Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 18,216
- 12,774
Debating with a Tanzanian ni kazi kweli na inahitaji mshahara wa aina yake. Yani hivyo ndivyo mnavyofundishwa? Kwamba 40% ukiround off inakuwa 50%. π π πAya, more than 40%, ukiround off ni kama 50% tu, but Mahn, 17% higher kuwashinda Zimbabwe? [emoji44][emoji23].
Aloo mko na hali mbaya sanaa
Wewe kweli ni zuzu.
Hiyo figure hata ukiweka hiyo 50% that you desperately want it to be bado inakupa tu 26 million people. Compare that with 28 million people living in extreme poverty in Tanzania. Sasa hali mbaya iko wapi kati ya Kenya na Tanzania ukitumia hizi figures mbili to make comparison? Nyani kawaida haonangi kundule