monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
wabongo kinachotuponza ni chuki za kijinga jinga kabisa
Kama star boy hajui kuimba bas Africa yote hamna msanii
Kama star boy hajui kuimba bas Africa yote hamna msanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha kumkubali mtu na kumkubali uwezo wake, even me smkubali diamond Lakin nakubali jamaa anauwezoMimi mwenyewe nilikua najiuliza sana hilo swala, siku moja nikatumia muda mwingi sana you-tube nangalia nyimbo zake sikuona iliyonivutia sana, mwisho nikajisemea haka ka Wizkid katakua freemason au kachawi.
Kwa kweli mtoa maada ajitafakari. Sijamwelewa kabisa.Akianza lazima uskie [emoji444]It's legendary beats[emoji445]
Starboy ana ngoma kali ila chache ni hizi:
*Ojuelegba (huu kwangu ni kama wimbo wa taifa)
*Caro
*Show you the money
*In my bed
*Soco
*Come closer
*Holla at your boy
*Baba nla
Aiseee mtoa mada embu jichunguze kwanza
Sina maana ya kumpinga kwere nilimaanisha ni noma, jamaa anajua sana na anatalent ya hali ya juu. Kidayo ndio King wa Muzik hapa Africa kwa sasahahaa acha basiii na wewe pia waunga mkono katika hili ".... kama mkisema kwamba nyinyi sio wapenzi wa ragga hapo nitawaelewa " yaani hata ojuelegba kweli ". .. niga you can't be serious
Huyu mwamba hakosei mkuu ata akiimba wimbo wa taifa lazima utahit tuAkianza lazima uskie [emoji444]It's legendary beats[emoji445]
Starboy ana ngoma kali ila chache ni hizi:
*Ojuelegba (huu kwangu ni kama wimbo wa taifa)
*Caro
*Show you the money
*In my bed
*Soco
*Come closer
*Holla at your boy
*Baba nla
Aiseee mtoa mada embu jichunguze kwanza
Naunga hoja mkonowabongo kinachotuponza ni chuki za kijinga jinga kabisa
Kama star boy hajui kuimba bas Africa yote hamna msanii
alaaa hapo sawa .. nimemshangaa sana mtoa mada ..Sina maana ya kumpinga kwere nilimaanisha ni noma, jamaa anajua sana na anatalent ya hali ya juu. Kidayo ndio King wa Muzik hapa Africa kwa sasa
sure .. mtu asiyejua kuimba ana pewa collaboration na rihana .drake " ... what a joke !!wabongo kinachotuponza ni chuki za kijinga jinga kabisa
Kama star boy hajui kuimba bas Africa yote hamna msanii
Usimshangae huwenda akawa ni mpenzi wa music wa mwambao(Taarabu)alaaa hapo sawa .. nimemshangaa sana mtoa mada ..
sure .. mtu asiyejua kuimba ana pewa collaboration na rihana .drake " ... what a joke !!
hahaa kuwa mpenzi wa music fulani haipaswi kuwa sababu ya kutoweza kuutambua mziki mzuri "... mimi binafsi nimpenzi wa R&B .HIP HOP .SOUL .REGGE . DANCEHALL .lakini napenda haswaa mziki mzuri " means hata ikitokea aina ya mziki ambao sijui lakini una melody kali na production nzuri aisee nitaupenda tu .. ni kama ambavyo baadhi yetu tulivyo kuwa tunazipenda nyimbo za congo na za kihindi wakati hata hatujui lugha zaoUsimshangae huwenda akawa ni mpenzi wa music wa mwambao(Taarabu)
kabisa mkuuWatu wanashindwa kutofautisha uwezo na ushabiki
Hiyo holla at your boy ndio song ambayo hainichoshi miaka yote tangu inatokaAkianza lazima uskie [emoji444]It's legendary beats[emoji445]
Starboy ana ngoma kali ila chache ni hizi:
*Ojuelegba (huu kwangu ni kama wimbo wa taifa)
*Caro
*Show you the money
*In my bed
*Soco
*Come closer
*Holla at your boy
*Baba nla
Aiseee mtoa mada embu jichunguze kwanza
Jamaa ana uwezo ila yupo overrated kiasi , ukiangalia kiundani ni kama amejaaliwa nyota na uwezo wa kutengeneza hitz ambazo zipo backed up na beatz kali kuanzia ojuolegba, in my bed, show yo the money ,manya na hata soko..hahaa kuwa mpenzi wa music fulani haipaswi kuwa sababu ya kutoweza kuutambua mziki mzuri "... mimi binafsi nimpenzi wa R&B .HIP HOP .SOUL .REGGE . DANCEHALL .lakini napenda haswaa mziki mzuri " means hata ikitokea aina ya mziki ambao sijui lakini una melody kali na production nzuri aisee nitaupenda tu .. ni kama ambavyo baadhi yetu tulivyo kuwa tunazipenda nyimbo za congo na za kihindi wakati hata hatujui lugha zao