amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Inategemea hiyo pombe unainywea wapi. Matola kasema alinunua 45, bshaka alinunua kwenye maduka ya vinywaji na sio hotelini. Kuna hoteli nilienda kula Mbunye nakumbuka niliinunua 70elf.
Sasa na wewe hiyo "70elf" unaona hela eeeee?