Women are trouble makers

Women are trouble makers

mwanamke ni taswira ya matatizo
Hapa mama yako yupo?? Au mama yako mwanaume??
Hauwezi kusikia mume kuwa chanzo cha utengano upande wa familia ya mke
Umeendeshwa zaidi na mhemko, hasira, papara,ushamba, ulimbukeni, chuki, ujinga na upumbavu.
Familia itakua na mshikamano, biashara itaenda vizuri, amani itatamalaki lakini akishaingia mwanamke tu katikati kila kitu kinavulugika.
Tupe ushuhuda kutoka katika familia yenu. Muulize baba yako kabla ya kuoa alikuwaje na baada ya kuoa alikuwaje. Hiyo familia inapatikana vipi?? Je, wewe ni malaika?? Hukosei??
 
Hapa mama yako yupo?? Au mama yako mwanaume??

Umeendeshwa zaidi na mhemko, hasira, papara,ushamba, ulimbukeni, chuki, ujinga na upumbavu.

Tupe ushuhuda kutoka katika familia yenu. Muulize baba yako kabla ya kuoa alikuwaje na baada ya kuoa alikuwaje. Hiyo familia inapatikana vipi?? Je, wewe ni malaika?? Hukosei??
Pole kwa maumivu, haikua nia yangu kukulenga wewe.
 
Mwanaume lazima utambue kwamba mwanamke ni taswira ya matatizo, from the first place a woman existed on the earth all she brought along is troubles.

Angalia majanga aliyosababisha Hawa bustanini pale Eden, angalia msala aliokutana nao Samson baada ya kukutana na Delila.

Hauwezi kusikia mume kuwa chanzo cha utengano upande wa familia ya mke, mara zote mke ndie anakua chanzo cha mifarakano upande wa familia ya mume.

Familia itakua na mshikamano, biashara itaenda vizuri, amani itatamalaki lakini akishaingia mwanamke tu katikati kila kitu kinavulugika.

Role inayowafaa wanawake ni kuwa mama wa nyumbani tu, wabakie kuzaa, kulea na kuangalia nyumba. Mwanamke akijumuishwa kwenye mambo mengine kama ufanyaji maamuzi, biashara, uongozi n.k lazima asababishe majanga.

Mwanamke hawezi kuja na solution mezani, women always brings problems, wewe mwenyewe linganisha kipindi ambacho haukua na mahusiano na kipindi ulikua katika mahusiano ni kipindi gani ulikua unaishi bila stress.

Women are trouble maker specialists, they always look for loopholes to cause problems, don't take them seriuos. If you decide to marry her then marry at your own risk.
 

Attachments

  • IMG_5257.jpeg
    IMG_5257.jpeg
    54.9 KB · Views: 3
  • IMG_0591.jpeg
    IMG_0591.jpeg
    279.3 KB · Views: 3
Haya sasa nimerudi,
Hiko hivi yule mwanaume naweza kusema ndiye “MWANAUME PEKEE” niliyewahi kumpenda kwa akili zangu toka nimefika duniani.!!
Tatizo lake kubwa “HAJIAMINI”
Yani ni mtu ambaye always ana mashaka, visirani na gubu.!!
Anahubiri vitu ambavyo yeye haviishi.!!
Sipendi kuingia sana deep ila ni mwanaume hajui anachokitaka.

Unaweza ukaongea na mtu kawaida ila yy akajipa tafsiri tofauti, amejaa malalamiko km Gen z wa Kenya.!!
Lakini upande wake ni mshenzi nikianza kuweka mitabia yake ntajaza saver.!!
Kwaiyo kama kweli una tatizo husika haupo tayari kubadilika kwa sababu mwanaume wako hajiamini?

Weka pembeni kigezo cha confidence ya mwanaume, wewe mwenyewe hauna akili ya kutambua ninachoambiwa ni kweli natakiwa kubadilika?

Kama kigezo ni confidence ya mwanaume akitokea mwanaume ambae anajiamini akakushawishi ufanye jambo ambalo ni kinyume na moral codes zako mfano anal sex, je utakubali kwa sababu umeshawishiwa na mwanaume anaejiamini?

Kwamba confidence ya mwanaume ndio determinant factor na wewe mwenyewe hauna akili ya kujua hili jema na hili baya?

