Wizkid ana nyimbo za kawaida sana..

Wizkid ana nyimbo za kawaida sana..

sir venance

Senior Member
Joined
Oct 26, 2017
Posts
151
Reaction score
223
Huyu jamaa naona kadri siku zinavyokwenda naona umaarufu wake unazidi kuongezeka kana kwamba ana nyimbo kali kupitiliza,Mimi ni mfatiliaji na shabiki mkubwa wa nyimbo za Nigeria,kuna wasanii wanaimba sana lakini hawapewi sifa za Wizkid...watu Kama Mr flavour,tiwa Savage,patoranking,yemi alade,davido na wengine wengi wanajua Sana lakini sifa nyingi zinaenda kwa Wizkid,hit song zake zote za kawaida mno plus video,japo kila msanii ana staili yake ya uimbaji ila Wizkid wa kawaida sana...huu ni mtazamo wangu ukikosoa uje na hoja
 
Hata mimi huwa najiuliza sana swali hili mkuu...huyu jamaa anaimba kawaida mno ila ndio hivyo sijui nini kiko nyuma ya pazia
 
Mimi pia nilijiuliza hilo, kama huu wimbo wake mpya wa fever kawaida sana
 
Mimi pia nilijiuliza hilo, kama huu wimbo wake mpya wa fever kawaida sana
Fever walivyoupa promo ni tofauti na wimbo ulivyo sio mzuri,labda kwasababu alimuweka tiwa Savage Kama video vixen
 
Huyu jamaa naona kadri siku zinavyokwenda naona umaarufu wake unazidi kuongezeka kana kwamba ana nyimbo kali kupitiliza,Mimi ni mfatiliaji na shabiki mkubwa wa nyimbo za Nigeria,kuna wasanii wanaimba sana lakini hawapewi sifa za Wizkid...watu Kama Mr flavour,tiwa Savage,patoranking,yemi alade,davido na wengine wengi wanajua Sana lakini sifa nyingi zinaenda kwa Wizkid,hit song zake zote za kawaida mno plus video,japo kila msanii ana staili yake ya uimbaji ila Wizkid wa kawaida sana...huu ni mtazamo wangu ukikosoa uje na hoja
Anabebwa na biti.
 
Hata lil wayne ana nyimbo za kawaida sana
Huyu jamaa naona kadri siku zinavyokwenda naona umaarufu wake unazidi kuongezeka kana kwamba ana nyimbo kali kupitiliza,Mimi ni mfatiliaji na shabiki mkubwa wa nyimbo za Nigeria,kuna wasanii wanaimba sana lakini hawapewi sifa za Wizkid...watu Kama Mr flavour,tiwa Savage,patoranking,yemi alade,davido na wengine wengi wanajua Sana lakini sifa nyingi zinaenda kwa Wizkid,hit song zake zote za kawaida mno plus video,japo kila msanii ana staili yake ya uimbaji ila Wizkid wa kawaida sana...huu ni mtazamo wangu ukikosoa uje na hoja
 
Mtoa mada kuna haja yakwenda kupima afya ya akili ... wiz ni next level ujue .. hivi umewahi kuisikia ile chorus ya. This kind love ... Ma lo " unaanzaje kusema kuwa ule ni uimbaji wa kawaida .
 
Jamaa ni kwere nyie acheni
hahaa acha basiii na wewe pia waunga mkono katika hili ".... kama mkisema kwamba nyinyi sio wapenzi wa ragga hapo nitawaelewa " yaani hata ojuelegba kweli ". .. niga you can't be serious
 
Akianza lazima uskie [emoji444]It's legendary beats[emoji445]
Starboy ana ngoma kali ila chache ni hizi:
*Ojuelegba (huu kwangu ni kama wimbo wa taifa)
*Caro
*Show you the money
*In my bed
*Soco
*Come closer
*Holla at your boy
*Baba nla
Aiseee mtoa mada embu jichunguze kwanza
 
Ni kawaida ukishakuwa mkubwa hate ukifanya kitu Cha kawaida kinakuwa kikubwa hata kwenye mpira Messi au Ronaldo wakifunga kwa tikitak wanasifiwa Sana wakati Kuna wachezaji kibao wakawaida wanafunga hayo mabao
 
Back
Top Bottom