Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Yap ila kujipa raha siku moja moja si mbaya
We unajipaga raha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap ila kujipa raha siku moja moja si mbaya
Mwenyewe najipaga ee ,,tena uniletee dildoWe unajipaga raha?
Mwenyewe najipaga ee ,,tena uniletee dildo
wimbo upo kwenye a/c ya harmonize YouTube or wasafi.comEti hamornize kamuimba kwa nyimbo yake mpya ,bibie wolper bibi wa viben10 kamwaga mapovu hayaaa [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 586916 nyie watu kama mnapendana rudianeni ,,sasa wolper umejuaje umeimbwa au kiki tu badala ukitulize na huyo rasi wako jomoniii
View attachment 586918 mwenye nyimbo ya sumu ya hamornize atuwekee hapa tuisikie
Ila wolper ana kiherehere[emoji23][emoji23][emoji23] kwani angenyamaza angekufa ni ushaamba asee japo hiyo ni dalili ya kuwa bado unampenda ati maana huisho kuwaongea hamo na sarah Kardashian [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila yule saraha huo uso mrefu aliufanyaje jamani yaan hawezi kuangalia mbele mpaka avae miwani au ndio mioperesheni yao[emoji23][emoji23] ,yaan yule dada picha za kuangalia mbele ya camera mpaka avae miwani lasivyo atageuza shingo pembeni halaf mjanja kweli ni kama zari akitaka kucheka yupo makini kweli kwenye picha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapenda ubuyu kujeni mtiririke
geniveros Maserati Linamo Shunie Miss Natafuta dark angel espy
Nyani Ngabu peke yakeHuwa unamuwaza nani ukiwa unajipa raha?
Ole wako ukosee kulijibu hili swali siku kama ya leo ambapo iPhone 8 inazinduliwa....
Nyani Ngabu peke yake
Na likes nimekupa
Hewala mamaUkisema ulinganishe nani mzuri zaidi ya nani hata Huyo brown shoga nae mbaya kwa hemed,au jerry wa rymth.
So,mi siwezi sema mwanaume mbaya. Wanaume ha wako special kwa Ku identify uzuri.
Mwanaume Kazi,mwanaume ela, mwanaume mashine.
Hayupo ila atakuja ba sabrinaUna akili sana wewe.
Ndo maana hata la Sabrina kana akili.
Halafu, hivi Ba Sabrina yupo humu?
Hayupo ila atakuja ba sabrina
Sasa je achana na hayo,tuongee kuhusu simu
Eee nataka tuwe sare sare maua[emoji8]Haya sema...wataka iPhone 8, 8 plus, au iPhone X?
Mi naisubiri X itoke na natarajia kuweka pre order wiki hii
Nawe unataka X ili tuwe sare sare maua?
Dildo[emoji15] fanya tribing kiafyaMwenyewe najipaga ee ,,tena uniletee dildo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maskini anamuonga dumeHaya sema...wataka iPhone 8, 8 plus, au iPhone X?
Mi naisubiri X itoke na natarajia kuweka pre order wiki hii
Nawe unataka X ili tuwe sare sare maua?
We si umesema mi shemeji yako,mi tena dume[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maskini anamuonga dume
Sent using Jamii Forums mobile app
S umekataa co. So ww n dumeeWe si umesema mi shemeji yako,mi tena dume
Ha ha ha ha ha. Nipo karibu na chandamali hapo..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwambie chenjilahi pana hapa pamnwaniHa ha ha ha ha. Nipo karibu na chandamali hapo..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asante kwa ubuyu huuu ni mtamu hasa nadhani una ka flavour ka straweberyNa wakija lazima msome tu chezea ubuyu