Wanawake mna akili timamu mnajua jema na baya acheni hii tabia ya kumbebesha mwanaume jukumu la ku-adapt na kuzibadilisha misbehaves zenu.
 
Sijui kwanini nimesoma comments zote halafu nimeona kati yenu wanaume wote mliocomment hamna mwenye moral authority ya kukosoa “tabia za wanawake” kwasababu naona tunafanana tabia. 😀😀

Most of you ni cry babies, emotional little men, and what not!

Wanawake tuna matatizo kweli, so y’all guys! hebu jikosoeni basi!

Kuna wanaume nawafahamu, wakikosoa tabia za wanawake sitakuwa na tatizo nao…..

I said what i said, niko makumbusho mje mnipigie.
Mshaanza kupuuzwa hakuna mwanaume mwenye muda wa kutumia nguvu au akili kubwa kwa malaya ambae amefuata hela tu. Tunajua ego yenu ishakua kubwa, hamuwezi kukubali kuweka silaha chini na kurudi kwenye miiko ya mwanamke wa kiafrika. Harakati za kuwa-empowered zimewapumbaza kiasi cha kujivika thamani na ungangari ambao hamna.

Kwa sasa mnaweza mkajiona ni washindi kwa sababu bado kuna kundi kubwa la nice guys na simps ambao wanawafanya muendelee kuamini mwanaume hafurukuti kwenye himaya yenu lakini hii trend ya redbill inayoendelea kusambazwa mitandaoni nakuakikishia mabinti zenu watakuja kukutana na kizazi cha wanaume wasiokua na huruma hata chembe kwa mwanamke.

Stay tuned.
 
Mshaanza kupuuzwa hakuna mwanaume mwenye muda wa kutumia nguvu au akili kubwa kwa malaya ambae amefuata hela tu. Tunajua ego yenu ishakua kubwa, hamuwezi kukubali kuweka silaha chini na kurudi kwenye miiko ya mwanamke wa kiafrika. Harakati za kuwa-empowered zimewapumbaza kiasi cha kujivika thamani na ungangari ambao hamna.

Kwa sasa mnaweza mkajiona ni washindi kwa sababu bado kuna kundi kubwa la nice guys na simps ambao wanawafanya muendelee kuamini mwanaume hafurukuti kwenye himaya yenu lakini hii trend ya redbill inayoendelea kusambazwa mitandaoni nakuakikishia mabinti zenu watakuja kukutana na kizazi cha wanaume wasiokua na huruma hata chembe kwa mwanamke.

Stay tuned.
Ngoja nikwambie... Kwasababu either uko slow sana au umezaliwa juzi hivyo haujui wanawake TUMEPUUZWA toka lini, Miongo na miongo wanawake tumepuuzwa kwa kila kitu, mbona sasa tuko PAZURI? Huku kupuuzwa na kuaminishwa we belong to the bedroom and home ndio kuliwafanya seniors wetu wakakae beijing wajadili namna gani ya kumrescue huyu mwanamke kutoka kwa WAMILIKI WA ULIMWENGU.

We unazungumzia harakati? Dunia is full of harakati and agendas, na sisi wanawake tunayo yakwetu inaitwa Feminism. Na humo ndani tumeungwa mkono na wanaume ambao wametambua kuwa nao ni wamiliki wa mabinti hivyo hawana budi kutengeneza dunia salama kwaajili ya wanawake "kimfumo"

Kwahivyo, usishangae na hiyo harakati yenu tukawaunga mkono sababu hata sisi wanawake tunamiliki watoto wa kiume, Now you know how the world works....

Katika kupuuzana huku, bado watu wanapendana, wanaoana, wanaachana, wanapendana tena na kuachana tena and the circle goes ndivyo dunia ilivyo, Punguza hasira uishi na ufanye harakati zako vizuri. Dunia haisimami wala haimsubiri mtu.

Hapo nilipobold we mwenzetu mgumba?
 
Ndio maana nikaikataa kauli uliyoitumia kwamba tuishi na nyie kwa akili. Ninachotaka kusema kwamba wote muwajibike ku-apply akili zenu, shida ni kwamba mnahalalisha misbehaves zenu kwa kisingizio kwamba mwanaume ameshindwa kuku-handle
Wewe mgumu kuelewa, km unajiamiani ni kichwa kwanini mwanamke akuyumbishe?
Wanaume wengi ni waoga na hamjiamini.!!
 
