Women are trouble makers

Women are trouble makers

Exception cases zipo lakini kiujumla wanawake almost wote wapo ivyo, ni kama watu ambao hawapendi amani idumu kwa kipindi kirefu. Mkikaa muda mrefu bila kukwaluzana mwanamke atatafuta hata sababu ya kipumbavu tu kuanzisha malumbano.
Hiyo hata kwa wanaume ipo.
Mfano mzuri humu humu majukwaani wanaume mnaongoza kugombana na kutukanana sana.!!
 
Kwa iyo case study mwenye matatizo ni wewe maana ndie ulikua na uhitaji wa kunyoshwa. Kama usingekutana na hao wanaume maana yake ungebaki vile vile. Ndipo hapo sasa tunathibitisha kwamba ile statement ya kutaka kuishi nanyi kwa akili mnaitumia ku-justify matatizo yenu mkifikiri ni wajibu wa mwanaume kuyabeba au kuwanyosha. Kama unanajua una tatizo fulani labda majibu mabaya, kiburi, tamaa n.k ni wajibu wako wewe binafsi kujirekebisha usimsubiri au kumpa ilo jukumu mwanaume
Punguza hisia na kupenda kuabudiwa, hapo mwenye tatizo sikuwa mimi.!!
Tatizo ni la mwanaume wa kwanza ambaye alitumia hisia zaidi.!
 
Mimi naamini katika KARMA kwamba unachotuma kinarudi so ukituma kitu kizuri kitakurudia in different ways


So sio rahisi nitukane MTU au kugombana na MTU mambo mengi nachukulia kawaida Sana.

Hata huyu mtoa mada hajui anachokifanya ku-attack wanawake

Karma is a debt and not favoritism
😂Endelea kuamini karma yako.

Kama ingekua ni karma wazungu wasingekua hapo walipo hasa kwa walichowafanyia waafrika enzi za utumwa.

Kitu ambacho hujui ni hujui tu, karma yenyewe umekaririshwa na wazungu kama ulivokaririshwa amri kumi kukuweka gerezani kifikra😂




Anyway keep it up sio lazima wote tujue
 
Hivi vitabu tunavyosoma tunatakiwa tujue kwamba vimeandikwa na watu wa ulaya na marekani kwa kufanya rejea ya mazingira yanayowazunguka ambayo ni tofauti ma mazingira yetu, kwaiyo tunavyo-aply yaliyoandikwa tuwe tunachanganya na akili zetu binafsi.

Kama tunavyojua umasiki unaambatana na chuki, husuda, roho mbaya, uchawa, ubinafsi n.k kwaiyo kuwa nice kwenye jamii ya watu masikini sio kitu salama sana kwa mustakabali wa maisha yako.




Upo sahihi Ila unabidi kujua human being is spiritual creature -

Kwahiyo kuna negative inatoa matokeo pia kuna positive inatoa matokeo.


MTU anayekuwa na haya mambo Chuki, roho mbaya , n.k huyu Mimi ntadili naye kuwa nice toward him or her


Maana yake Mimi ntaendelea kupokea mambo chanya uku yeye akipata mambo negative.


So hizi njia zote kati ya kuwa negative person na kuwa positive person nimezipitia Ila ukianza kuwa positive utaona mabadiliko makubwa katika MAISHA yako.


This world is governed by spiritual warfare - so whatever you send out will comes back to you .

So being nice to people is inevitable. Mainly if ur a spiritual person.
 
😂Endelea kuamini karma yako.

Kama ingekua ni karma wazungu wasingekua hapo walipo hasa kwa walichowafanyia waafrika enzi za utumwa.

Kitu ambacho hujui ni hujui tu, karma yenyewe umekaririshwa na wazungu kama ulivokaririshwa amri kumi kukuweka gerezani kifikra😂




Anyway keep it up sio lazima wote tujue


Ndo uzuri wa imani mkuu unaamini kile ambacho umeamua kuamini .
 
