Wolper afunguka pesa itayogharimu harusi yake

Wolper afunguka pesa itayogharimu harusi yake

sasa 10mil kwa marekani mbona ni pesa ndogo sana?
 
View attachment 676149 Mwanadada mwanamitindo na mwigizaji maarufu nchini, jackline Wolper Massawe ametangaza makubwa ujio wa ndoa yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mara baada ya kuwa tayari ameshatolewa mahali.

Wolper amedai kuwa ndoa hiyo inatarajia kugharimu kiasi cha shilingi milioni 60 za kitanzania, ikiwa milioni 50 kutumika kwa ajili ya harusi itayofanyika Dar huku milioni 10 kutumika harusi itayofanyika Marekani.

“Milioni kama 50 zitatumika kwenye sherehe ya hapa Bongo na nyingine 10 nje kwa sababu kule Marekani hatutakuwa na watu wengi sana,” alisema Wolper.
Akizungumza hayo pindi alipohojiwa na moja ya chombo cha habari mjini , Wolper amesema kuwa kwenye harusi inayotarajiwa kufanyika Marekani anatarajia kusindikizwa na wasanii wanne akiwepo Anty Ezekiel, huku wengine watatu bado hawajajulikana kwa majina yao.

‘’Wasanii ambao nitaenda nao kwa ajili ya kuhudhuria harusi yangu ni wanne tu, mmoja kati yao ni Aunt Ezekiel kwa sababu huwa ananipa sapoti kwenye biashara zangu hivyo siwezi kumwacha,” alisema Wolper

Wolper amesema kuwa gharama zote za wasanii watao msindikiza zitaakuwa juu yake yaani kuanzia usafiri wa hapa nchini hadi pesa yao ya kujikimu pindi wawapo nchini Marekani.


Dar 24
Mchumba mwenyewe si ndio yule mume wa mtu! Au kajitokeza mwingine zaidi?
 
Marekani hiyo aliyoitaja hata nauli inaweza isitoshe.
 
View attachment 676149 Mwanadada mwanamitindo na mwigizaji maarufu nchini, jackline Wolper Massawe ametangaza makubwa ujio wa ndoa yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mara baada ya kuwa tayari ameshatolewa mahali.

Wolper amedai kuwa ndoa hiyo inatarajia kugharimu kiasi cha shilingi milioni 60 za kitanzania, ikiwa milioni 50 kutumika kwa ajili ya harusi itayofanyika Dar huku milioni 10 kutumika harusi itayofanyika Marekani.

“Milioni kama 50 zitatumika kwenye sherehe ya hapa Bongo na nyingine 10 nje kwa sababu kule Marekani hatutakuwa na watu wengi sana,” alisema Wolper.
Akizungumza hayo pindi alipohojiwa na moja ya chombo cha habari mjini , Wolper amesema kuwa kwenye harusi inayotarajiwa kufanyika Marekani anatarajia kusindikizwa na wasanii wanne akiwepo Anty Ezekiel, huku wengine watatu bado hawajajulikana kwa majina yao.

‘’Wasanii ambao nitaenda nao kwa ajili ya kuhudhuria harusi yangu ni wanne tu, mmoja kati yao ni Aunt Ezekiel kwa sababu huwa ananipa sapoti kwenye biashara zangu hivyo siwezi kumwacha,” alisema Wolper

Wolper amesema kuwa gharama zote za wasanii watao msindikiza zitaakuwa juu yake yaani kuanzia usafiri wa hapa nchini hadi pesa yao ya kujikimu pindi wawapo nchini Marekani.


Dar 24
Hivi kwa nini Watanzania tunakuwa wafujaji wa hela kihivi?
 
Mwisho wa siku utasikia nlikuwa naandaa movie. Inaitwa Ndoa Yangu. Msanii huyo.
 
