Wizkid asema kidogo ndio nyimbo bora na anayoikubali kwa sasa

Wizkid asema kidogo ndio nyimbo bora na anayoikubali kwa sasa

Hii Leag ya Mond na Kiba ndio inafanya wakina Jux wasitajwe na kujulikana zaid
 
Anaogopa kujibu...achana naye....habari wanayo
Diamond ana tuzo zaidi ya 3 hipipo 2 na headies nigeria kachukua 1 au mnajisahauliza au niwezke na zingine
1471419772226.jpg
 
Tujifunze akiki yabiashara.wiz anajua Tanzania kuna watu zaid yamil40.so akiupa promo wimbo wa tz anauhakika wakukubalika kwny nchi hiyo.so akiwa tz atasema hivyo akienda Kenya ayawasifia sautsol.ndivyo biashara ilivyo jaman
Dah ila he is not fair km ni hvyo... at least angeitaja hata aje wa kiba....not fair hahah
 
Dah ila he is not fair km ni hvyo... at least angeitaja hata aje wa kiba....not fair hahah
Aje anaijua nani? Zaidi ya kenya kajitaidi sana rwanda nenda kasome hata comment youtube utagundia hilo
 
Diamond yuko vyema zaidi Ali kiba embu tuone hao sony music kama watamvusha kufika mbali maana Nae ni msanii mzuri wakiwa wengi kwenye competition mziki wetu utazidi kukua na kupenya mbali zaidi
 
Tujifunze akiki yabiashara.wiz anajua Tanzania kuna watu zaid yamil40.so akiupa promo wimbo wa tz anauhakika wakukubalika kwny nchi hiyo.so akiwa tz atasema hivyo akienda Kenya ayawasifia sautsol.ndivyo biashara ilivyo jaman
uko sawa kabisa.ila ''wimbo wa Tanzania' kama ulivyosema ni 'kidogo' ya Domo tu?!!!.........mbona asitaje zingine kama Aje,Moyo mahine ya Ben Pol imepigwa hadi trace nk!??huwez kubisha kua baada ya tisa haiji kumi jamaa,utaonekana mwendawazimu....Domo ni msanii kubwa sana bongo na east africa KULIKO YOYOTE
 
uko sawa kabisa.ila ''wimbo wa Tanzania' kama ulivyosema ni 'kidogo' ya Domo tu?!!!.........mbona asitaje zingine kama Aje,Moyo mahine ya Ben Pol imepigwa hadi trace nk!??huwez kubisha kua baada ya tisa haiji kumi jamaa,utaonekana mwendawazimu....Domo ni msanii kubwa sana bongo na east africa KULIKO YOYOTE
Siwez sema coz cjafanyia research.no research no right tospeak.
 
Siwez sema coz cjafanyia research.no research no right tospeak.
Ndio ujue kidogo ni wimbo mkubwa sana kutoka msanii mkubwa mno.maoni ya Star Boy yanaenda mbali zaidi ya sababu tu za kutaka nyimbo zake ziende.kama nyimbo yako ina sauti za CB,na kina Drake sasa promo yake haiwez kua ngumu kama ambavyo utamshirikisha Saut Sol..wz hana tabu hiyo kwa muonekano wa mambo ulivyo sasa..so usiumie sana n give credit where's due
 
Inawezekana nikwel unayosema lakn nakua mzito coz kwangumm je utanipenda bado ningoma bora kuliko kidogo
 
unataka kusema aje hajawai isikia au promo za kuupaisha wimbo wa domo
Watanzania bana mtu anaongea kuhusu wizkid na wimbo wa kidogo.huyu jamaa anaongerea AJE
Acha kuchukia mafanikio ya MTU wewe me nawakubali wote diamond na kiba.kila mmoja anafanya poa kwenye part yake
 
Ndio ujue kidogo ni wimbo mkubwa sana kutoka msanii mkubwa mno.maoni ya Star Boy yanaenda mbali zaidi ya sababu tu za kutaka nyimbo zake ziende.kama nyimbo yako ina sauti za CB,na kina Drake sasa promo yake haiwez kua ngumu kama ambavyo utamshirikisha Saut Sol..wz hana tabu hiyo kwa muonekano wa mambo ulivyo sasa..so usiumie sana n give credit where's due
Inawezekana nikwel unayosema ilakwangumm nakua mzito kukubal coz je utanipenda ni best song kwangumm kuliko kidogo.ila ntafnya utafiti
 
ndo tazo la kuzaliwa kwenye mikoa mipya.....unafikiri mtu upo katavi uko utajua nn
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom