Hiyo hata kwa wanaume ipo.Exception cases zipo lakini kiujumla wanawake almost wote wapo ivyo, ni kama watu ambao hawapendi amani idumu kwa kipindi kirefu. Mkikaa muda mrefu bila kukwaluzana mwanamke atatafuta hata sababu ya kipumbavu tu kuanzisha malumbano.
Punguza hisia na kupenda kuabudiwa, hapo mwenye tatizo sikuwa mimi.!!Kwa iyo case study mwenye matatizo ni wewe maana ndie ulikua na uhitaji wa kunyoshwa. Kama usingekutana na hao wanaume maana yake ungebaki vile vile. Ndipo hapo sasa tunathibitisha kwamba ile statement ya kutaka kuishi nanyi kwa akili mnaitumia ku-justify matatizo yenu mkifikiri ni wajibu wa mwanaume kuyabeba au kuwanyosha. Kama unanajua una tatizo fulani labda majibu mabaya, kiburi, tamaa n.k ni wajibu wako wewe binafsi kujirekebisha usimsubiri au kumpa ilo jukumu mwanaume
Jamaa kajipanga haswaUmetumia mtazamo ambao ni mpana sana...
😂Endelea kuamini karma yako.Mimi naamini katika KARMA kwamba unachotuma kinarudi so ukituma kitu kizuri kitakurudia in different ways
So sio rahisi nitukane MTU au kugombana na MTU mambo mengi nachukulia kawaida Sana.
Hata huyu mtoa mada hajui anachokifanya ku-attack wanawake
Karma is a debt and not favoritism
Hivi vitabu tunavyosoma tunatakiwa tujue kwamba vimeandikwa na watu wa ulaya na marekani kwa kufanya rejea ya mazingira yanayowazunguka ambayo ni tofauti ma mazingira yetu, kwaiyo tunavyo-aply yaliyoandikwa tuwe tunachanganya na akili zetu binafsi.
Kama tunavyojua umasiki unaambatana na chuki, husuda, roho mbaya, uchawa, ubinafsi n.k kwaiyo kuwa nice kwenye jamii ya watu masikini sio kitu salama sana kwa mustakabali wa maisha yako.
Nanjilinji huku ndani ndaniUko wapi....
😂Endelea kuamini karma yako.
Kama ingekua ni karma wazungu wasingekua hapo walipo hasa kwa walichowafanyia waafrika enzi za utumwa.
Kitu ambacho hujui ni hujui tu, karma yenyewe umekaririshwa na wazungu kama ulivokaririshwa amri kumi kukuweka gerezani kifikra😂
Anyway keep it up sio lazima wote tujue
Kweli kabisa kiongoziNdo uzuri wa imani mkuu unaamini kile ambacho umeamua kuamini .
Ishi nae lakini weka mipaka sehemu ambayo hatakiwi kusogeaKuna jamaa alilalamika humu, kamfungulia biashara mke wake kala mtaji na kasema mtaji unaoendesha biashara ni mtaji wake😂
Maisha bila mke pia yana taswira tofauti, unajiona mpweke, unazini hovyo yaani kila dem atakepita mbele yako ni halali yako, yaani unazini weeeee mpaka unaona Sasa hakuna jipya, unasema ngoja invite bangi, ninywe pombe nk bado unaona kabisa at extent level you've got nothing but trouble.
Mwanamke ni shida,ngono ni shida,pombe ni shida,bangi ni shida, kwenda kanisani/msikitini ni shida kwasababu uko depressed na shida za kidunia, unajiuliza nifanye nini?
Kila kitu kwenye hii dunia nishida tupu.
MUNGU atusaidie maana hata ukiwa na pesa, bado haitamaliza shida, Kama hautapata sehemu ya pili ya roho yako.
Lugha isikutishe ni aina yetu tu ya mawasiliano but when it comes to brotherhood everything is fine. Kusikia marafiki wa kiume wanaitana fala ni kawaida tu tofauti na nyie mnaoitana majina mazuri mazuri lakini ndani ya mioyo mmewekeana chuki na husuda.Hiyo hata kwa wanaume ipo.
Mfano mzuri humu humu majukwaani wanaume mnaongoza kugombana na kutukanana sana.!!
Kwamba mwenye tatizo sio wewe ambae ulikua na tatizo ila mwenye tatizo ni ambae alitumia approach ambayo haikuondoa tatizo lako, ridiculous.!Punguza hisia na kupenda kuabudiwa, hapo mwenye tatizo sikuwa mimi.!!
Tatizo ni la mwanaume wa kwanza ambaye alitumia hisia zaidi.!
Unataka kugawa cheo/nafasi yangu mkuu?Kiongozi unafaa kuwa mwenyekiti wa KATAA NDOA...maana unavyotuhamasisha mhh!
Katika kitu ambacho sikubaliani nacho ni huo upumbavu wa karma. Zinachukuliwa rejea za wachache waliokutwa na majanga by coincidence tu ila kuna wengi ambao wanafanya mabaya na wanapeta hawaangaliwi😂Endelea kuamini karma yako.
Kama ingekua ni karma wazungu wasingekua hapo walipo hasa kwa walichowafanyia waafrika enzi za utumwa.
Kitu ambacho hujui ni hujui tu, karma yenyewe umekaririshwa na wazungu kama ulivokaririshwa amri kumi kukuweka gerezani kifikra😂
Anyway keep it up sio lazima wote tujue
Sikujua 🤐🤐🤐Unataka kugawa cheo/nafasi yangu mkuu?
#YNWA
Hayo maandiko yaliandikwa zamani sana, yashakua outdated kwenye dunia ya leo. Usikubali upumbavu wa ku-adapt na tabia za kijinga za mwanamke na kupambana kumbadilisha. You are not rehabilitation centre, just let her go, as an adult she is responsible for her bad behaviours.Maandiko yamesema ishi na mwanamke kwa akili...zingatia neno AKILI
Ni nadharia wakubwa waliiweka ili ku control watu, maskini na wanyonge wengi huonewa na kunyanyaswa na kushindwa kujitetea kwa kisingizio cha kumuachia mungu na wengine kusema wanaiachia karma huku matajiri wakipeta tu na maisha mazuri.Katika kitu ambacho sikubaliani nacho ni huo upumbavu wa karma. Zinachukuliwa rejea za wachache waliokutwa na majanga by coincidence tu ila kuna wengi ambao wanafanya mabaya na wanapeta hawaangaliwi
Kaka zako wapumbavu. Samahani kwa hilo mkuu.Mimi na ndugu zangu tulikua tunaishi poa sana, hatujawahi kuwa na ugomvi wala mfarakano wowote.
Nina ma bro wawili na dada wawili. Shughuli ilianza huyo bro wangu wapili alipooa.
Mke wake akaanzisha ugomvi usio na kichwa wala miguu na mke wa bro mkubwa. Ugomvi ukaenda mbali mpaka kuna siku wameshikiana mapanga wanataka kukatana! Tukawaamulia, wakapatanishwa.
Kumbe kichinichini ugomvi ukawa unaendelea. Huku na huku waume zao nao wakatumbukia kwenye hilo sakata, ikafika mahali sasa ma bro wote wawili na wake zao hakuna anaeongea na mwenzake!
Haikuishia hapo, huyu mke wa bro mdogo kuna siku akapiga simu kwa dada yangu na kumueleza ishu fulani nzito kuhusu bro (mumewe). Dada zangu wawili ikabidi waende kuongea na bro kuhusu hilo tatizo. Kufika kule, yule mama kawaruka kasema yeye hajawahi kuwaambia kitu kama icho, wanamsingizia.! Bro nae kamaindi, anawaona dada zake kama ma snichi wanataka kumharibia ndoa yake!
Hapa tulipo sasa hivi hakuna anaeongea na mwenzake familia nzima.
Hehe unachekesha 😁😁So MTU akiwa trouble maker Mimi siwezi kuwa trouble maker bali nakuwa peace maker .
Ukiwa nice to people basi no body ataku-attack kila akijaribu anashindwa na kuogopa.