Wizkid ana nyimbo za kawaida sana..

Wizkid ana nyimbo za kawaida sana..

Nyimbo ya gbese ni ya wizkid au Lil kesh
Unataka kulinganisha na kitorondo sio??
Wizkid ana nyimbo kali sana... tafuta hizi..
Gbese
Dadyo
Expensive shit..
Manya..
In ma bed..
Final..
N.k nk nk...
Tuliza mshono.. wivu huo wanao akina AMBER RUTY...
 
Achana kabisa na Ojuelegba,dady yo!! daah hao wengine uliowataja sijui wanaimba nini Labda hapo Patoranking ndo namkubali kwenye list yako
 
Kila mtu atetee chaguo lake
 
Huyu jamaa naona kadri siku zinavyokwenda naona umaarufu wake unazidi kuongezeka kana kwamba ana nyimbo kali kupitiliza,Mimi ni mfatiliaji na shabiki mkubwa wa nyimbo za Nigeria,kuna wasanii wanaimba sana lakini hawapewi sifa za Wizkid...watu Kama Mr flavour,tiwa Savage,patoranking,yemi alade,davido na wengine wengi wanajua Sana lakini sifa nyingi zinaenda kwa Wizkid,hit song zake zote za kawaida mno plus video,japo kila msanii ana staili yake ya uimbaji ila Wizkid wa kawaida sana...huu ni mtazamo wangu ukikosoa uje na hoja
Jaribu kuchukua muda wako usikilize
1:baba nhla
2:soco
3:manya
4:this kind of love
Halafu kuna hiyo don't cry aliimba na weasel na radio hapo ndo nilipojua jamaa ni konyo
 
StarBoy ni next Level usimfananishe na msanii yeyote Afrika ngoma za Wizkid ni kwikwi na zina eleweka ukitaka kujua Wizkid ni noma sikiliza
 
StarBoy ni next Level usimfananishe na msanii yeyote Afrika ngoma za Wizkid ni kwikwi na zina eleweka ukitaka kujua Wizkid ni noma sikiliza
Nachomkubali jamaa hajawahi kufanana beat au style na watu wengine sasa sis wasanii wetu kwa kusample beat hadi wanakera
 
Mtoa mada kuna haja yakwenda kupima afya ya akili ... wiz ni next level ujue .. hivi umewahi kuisikia ile chorus ya. This kind love ... Ma lo " unaanzaje kusema kuwa ule ni uimbaji wa kawaida .
Yaani mkuu ukitaka kujua Wiz ni mkali sikiliza hiyo chorus yake kwenye this kind of love
 
Back
Top Bottom