Hebu toa somo hilo, mnataka nini?Mwanamke ni kiumbe kizuri kilichoumbwa kwa mfano wa kupendeza, shida inakuja wanaume the way mnavyowatreat hapo ukishindwa kuishi nae kwa akili lazima awe trouble maker.!!
Mwenye matatizo ni wewe baada ya kumvuruga huyo jamaa ulijifunza!! Huwa mnajifunza too lateTatizo unatumia sana nguvu na hisia kum-control mwanamke.!!
Ngoja nikupe short story;
Kulikuwa na mwanaume alijitahidi sana kuni shape vile yeye alikuwa anataka, however alichemka sikuwahi kumuelewa kabisaaa tukaseparate, akatokea mwingine akaweza kunishape kitabia kwa njia rahisi na kwa haraka kwa kitu kile kile alichohitaji yule mwingine.!!
Je, hapo unaweza kuniambia nani alikuwa na matatizo kati yetu watatu??
Ila wakati fulani kuishi na mwanamke kunahitaji uvumilivu sana. Kuna wakati mnaweza kuwa katika good terms! From nowhere, unashangaa ameanzisha mgogoro usio na kichwa wala miguu!! Na nyumba kuanza kuwaka moto.
I think you women, sometimes you are really trouble makers!! aka pilipilipi's
Tuendelee kuhubiri Injili ya Redpill tuwakomboe wanaume masimps.Na kwanini afikiri kwamba jukumu la kumbadilisha ni la mwanaume? yeye akiona ana shida kwenye eneo fulani anashindwa kuchukua hatua za kubadilika? Wanawake ni shida tupu, yaani yeye mwenye tatizo hajioni kama ana tatizo ila alieshindwa kumbadilisha ndio anamuona mwenye tatizo.
Wanawake ni wa kuwachorea mpaka ambao hawatakiwi kuuvuka.Adam na Hawa, Samson na Delilah, na wengineo
Umesema kweli nakuunga mkono ndugu yangu.Dah basi anashida eh Mungu naomba niolewe kuzuri mimi shida yangu ni kuwa na ndugu wapande zote kwangu wanakaa tu huna uhuru hata wakujiachia na mume tokea mtoke honeymoon mpaka mfe
infact kumleta mwanamke katika maisha yako ndio kunaongeza zaidi stress, maana unaungana na kiumbe ambacho kinakutegemea completelyUkitaka maisha yaende mrama ,uanze ulevi na kupata stress,wee OA !
Hakuna somo lolote hapo, iyo kuishi kwa akili anamaanisha mwanaume uwajibike ku-adapt na kuzilekebisha zile drama na misbehave zao, utafikiri wao ni watoto wasiojua jema na bayaHebu toa somo hilo, mnataka nini?
Kabisa mkuu.We got some more serious issues to deal with than your dramas
She is responsible for her shits, am not therapastKabisa mkuu.
Mimi niache kuumiza kichwa kuwaza hela eti nainze kuliwazia jitu ambalo ni lizima tu na limelelewa na wazazi wenye akili timamu ?
Mwenye mwatatizo obvious ni yule anaye shape-waTatizo unatumia sana nguvu na hisia kum-control mwanamke.!!
Ngoja nikupe short story;
Kulikuwa na mwanaume alijitahidi sana kuni shape vile yeye alikuwa anataka, however alichemka sikuwahi kumuelewa kabisaaa tukaseparate, akatokea mwingine akaweza kunishape kitabia kwa njia rahisi na kwa haraka kwa kitu kile kile alichohitaji yule mwingine.!!
Je, hapo unaweza kuniambia nani alikuwa na matatizo kati yetu watatu??
Haya sasa nimerudi,Sema ukweli, yule wa kwanza hukumpenda ndo maana hukubadilika akatumia nguvu nyingi.
Ila wa pili ulimpenda ndo maana ikawa rahisi kubadilika.
Hii huitwa hypergamy.
Nimekuelewa kama Nabii wa Injili ya Redpill.Haya sasa nimerudi,
Hiko hivi yule mwanaume naweza kusema ndiye “MWANAUME PEKEE” niliyewahi kumpenda kwa akili zangu toka nimefika duniani.!!
Tatizo lake kubwa “HAJIAMINI”
Yani ni mtu ambaye always ana mashaka, visirani na gubu.!!
Anahubiri vitu ambavyo yeye haviishi.!!
Sipendi kuingia sana deep ila ni mwanaume hajui anachokitaka.
Unaweza ukaongea na mtu kawaida ila yy akajipa tafsiri tofauti, amejaa malalamiko km Gen z wa Kenya.!!
Lakini upande wake ni mshenzi nikianza kuweka mitabia yake ntajaza saver.!!
Huwezi kuhubiri una roho nzuri halafu huwezi kusaidia wahitaji hapo unakuwa ni UNAFIKI.Na kwanini afikiri kwamba jukumu la kumbadilisha ni la mwanaume? yeye akiona ana shida kwenye eneo fulani anashindwa kuchukua hatua za kubadilika? Wanawake ni shida tupu, yaani yeye mwenye tatizo hajioni kama ana tatizo ila alieshindwa kumbadilisha ndio anamuona mwenye tatizo.
Kwa watu mnaopendana hiyo kawaida ndio ups & down za kimapenzi.!!Wanawake kama wachawi, kwenye amani lazima alete Vita,.huwa Wana miss kugombana...
Ukikaa na mwanamke miezi mitatu hajaanzisha drama,bro jitafakari Kuna jambo halipo sawa...
Ss hivi nimechoka mtu wangu kesho ntakuja na maelezo ya kutoshaHebu toa somo hilo, mnataka nini?
Kila mmoja awajibike na ajirekebishe kwa matendo yake, wewe ni mtu mzima una akili timamu unajua jema na baya kwaiyo utakaopoona unakosea sehemu jirekebishe wala hauna haja ya kumuangalia mwanaume kama kioo, usitumie kauli ya kuishi nanyi kwa akili kutaka kuhalalisha misbehaves zako kwa kufikiri kwamba mwanaume ndie anatakiwa kukulekebisha.Huwezi kuhubiri una roho nzuri halafu huwezi kusaidia wahitaji hapo unakuwa ni UNAFIKI.
Kabla ya kuhitaji mwanamke abadilike je wewe una mabadiliko??
Au una tabia ambazo ni kioo mkeo akijiangalia anaona udhaifu wake?
Mabadiliko yaanzie kwako unayetaka mwingine abadilike.!!