Wizkid asema kidogo ndio nyimbo bora na anayoikubali kwa sasa

Wizkid asema kidogo ndio nyimbo bora na anayoikubali kwa sasa

utajua mwenyewe ila mwaka huu hamna tuzo....cc tyar tunazo mbil NAFCA je nyie
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sisi Tuna MTV mama, MTV emma , Afrimma tunazo 10 , Kili tunazo 12, kora tunazo 4 BET nominated Mara 2, channel 0 tunazo 3 Kibakuli wenu MTV, na Channel O hajawahi hata kuwa nominated kwahyo Dogo usifananishe kichuguu (kibakuli) na Mlima Kilimanjaro (Diamond)
 
Halafu Dogo rudi shule kwanza humu hapakufai ona hata jina lako kuandika hujui nna mashaka na elimu yako hv umefika hata form 2 wewe andika IS UR BOY sio isho
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sisi Tuna MTV mama, MTV emma , Afrimma tunazo 10 , Kili tunazo 12, kora tunazo 4 BET nominated Mara 2, channel 0 tunazo 3 Kibakuli wenu MTV, na Channel O hajawahi hata kuwa nominated kwahyo Dogo usifananishe kichuguu (kibakuli) na Mlima Kilimanjaro (Diamond)
elewa swali usikurupuke tu kujibu....nasema kwa mwaka huu mmepata tuzo ngp mbn unazunguka
 
Kiufup d anatoboa sana emu imagin ajafanya collabo na msanii yoyote wakimataifa nje na bara la Africa ila anasumbua mpaka za nje
 
elewa swali usikurupuke tu kujibu....nasema kwa mwaka huu mmepata tuzo ngp mbn unazunguka
Diamond tayari mwaka huu ana tuzo zaidi ya 3, hipipo kachikua 2 na headies nigeria kachukua 1, nikuletee na zingine?
1471418087273.jpg
 
pale wanaposema nyimbo mbaya[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Kuna kitu wazungu wanaita "Competitive Advantage" na Diamond ameielewa!

That is, kama unafanya vizuri kuwapita washindani wako kwa colabo, basi endelea kupiga collabo maana ndo ushindi wako ulipo.
Ndugu yangu kuna jukwaa umesusa msimu huu kabisa kutokea...wadau wanakuomba walau utokee kutoa hekima zako kule
 
kumbe mlikuwa mnaumia sana ......... kama ni hivo basi mtaumia ZAIDI na hamtofika hapa. KUMBUKA HADI TUZO ZA HESHIMA ZIPO HUMO,BILA KUSAHAU YEYE NI MMOJA KATI YA NEMBO ZA TAIFA.
Diamond-awards.jpg

tuzo-za-d.jpg

View attachment 383042
Yaani mwenzao kashajaza chumba wao ndo wanaanza kelele tupu, cha ajabu diamond mziki kaanza 2010 mwenzake kaanza 1999 .
Pale wanaposema unasoma kidogo kufaulu sana
Mwingine msuli tembo matokeo sisimizi
 
Kwani mnawashindanisha kwa lipi kati ya Kiba na Mond?
 
Ndugu yangu kuna jukwaa umesusa msimu huu kabisa kutokea...wadau wanakuomba walau utokee kutoa hekima zako kule

Nipo man, next week nitaanza kuwa full member!

Kuna vitu naweka sawa kwanza.
 
Kuna kitu wazungu wanaita "Competitive Advantage" na Diamond ameielewa!

That is, kama unafanya vizuri kuwapita washindani wako kwa colabo, basi endelea kupiga collabo maana ndo ushindi wako ulipo.
Yeah we jamaa una akili sana...
 
Back
Top Bottom