Wanawake mnayo hiyo tabia ambayo wewe umeionesha.

Yani mwanamke kama unamrekebisha juu ya jambo fulani,yeye mwanamke anaweza akaacha kukubali kurekebishika kwa kisingizio tu cha kwamba mbona yeye mwenyewe ana hili,ana lil na lile,yaani wanawake mna million of excuses pale ambapo mnapewa oda ya kubadilika.

Sasa kama yeye ana madhaifu yake basi yanakuzuia nini wewe kubadilika kama kweli umejiona una matatizo hayo unayoambiwa ?

Wanawake ni wengi akili ni fupi sana,ndio maana the best way ya kuishi na mwanamke ni kuwa wewe mfalme na yeye awe kama mtumishi,mwaamke lazima aendeshwe kimfumo dume.

Hatakiwi akuzowee to the extent mpaka tena anaanza kujudge oda za mume,lazima awe na mipaka,lazima ajue misimamo yako.

ALways mwanamke anatakiwa afuate utaratibu wa mumewe na sio aje na utaratibu wake.

AKili kwa tafsiri nyingine ni Nguvu,ukiwa na akili basi una nguvu,hivyo tunapoambiwa tuishi na mwanamke kwa akili basi tujue nguvu nayo ni sehemu ya akili.
Kwahiyo unatumia nguvu kuendesha husiano lako? 😹😹
Lazima kikulambe, mwanamke ukitaka asikuelewe kabisaa basi tumia nguvu.!!

Na kwanini unalazimisha mwanamke wako awe malaika lakini wewe ubaki shetani??!
Tatizo lenu wanaume aina yako “Hamjiamini”
 
Ngoja nikwambie... Kwasababu either uko slow sana au umezaliwa juzi hivyo haujui wanawake TUMEPUUZWA toka lini, Miongo na miongo wanawake tumepuuzwa kwa kila kitu, mbona sasa tuko PAZURI? Huku kupuuzwa na kuaminishwa we belong to the bedroom and home ndio kuliwafanya seniors wetu wakakae beijing wajadili namna gani ya kumrescue huyu mwanamke kutoka kwa WAMILIKI WA ULIMWENGU.

We unazungumzia harakati? Dunia is full of harakati and agendas, na sisi wanawake tunayo yakwetu inaitwa Feminism. Na humo ndani tumeungwa mkono na wanaume ambao wametambua kuwa nao ni wamiliki wa mabinti hivyo hawana budi kutengeneza dunia salama kwaajili ya wanawake "kimfumo"

Kwahivyo, usishangae na hiyo harakati yenu tukawaunga mkono sababu hata sisi wanawake tunamiliki watoto wa kiume, Now you know how the world works....

Katika kupuuzana huku, bado watu wanapendana, wanaoana, wanaachana, wanapendana tena na kuachana tena and the circle goes ndivyo dunia ilivyo, Punguza hasira uishi na ufanye harakati zako vizuri. Dunia haisimami wala haimsubiri mtu.

Hapo nilipobold we mwenzetu mgumba?
Mate huyo ndio kanishangaza eti TUMEPUUZWA 😂😂😂
Humu JF nyuzi nyingi za malalamiko ni kuhusu wao wanaume kulaumu wanawake.!!
Sasa kitu unachokipuuza kwanini kikukoseshe amani muda wote unakiongelea??
Mimi nawaambia tatizo lao kubwa HAWAJIAMINI
 
Matokeo yake heshima inaondoka.

Mtu anataka kuoa lazima we spy,ajue huyo demu ana hadhi gani mtaani kama ni adabu ama mshenzi.

Ila vijana wa sasa hatutaki,tunasema kuoa ni kuweka mkono gizani,wakati huo kuna tochi ila hatuzitaki tochi bado tunang'ng'ana na usemi kuoa ni kutia mkono gizani.

Ambaye atachunguza wapi anaoa basi anapunguza kero nyingi sana kwemye ndoa yake.
Unaweza kuoa mwanamke mtiifu ila mitabia yako ikambadilisha, unapotamani kuishi na malaika kwanza jitazame wewe pia malaika??
 
Kwaiyo kama kweli una tatizo husika haupo tayari kubadilika kwa sababu mwanaume wako hajiamini?

