Wizkid ana nyimbo za kawaida sana..

Wizkid ana nyimbo za kawaida sana..

Jamaa ana uwezo ila yupo overrated kiasi , ukiangalia kiundani ni kama amejaaliwa nyota na uwezo wa kutengeneza hitz ambazo zipo backed up na beatz kali kuanzia ojuolegba, in my bed, show yo the money ,manya na hata soko..
baada ya wasanii wa marekani kama drake na chris kum-feature kiasi ndo imempa hype sana ...

Ila kiukweli he is somehow overrated
Mkuu hebu nitajie wewe msanii ambaye ana uwezo mkubwa kuliko wizkid ambaye anatokea africa ... kuhusu suala la kuwa overrated sidhani but ungesema tu kwamba team yake inajua namna ya kum- brand juzi kati tu jamaa katoka kufanya show india na kaingiza kama bilion 1s hivi. .kwa show 1 .. imagine mtu ana fan base mpaka india huko "..

halafu mkuu mziki mzuri huwa unaanzia kwenye beats then melody na rylics " kazikilize nyimbo za lucky dube. jinsi ambavyo zilivyo kuwa zinaandaliwa yaani mpoangilio wa drums .kick .piano .snare .base vyote una vi feel " halafu unakuja kukutana na melody kali ya back to my roots hahaa wimbo ukifika kwenye media na kufanyiwa promo lazima utasema kuwa dube ni overrated maana nyimbo itavuma Sana kupita matarajio ".. wiz nimtu anayejua soko la mziki wa sasa linataka nini " ndio maana anazidi kustawi
 
Brother Africa ina aina nyingi za muziki na imetokea tu kwa sasa pongolo ya naija ndo inabamba na ikatokea zaidi kuwa yeye ndo yupo kwenye peak ingawa bado kwa fan base anashindana na davido kuanzia naija hadi duniani.. refer kwa BET award davido aliyoichukua juzi juzi na hata ukiangalia awards nyinginezo ni lazma akimbizane na davido , kikubwa alichonacho jamaa ni ile hype aliyopewa na wasanii wakubwa duniani ila kiuwezo wa kisanaa si mkubwa kiasi hicho.. angalia hata live shows zake(usiangalie ukumbi ulivyoshona bali angalia stage performance..yupo kawaida sana).. unaweza weka show ya wizkid na fally ipupa katika same category kweli mzee

Ukiniambia nikutajie list ya wanamuziki kwa uwezo wa sauti jamaa sidhani kama ataingia top 20 kama si top 50.. Kimafanikio kimuziki bado hajaweka historia kubwa kama akina angelique kidjo au femi kuti na hata kwa muziki wa kiafrika hajafikia hadhi ya 2face... ni muda wake tu mzee ila kiuwezo yupo kawaida ..toa ushabiki afu umchambue bila kutumia emotions
Mkuu hebu nitajie wewe msanii ambaye ana uwezo mkubwa kuliko wizkid ambaye anatokea africa ... kuhusu suala la kuwa overrated sidhani but ungesema tu kwamba team yake inajua namna ya kum- brand juzi kati tu jamaa katoka kufanya show india na kaingiza kama bilion 1s hivi. .kwa show 1 .. imagine mtu ana fan base mpaka india huko "..

halafu mkuu mziki mzuri huwa unaanzia kwenye beats then melody na rylics " kazikilize nyimbo za lucky dube. jinsi ambavyo zilivyo kuwa zinaandaliwa yaani mpoangilio wa drums .kick .piano .snare .base vyote una vi feel " halafu unakuja kukutana na melody kali ya back to my roots hahaa wimbo ukifika kwenye media na kufanyiwa promo lazima utasema kuwa dube ni overrated maana nyimbo itavuma Sana kupita matarajio ".. wiz nimtu anayejua soko la mziki wa sasa linataka nini " ndio maana anazidi kustawi
 
Brother Africa ina aina nyingi za muziki na imetokea tu kwa sasa pongolo ya naija ndo inabamba na ikatokea zaidi kuwa yeye ndo yupo kwenye peak ingawa bado kwa fan base anashindana na davido kuanzia naija hadi duniani.. refer kwa BET award davido aliyoichukua juzi juzi na hata ukiangalia awards nyinginezo ni lazma akimbizane na davido , kikubwa alichonacho jamaa ni ile hype aliyopewa na wasanii wakubwa duniani ila kiuwezo wa kisanaa si mkubwa kiasi hicho.. angalia hata live shows zake(usiangalie ukumbi ulivyoshona bali angalia stage performance..yupo kawaida sana).. unaweza weka show ya wizkid na fally ipupa katika same category kweli mzee

Ukiniambia nikutajie list ya wanamuziki kwa uwezo wa sauti jamaa sidhani kama ataingia top 20 kama si top 50.. Kimafanikio kimuziki bado hajaweka historia kubwa kama akina angelique kidjo au femi kuti na hata kwa muziki wa kiafrika hajafikia hadhi ya 2face... ni muda wake tu mzee ila kiuwezo yupo kawaida ..toa ushabiki afu umchambue bila kutumia emotions
daahh mkuu 2face si ana hit songs 3 tu huyo ukamfananishe na wizz kweli .. hahaa kweli mahaba huwa yanaruhusu upofu".... na waheshimu sana femi kuti na angelique kidjo " lakini wiz ana hit songs nyingi mnoo ambazo zina fahamika sana kuliko wao " so nachelea kusema kwamba huu ni wakati wake" kuhusu na anautendea haki haswaa anastahiki pongezi
 
Nimekuambia heshima mzee.. wasanii wote naija wanamuheshimu 2face kwa hit yake moja tu AFRICAN QUEEN, huu ndo wimbo wa kwanza kuutangaza muziki wa kizazi kipya cha naija Africa na duniani..
African queen ilikuwa theme song ya Africa na ilifika hatua ya kutumiwa kama theme song ya baadhi ya movies na events duniani ...

