World Bank 2021: Kenya yaongoza duniani kwa ufukara uliopitiliza

Kenya ndio nchi pekee wananchi wanakufa na njaa halafu serikal haipeliki msaada.
 
Nchi kukaa Lockdown mwaka mzima lazima wawe mafukara
 
Nchi kukaa Lockdown mwaka mzima lazima wawe mafukara

Si lakini walipata hela za mabeberu kwa ajili ya kujifungia ndani? Wawagawie hizhizo wananchi ili nao wapate afueni ya maisha. Siyo viongozi tu ndiyo wagawane.
 
40% of 52 million Kenyans is 20 million people. Compare and contrast with Tanzania's figures from the same World Bank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…