Wizkid afanya bonge la show Uingereza

barcelonista

Senior Member
Joined
Apr 26, 2021
Posts
158
Reaction score
149
Wizkidayo a.k.a Star Boy...Ameendelea pale alipoishia usiku wa kuamkia leo amejaza O2 Arena pale U.K na kufanya bonge la show,

Na sikujaza tu baadae alimpandasha mtu mzima Chris Brown.

Msimu huu umekuwa wa wamafanikio zaidi kwake Star Boy maana Album yake ya Made In Lagos ikifanya vizuri Worldwide ikiwa na streaming zaidi ya bilion 1.

Essence ngoma ambayo imeuza mauzo ya Platinum kwa haraka ndani ya Marekani si jambo jepesi.

Star Boy sio wa Afrika tena ni Worldwide🙌🙌


#Forgive me.





 
Dahh...hawa akina uniwezi ki pesa,ki mayepe,ki serikali wataishia kujaza tandahimba na taifa huku wawaachie the international ones
Kwa hii miziki ya kucopy copy tutasubir sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…