Wapi bana wolper anafuata hela tu kwa yule bwana.hawaendani kabisa. Jamaa full mong'o yaan zinjatopa
 
sijawahi ona mchaga mjinga hivyo, sasa tsh million 10 (approx dola $4890) utafanyia nazo nn marekani???? 70 million tsh hapo hujaweka nauli ya go and return kwa wasindikizaji, si tsh million 100 ishaenda? hlf wolper sidhani hata kama ana nyumba...
 
Harusi za siku hizi huku mtaani gharama zake mil 25 hadi 60, za matajiri kidogo huwa zinafika hadi 100, za matajiri sijui maana huwa hata hawasemi. Wolper kama msanii mkubwa na mkongwe Tanzania kujinadi harusi ya mil 60 akidhani ni kubwa sana ni ulimbukeni.
Harusi nilizowahi kuchangia/kwenda mimi hazijawahi kuzidi mil 15 na wanandoa wamedumu kuliko za hao wabongo movie na fleva baada ya miezi miwili wanaachana
sema atakuwa ameona inamtosha hiyo tu ya joti ilikuwa milion 100 ya jay prof sijajua
 
Isije kuwa anaandaa video mkajua kweli anataka kufunga ndoa...
hahahahahahah hapa chai ziko nyingi sana
hivi wanaanzaje kujinadi hivi? movie za bongo zimepanuka sio kwa mbwembwe hizi
 
Hawa watu wengine ndio wanasababisha tuonekane Shithole countries
 
View attachment 676149 Mwanadada mwanamitindo na mwigizaji maarufu nchini, jackline Wolper Massawe ametangaza makubwa ujio wa ndoa yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mara baada ya kuwa tayari ameshatolewa mahali.

Wolper amedai kuwa ndoa hiyo inatarajia kugharimu kiasi cha shilingi milioni 60 za kitanzania, ikiwa milioni 50 kutumika kwa ajili ya harusi itayofanyika Dar huku milioni 10 kutumika harusi itayofanyika Marekani.

“Milioni kama 50 zitatumika kwenye sherehe ya hapa Bongo na nyingine 10 nje kwa sababu kule Marekani hatutakuwa na watu wengi sana,” alisema Wolper.
Akizungumza hayo pindi alipohojiwa na moja ya chombo cha habari mjini , Wolper amesema kuwa kwenye harusi inayotarajiwa kufanyika Marekani anatarajia kusindikizwa na wasanii wanne akiwepo Anty Ezekiel, huku wengine watatu bado hawajajulikana kwa majina yao.

‘’Wasanii ambao nitaenda nao kwa ajili ya kuhudhuria harusi yangu ni wanne tu, mmoja kati yao ni Aunt Ezekiel kwa sababu huwa ananipa sapoti kwenye biashara zangu hivyo siwezi kumwacha,” alisema Wolper

Wolper amesema kuwa gharama zote za wasanii watao msindikiza zitaakuwa juu yake yaani kuanzia usafiri wa hapa nchini hadi pesa yao ya kujikimu pindi wawapo nchini Marekani.


Dar 24
USA ataenda na watu 4 plus yy na mme wake wanakuwa 6.

Return ticket minimum ni $1200 per person, times 6????

Hapo bado gharama za Sherehe na accommodation za hotel nk!

Huyu kichwa maji kweli kweli!
 
USA ataenda na watu 4 plus yy na mme wake wanakuwa 6.

Return ticket minimum ni $1200 per person, times 6????

Hapo bado gharama za Sherehe na accommodation za hotel nk!

Huyu kichwa maji kweli kweli!
Kwani huawajuwi hawa?! Ndio wanaodatisha visichana kwamba wanamaisha haya mazuri feki, 90% yao wamepanga tu na vigari, maisha yale ya kwamba wana good times ni picha za hotelini walipoenda kudanga...
Si wa kweli...
 
Kwani huawajuwi hawa?! Ndio wanaodatisha visichana kwamba wanamaisha haya mazuri feki, 90% yao wamepanga tu na vigari, maisha yale ya kwamba wana good times ni picha za hotelini walipoenda kudanga...
Si wa kweli...
hivi wema nae kapanga mkuu?
 
Back
Top Bottom