Sijui kama kuna wimbo wa wizkid wenye impact hiyo, najua utafikiria ojuelgba lakini haijafikia levels za AFRICAN QUEEN... huu ni wimbo timeless na unajua mzee... wizkid ni time yake na anafanya poa kwa level alizoekwa lakini ana uwezo wa kawaida
daahh mkuu 2face si ana hit songs 3 tu huyo ukamfananishe na wizz kweli .. hahaa kweli mahaba huwa yanaruhusu upofu".... na waheshimu sana femi kuti na angelique kidjo " lakini wiz ana hit songs nyingi mnoo ambazo zina fahamika sana kuliko wao " so nachelea kusema kwamba huu ni wakati wake" kuhusu na anautendea haki haswaa anastahiki pongezi
 
Nimekuambia heshima mzee.. wasanii wote naija wanamuheshimu 2face kwa hit yake moja tu AFRICAN QUEEN, huu ndo wimbo wa kwanza kuutangaza muziki wa kizazi kipya cha naija Africa na duniani..
African queen ilikuwa theme song ya Africa na ilifika hatua ya kutumiwa kama theme song ya baadhi ya movies na events duniani ...

Sijui kama kuna wimbo wa wizkid wenye impact hiyo, najua utafikiria ojuelgba lakini haijafikia levels za AFRICAN QUEEN... huu ni wimbo timeless na unajua mzee... wizkid ni time yake na anafanya poa kwa level alizoekwa lakini ana uwezo wa kawaida
wiz bado ni mdogo sana", bado anafanya vyema kwenye career yake .. subiri wakati utaongea tu na yeye atapata hiyo heshima unayoizungumzia " haupaswi kumkosoa wakati kwa upande wake ndio kwanza ana hasira kama underground " kwa upande wake jua ndio kwanza linachomoza
 
wiz bado ni mdogo sana", bado anafanya vyema kwenye career yake .. subiri wakati utaongea tu na yeye atapata hiyo heshima unayoizungumzia " haupaswi kumkosoa wakati kwa upande wake ndio kwanza ana hasira kama underground " kwa upande wake jua ndio kwanza linachomoza
Ni young katika age lakini sio katika muziki..toka aliposajiliwa na W BANK ni miaka mingi tu ...

Lakini hopefully atafanya poa zaidi.. ni inspirational kwa vijana watafutaji maana kaanza from zero to hero
 
Ni young katika age lakini sio katika muziki..toka aliposajiliwa na W BANK ni miaka mingi tu ...

Lakini hopefully atafanya poa zaidi.. ni inspirational kwa vijana watafutaji maana kaanza from zero to hero
Ewaaa haya ndio maneno ambayo ulipaswa kuyatamka toka awali... Asante
 
Mimi pia nilijiuliza hilo, kama huu wimbo wake mpya wa fever kawaida sana
Mkuu hata Mimi namwona huyu wiz hana kabisa hizo sifa anazopewa
Hata mimi huwa najiuliza sana swali hili mkuu...huyu jamaa anaimba kawaida mno ila ndio hivyo sijui nini kiko nyuma ya pazia
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitafuta Uchawi ulianza vipi....? Nadhani nyie mtanipa mwongozo kidogo
 
Ewaaa haya ndio maneno ambayo ulipaswa kuyatamka toka awali... Asante
Kweli unamkubali jamaa...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sio mbaya lkn
 
Jamaa ana Unique style kila nyimbo anakill mzee baba, ukisema huoni cha ajabu ntahisi maskio yako yanatakiwa yakapigwe bomba kutoa NTA! Copy zake karibia zote amezitendea haki ana kisauti flani Unique jamaa halafu beats ziko natural ndio maana hata wa mamton na watasha wengi wana mkubali!

Bila kusahau jamaa ana Swag iliokwenda shule kila anachovaa kinanata na body kwahio ata usipompenda wewe dada ako atampenda tu haina kwere!
 
Kweli unamkubali jamaa...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sio mbaya lkn
halafu hauwezi kuamini " wala simkubali kihivyo " but huwa nina desturi moja ya kumuheshimu mtu anayefanya vyema katika tasnia yake",... hata kama nitakuwa simpendi " but kwenye ukweli unao muhusu nitasimama nyuma yake" mfano simpendi diamond ila siwezi thubutu kusema kuwa hajui kuimba
 
Akianza lazima uskie [emoji444]It's legendary beats[emoji445]
Starboy ana ngoma kali ila chache ni hizi:
*Ojuelegba (huu kwangu ni kama wimbo wa taifa)
*Caro
*Show you the money
*In my bed
*Soco
*Come closer
*Holla at your boy
*Baba nla
Aiseee mtoa mada embu jichunguze kwanza
Mjadala ulipaswa kufungwa hapa,
 
halafu hauwezi kuamini " wala simkubali kihivyo " but huwa nina desturi moja ya kumuheshimu mtu anayefanya vyema katika tasnia yake",... hata kama nitakuwa simpendi " but kwenye ukweli unao muhusu nitasimama nyuma yake" mfano simpendi diamond ila siwezi thubutu kusema kuwa hajui kuimba
Kuwa nyuma yake tu haitoshi ,unatakiwa usimamie kwenye ukweli
 
Unataka kulinganisha na kitorondo sio??
Wizkid ana nyimbo kali sana... tafuta hizi..
Gbese
Dadyo
Expensive shit..
Manya..
In ma bed..
Final..
N.k nk nk...
Tuliza mshono.. wivu huo wanao akina AMBER RUTY...
 
Back
Top Bottom