Mfano Kana ya Olamide na Wizkid Igbo ni 85%.. halafu sijawahi kumskia Dj Arafat akiimba kiingerezaMzee, watu kama hao huwa wana hit na ngoma moja au mbili basi, dj Arafat alikuwa anaimba kingereza lakini pia hakuwa level za kina wizkid na davido,
Hebu nitajie mnaija aliyeimba ki igbo mwanzo mwisho akatoboa..
Wasanii wetu hawajui kuimba kingereza. over