monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Unataka kulinganisha na kitorondo sio??
Wizkid ana nyimbo kali sana... tafuta hizi..
Gbese
Dadyo
Expensive shit..
Manya..
In ma bed..
Final..
N.k nk nk...
Tuliza mshono.. wivu huo wanao akina AMBER RUTY...
Sio kweli tutabishana siku nzima humu
Tunechi ana mawe balaa
Wizkid mkuu.. kuna gbese nyingi tafuta Gbese Wizkid ft trey song...Nyimbo ya gbese ni ya wizkid au Lil kesh
Jaribu kuchukua muda wako usikilizeHuyu jamaa naona kadri siku zinavyokwenda naona umaarufu wake unazidi kuongezeka kana kwamba ana nyimbo kali kupitiliza,Mimi ni mfatiliaji na shabiki mkubwa wa nyimbo za Nigeria,kuna wasanii wanaimba sana lakini hawapewi sifa za Wizkid...watu Kama Mr flavour,tiwa Savage,patoranking,yemi alade,davido na wengine wengi wanajua Sana lakini sifa nyingi zinaenda kwa Wizkid,hit song zake zote za kawaida mno plus video,japo kila msanii ana staili yake ya uimbaji ila Wizkid wa kawaida sana...huu ni mtazamo wangu ukikosoa uje na hoja
Nachomkubali jamaa hajawahi kufanana beat au style na watu wengine sasa sis wasanii wetu kwa kusample beat hadi wanakeraStarBoy ni next Level usimfananishe na msanii yeyote Afrika ngoma za Wizkid ni kwikwi na zina eleweka ukitaka kujua Wizkid ni noma sikiliza
Yaani mkuu ukitaka kujua Wiz ni mkali sikiliza hiyo chorus yake kwenye this kind of loveMtoa mada kuna haja yakwenda kupima afya ya akili ... wiz ni next level ujue .. hivi umewahi kuisikia ile chorus ya. This kind love ... Ma lo " unaanzaje kusema kuwa ule ni uimbaji wa kawaida .