Kuna jamaa alilalamika humu, kamfungulia biashara mke wake kala mtaji na kasema mtaji unaoendesha biashara ni mtaji wake😂

Maisha bila mke pia yana taswira tofauti, unajiona mpweke, unazini hovyo yaani kila dem atakepita mbele yako ni halali yako, yaani unazini weeeee mpaka unaona Sasa hakuna jipya, unasema ngoja invite bangi, ninywe pombe nk bado unaona kabisa at extent level you've got nothing but trouble.

Mwanamke ni shida,ngono ni shida,pombe ni shida,bangi ni shida, kwenda kanisani/msikitini ni shida kwasababu uko depressed na shida za kidunia, unajiuliza nifanye nini?

Kila kitu kwenye hii dunia nishida tupu.
MUNGU atusaidie maana hata ukiwa na pesa, bado haitamaliza shida, Kama hautapata sehemu ya pili ya roho yako.
Ishi nae lakini weka mipaka sehemu ambayo hatakiwi kusogea
 
Hiyo hata kwa wanaume ipo.
Mfano mzuri humu humu majukwaani wanaume mnaongoza kugombana na kutukanana sana.!!
Lugha isikutishe ni aina yetu tu ya mawasiliano but when it comes to brotherhood everything is fine. Kusikia marafiki wa kiume wanaitana fala ni kawaida tu tofauti na nyie mnaoitana majina mazuri mazuri lakini ndani ya mioyo mmewekeana chuki na husuda.
 
😂Endelea kuamini karma yako.

Kama ingekua ni karma wazungu wasingekua hapo walipo hasa kwa walichowafanyia waafrika enzi za utumwa.

Kitu ambacho hujui ni hujui tu, karma yenyewe umekaririshwa na wazungu kama ulivokaririshwa amri kumi kukuweka gerezani kifikra😂




Anyway keep it up sio lazima wote tujue
Katika kitu ambacho sikubaliani nacho ni huo upumbavu wa karma. Zinachukuliwa rejea za wachache waliokutwa na majanga by coincidence tu ila kuna wengi ambao wanafanya mabaya na wanapeta hawaangaliwi
 
Leo umeongea point.


Zamani huko yashawahi kunikuta.

Mimi kuna jamaa yangu mno rafiki wa siku nyingi, tulishirikiana kibiashara. Mtaji ukakua vizuri tu. Jamaa akapata mpenzi akaona aoe kabisa. Baada ya hapo mapichapicha yakaanza. Mwanamke alianza kuleta MANENO maneno mengi jamaa yangu wa siku nyingi mno anageuka anaaza kunituhumu mambo ya ajabu, mke wake ananituhumu wizi mara wizi, siku nyingine ananisakizia ninamtaka kimapenzi (ni mzuri mweupe na ana tako kubwa). Mimi na jamaa yangu tulikuwa na utaratibu wa kukuza mtaji tokea kwenye faida. Mwanamke wake akaanza kuwa anataka hela moja kwa moja toka kwenye biashara kwa ajili ya matumizi yake na mtoto. Pesa akipata ni kujiremba , nguo na kununua mawigi. Nikikataa kumpa hela ananizushia namtaka. Mara ananidanganya mme wake kamtuma nimpe hela. Nikimpigia jamaa yangu anasema yeye hajamtuma, halafu mwanamke ananiruka anasema hajataka hela, anaanzisha varangati. Ikabidi niwe na daftari la mahesabu mwanamke akawa anakula faida na mtaji wa upande wa jamaa wangu ambaye ni mume wake, jamaa yangu nikimuelezea anakuwa haelewi ananiona mimi mbaya, mke wake anaanzisha varangati. Siku zikaenda Nilijicontrol hasira, Siku moja uvumilivu ulinishinda, mwanamke akaanza varangati kama kawaida, nilimwasha kibao kimoja heavy tu mpaka wigi likaruka juu yeye akaanguka chini. Watu wakaja kunishikilia ikawa vurugu kweli kweli.


