Wolper jamani

Wolper jamani

Hivi huyu dada alimaliza la saba kweli mbona kuandika kwake ni majanga sana ,mtu una followers milion 3 sijui moja kuandika hivi khaa, si ajifunze kama tu kuandika kwa kutumia keyboardy simu ni hivi je akiandika kwa kalamu si tutakiambiana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
warumi njoo umuone shoga akoView attachment 771557
Mbona mnapenda sana kutuletea umbea wa hawa watu wasiojitambua au na nyie ni sampuli ile ile?
 
@Ms Lincolin alisema kamaliza form six [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nyau nafwa sasa hivi "" huyo demu alitoroka kwao kabisa ...wazazi wake wakawa hawajui "" anakoishi ..wakawa wanapata taarifa tu toka kwa watu kuwa mtoto wao anauza chiu dar" wamekuja kujua kuwa mtoto wao yupo na makazi yake yalipo"" baada ya kuanza kuonekana kwenye film za kibongo ..."" baba yake alikuwaga mtata sana na familia yao kiasi fulani imeshika dini " ndio isingekuwa rahisi kwa yeye kuweza kudanga huku akiwa kwao kibaha...akaamua kujiongeza kwa kukimbia
 
Back
Top Bottom