ipo petrol station moja ipo tabata sheli kituo after kwa bibi.

Pale ukizubaa unaachwa feri.

Wengine wapo pale kituo after external kabla hujafika mwananchi upande wa kuelekea buguruni ni wapigaji hataree.
Mkuu kituo baada ya kwa Bibi ukiwa unaenda segerea mwisho au unaenda mjini..

Sent from my M1 Lite using JamiiForums mobile app
 
... how possible is this? Kwa sababu, unless ulimkuta ile handle kaishikilia mkononi, ila ikisharudishwa mahali pake na kunyanyuliwa tena automatically ina-clear digits zote to zero. Yaani anawezaje kuanzia kiwango tofauti na zero? Naomba kuelimishwa.
Huyo jamaa anasumbuliwa na njaa tu, unakomaaje kuripoti jambo ambalo huna ushahidi nalo ?, enzi za Kikwete haya hayakuwepo, watu tulikuwa tunajaza mafuta hata huangalii ligeji linasoma namba ngapi, hii ndio faida ya kuchagua maccm, yalituambia tataisoma namba !!.
 
Hivi Bongo hakuna vituo vya self service? Kampuni kama Total wanatakiwa wawke vituo vingi vya self service. Vituo kama hivyo vitaondoa huu wizi wa kijinga.
Jinsi hofu ya kuibiwa uliyonayo wewe ndivyo wao wanawaza watapigwa tukiamua kujihudumia.
 
Jinsi hofu ya kuibiwa uliyonayo wewe ndivyo wao wanawaza watapigwa tukiamua kujihudumia.
Tukijihudimia watapigwaje? System si inafanya kazi kama unavyochukuwa fedha kwenye ATM ila tofauti ni kuwa yanatoka mafuta badala ya fedha?
 
... how possible is this? Kwa sababu, unless ulimkuta ile handle kaishikilia mkononi, ila ikisharudishwa mahali pake na kunyanyuliwa tena automatically ina-clear digits zote to zero. Yaani anawezaje kuanzia kiwango tofauti na zero? Naomba kuelimishwa.
Huo wizi hata mm nilishawahi kukutana nao. Akirudisha pump sehemu yake haiweki mpaka mwisho,inakua kama imeegeshwa.
 
Wewe nawe unakurupuka. Hili la kweli na kuna namna wanaweka ule mkono. Unabisha nini sasa?
Ungeelezea ni namna gani wanaweka huo mkono ungeonyesha nilivyokurupa Ila kuja na maneno matupu ni kazi bure..bila Shaka utakuwa Una undugu wa mbali na braza k
 
Kuna njia nyingine ukienda anakusogeza mahala huwezi soma vzr reader then kama ukimpa 20 anaandika 10 af anakwambia mashine ya risiti mbovu

Nlishamdaka mmoja hapo africasana akasema amejichanganya mwingine pia shekilango pale Total
 
Hakikisha huwi na haraka wala madoido ufikapo kituo cha kujaza gari mafuta.

Usizubaishwe na uzuri wala story za kuzuga za mhudumu.

Epuka kukodolea macho msambwanda wa mhudumu Miele yako.

Macho yako yote kwenye pump reader hakikisha kabla hujawekewa mafuta isome 0000
Hahahahaa
 
Hivi ni Umeandika bila kujua unachoandika na sijui hujui kweli au unafanya makusudi kupotosha ili uchangamshe jukwaa..

Wizi unaosema haupo na hakuna namna yoyote uneweza ukaibiwa Kwa staili hiyo uliyoileta .mkono wa pampu ukirudishwa kwenye mashine wakati wa kutoa unaanza zero mpaka bei uliyoset au utakapoishia

Kuibiwa ni kama ataendelea kupima bila kurudishwa mkono kwenye mashine tena ikiwa mwanzoni hakuset bei wakati anampimia mteja wa kwanza
Wiz upo
 
... how possible is this? Kwa sababu, unless ulimkuta ile handle kaishikilia mkononi, ila ikisharudishwa mahali pake na kunyanyuliwa tena automatically ina-clear digits zote to zero. Yaani anawezaje kuanzia kiwango tofauti na zero? Naomba kuelimishwa.
Huwa wanaziegesha hawaziingizi kabisa kwenye lock yake.
 
Back
Top Bottom