Jamaa yangu akaja akataka kuleta vurugu, watu wakamshikilia, mimi na rafiki yangu wa siku nyingi tukawa maadui rasmi. Mwanamke akasema nilikuwa namtaka mara aseme nilikuwa nataka kumbaka.

Jamaa yangu wa siku nyingi akanichukulia RB polisi. Nikalala ndani. Nilivyotoka tukaamua tugawane biashara. Kila mtu achukue chake. Tukaanza kupiga hesabu kumbe mwanamke amekula hela nyingi mno toka kwenye biashara. Nilitoka na 70% jamaa yangu 30%. Kila mtu akajitegemea.

Mimi mpaka leo nipo. Ila kule kwa jamaa yangu kiliumana zaidi. Mwanamke wake aliifilisi biashara ikafa kabisa halafu mwanamke ni spender anapenda lavish lifestyle nguo kali, nywele, viatu simu kali. Waliishia kugombana na jamaa wangu walishaachana na huyo mwanamke wake. Ni single mother huko. Jamaa yangu alikuja kupiga magoti kuniomba msamaha ofisini kwangu. Jamaa anasema huyo mwanamke kamfilisi na kamletea mgogoro na kila mtu kuanzia na mimi rafiki wake wa kibiashara, majirani, ndugu zake. Jamaa yangu alikuwa anazungumza machozi yanamlengalenga. Nilimboost kidogo angalau asife njaa.




Omba Mungu akuepushe na Mwanamke Mgombanishi
 
Maandiko yamesema ishi na mwanamke kwa akili...zingatia neno AKILI
Hayo maandiko yaliandikwa zamani sana, yashakua outdated kwenye dunia ya leo. Usikubali upumbavu wa ku-adapt na tabia za kijinga za mwanamke na kupambana kumbadilisha. You are not rehabilitation centre, just let her go, as an adult she is responsible for her bad behaviours.
 
Katika kitu ambacho sikubaliani nacho ni huo upumbavu wa karma. Zinachukuliwa rejea za wachache waliokutwa na majanga by coincidence tu ila kuna wengi ambao wanafanya mabaya na wanapeta hawaangaliwi
Ni nadharia wakubwa waliiweka ili ku control watu, maskini na wanyonge wengi huonewa na kunyanyaswa na kushindwa kujitetea kwa kisingizio cha kumuachia mungu na wengine kusema wanaiachia karma huku matajiri wakipeta tu na maisha mazuri.

Hii dunia ina siri nyingi ni wachache wanaoelewa
 
Mimi na ndugu zangu tulikua tunaishi poa sana, hatujawahi kuwa na ugomvi wala mfarakano wowote.

Nina ma bro wawili na dada wawili. Shughuli ilianza huyo bro wangu wapili alipooa.

Mke wake akaanzisha ugomvi usio na kichwa wala miguu na mke wa bro mkubwa. Ugomvi ukaenda mbali mpaka kuna siku wameshikiana mapanga wanataka kukatana! Tukawaamulia, wakapatanishwa.

Kumbe kichinichini ugomvi ukawa unaendelea. Huku na huku waume zao nao wakatumbukia kwenye hilo sakata, ikafika mahali sasa ma bro wote wawili na wake zao hakuna anaeongea na mwenzake!

Haikuishia hapo, huyu mke wa bro mdogo kuna siku akapiga simu kwa dada yangu na kumueleza ishu fulani nzito kuhusu bro (mumewe). Dada zangu wawili ikabidi waende kuongea na bro kuhusu hilo tatizo. Kufika kule, yule mama kawaruka kasema yeye hajawahi kuwaambia kitu kama icho, wanamsingizia.! Bro nae kamaindi, anawaona dada zake kama ma snichi wanataka kumharibia ndoa yake!

Hapa tulipo sasa hivi hakuna anaeongea na mwenzake familia nzima.
Kaka zako wapumbavu. Samahani kwa hilo mkuu.

Mwanamke kutoka familia nyingine anawezaje kukufanya mchukiane na ndugu yako wa damu.?
 
Back
Top Bottom