Weka pembeni kigezo cha confidence ya mwanaume, wewe mwenyewe hauna akili ya kutambua ninachoambiwa ni kweli natakiwa kubadilika?

Kama kigezo ni confidence ya mwanaume akitokea mwanaume ambae anajiamini akakushawishi ufanye jambo ambalo ni kinyume na moral codes zako mfano anal sex, je utakubali kwa sababu umeshawishiwa na mwanaume anaejiamini?

Kwamba confidence ya mwanaume ndio determinant factor na wewe mwenyewe hauna akili ya kujua hili jema na hili baya?

Wanawake mna akili timamu mnajua jema na baya acheni hii tabia ya kumbebesha mwanaume jukumu la ku-adapt na kuzibadilisha misbehaves zenu.
Confidence na Anal sex vinahusiana vipi??
Mwanaume anayejiamini hawezi kuongelea mambo ya hovyo, hizo tabia ni za watu wasiojiamini.!!

Wewe naona unashindwa kunielewa au unafanya kusudi ili kuficha mapungufu yenu.!
Kila mtu ana mapangufu yake lakini wewe mwanaume usiwe kigezo cha kujifanya malaika kulazimisha mkeo abadilke wakati wewe huna mabadiliko.
 
Kwahiyo unatumia nguvu kuendesha husiano lako? 😹😹
Lazima kikulambe, mwanamke ukitaka asikuelewe kabisaa basi tumia nguvu.!!

Na kwanini unalazimisha mwanamke wako awe malaika lakini wewe ubaki shetani??!
Tatizo lenu wanaume aina yako “Hamjiamini”
Mwanaume hatumii nguvu,anataka atafuata hataki unaachana nae,why nitumie nguvu uanayoifikiria wewe wakati naweza kupata wengine wengi watakaoweza kutii amri zangu ?😁😁

Mwanaume hatumii nguvu unaypijua wewe kwa mwanamke,anampa maelekezo akiyaweza anafanya hayawezi unaachana nae.

SIfa moja ya mwanaume ni kuwa na machaguo mengi ya wanawake.

Nguvu ni Amri,kuwa straight to the point na sio kulea upumbavu wa mwanamke,aspokuwa tayari mlango upo wazi aende zake.

Akili ni kujua wapi nitumie nini,kuna maeneo lazima utumie nguvu am amri na kuna maeneo you just applying diplomacy.

SAsa kama unadhani nguvu ni kupiga mafimbo na magumi mimi sina comment
 
Mwanaume hatumii nguvu,anataka atafuata hataki unaachana nae,why nitumie nguvu wakati naweza kupata wengine wengi watakaoweza kutii amri zangu ?😁😁

Mwanaume hatumii nguvu kwa mwanamke,anampa maelekezo akiyaweza anafanya hayawezi unaachana nae.

SIfa moja ya mwanaume ni kuwa na machaguo mengi ya wanawake.
Sasa km mna machaguo yote hayo kwann mnalalamika??
Hata wanaume pia mpo wengi 😹😹
 
Sasa km mna machaguo yote hayo kwann mnalalamika??
Hata wanaume pia mpo wengi 😹😹
😁.
tunaonesha utaratibu ambao tunao,ndio maana wanawakw mnaambiwa hamujui kusikiliza wala kusoma maelekezo na kuyaelewa.

Mfano mzuri ni wewe😁
 
😁.
tunaonesha utaratibu ambao tunao,ndio maana wanawakw mnaambiwa hamujui kusikiliza wala kusoma maelekezo na kuyaelewa.

Mfano mzuri ni wewe😁
Mimi mwanaume wa kuniendesha awe MWANAUME KWELI 😂😂😂
Km wewe hivyo ulivyo hata makofi nakuwasha km hujiamini ohhh.!!
 
Mimi mwanaume wa kuniendesha awe MWANAUME KWELI 😂😂😂
Km wewe hivyo ulivyo hata makofi nakuwasha km hujiamini ohhh.!!
🤣.

Mimi ukinipiga makofi sikurudishii nakuwacha tu,kupigana na mwanamke ni kudhihirisha kwamba unalingana nae uwezo.

The best ni kumuwacha akupige then mimi najua nitakupiga wapi HAYO MAKOFI.😁
 
Back
Top Bottom