World Bank 2021: Kenya yaongoza duniani kwa ufukara uliopitiliza

World Bank 2021: Kenya yaongoza duniani kwa ufukara uliopitiliza

Aya, more than 40%, ukiround off ni kama 50% tu, but Mahn, 17% higher kuwashinda Zimbabwe? [emoji44][emoji23].
Aloo mko na hali mbaya sanaa
Debating with a Tanzanian ni kazi kweli na inahitaji mshahara wa aina yake. Yani hivyo ndivyo mnavyofundishwa? Kwamba 40% ukiround off inakuwa 50%. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wewe kweli ni zuzu.

Hiyo figure hata ukiweka hiyo 50% that you desperately want it to be bado inakupa tu 26 million people. Compare that with 28 million people living in extreme poverty in Tanzania. Sasa hali mbaya iko wapi kati ya Kenya na Tanzania ukitumia hizi figures mbili to make comparison? Nyani kawaida haonangi kundule
 
Debating with a Tanzanian ni kazi kweli na inahitaji mshahara wa aina yake. Yani hivyo ndivyo mnavyofundishwa? Kwamba 40% ukiround off inakuwa 50%. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wewe kweli ni zuzu.

Hiyo figure hata ukiweka hiyo 50% that you desperately want it to be bado inakupa tu 26 million people. Compare that with 28 million people living in extreme poverty in Tanzania. Sasa hali mbaya iko wapi kati ya Kenya na Tanzania ukitumia hizi figures mbili to make comparison? Nyani kawaida haonangi kundule
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, hawa watu wamechoka deadlyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…, just leave them, hawasaidiki., wako ovyo kishenziπŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa unaandika takataka humu. Nenda kanywe chang'aa huko kibera
Ona ulivyo clueless, hauna pointπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…, teseka pole pole, hautopata any point to argue here, ni kiswahili tuπŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, unapata taabu sana, punguza hasiraπŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜‚
 
Nadhani ukiweka in terms of % ndio Kenya inaongoza, haiwezekani report iseme kwamba Tanzania hakuna mafukara au Kenya ina mafukara watupu; mafukara wapo every country in this world but ukiweka kwa % ndio hapo sasa WB wanasema Kenya inaongoza.
Kwa Kenya hata mimi ni shahidi, jamaa kiuchumi (kwa maana ya mtu mmoja mmoja ) Tanzania tupo mbali sana kuliko wao
Of course mpo mbali sana kutuliko na tunataka muendelee tu vivyo hivyo. Nafasi ya tatu bora kwenye jedwali la ufukara hapa Africa hatutawahifika. Congratulations guys!
PhotoGrid_1605162481588.jpg
 
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, hawa watu wamechoka deadlyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…, just leave them, hawasaidiki., wako ovyo kishenziπŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani nimecheka sana. Eti 40% ukiround off inakuwa 50%. πŸ˜‚ πŸ˜‚ No wonder they cross over to Kenya in search of quality education. Matokeo ya Saint Kayumba ndio hizi tunaona hapa
 
Yani nimecheka sana. Eti 40% ukiround off inakuwa 50%. πŸ˜‚ πŸ˜‚ No wonder they cross over to Kenya in search of quality education. Matokeo ya Saint Kayumba ndio hizi tunaona hapa
Pia hiyo report ya world bank hawakusoma wamekurupuka na some sensational article, hawa watu maze hawasaidikiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Debating with a Tanzanian ni kazi kweli na inahitaji mshahara wa aina yake. Yani hivyo ndivyo mnavyofundishwa? Kwamba 40% ukiround off inakuwa 50%. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wewe kweli ni zuzu.

Hiyo figure hata ukiweka hiyo 50% that you desperately want it to be bado inakupa tu 26 million people. Compare that with 28 million people living in extreme poverty in Tanzania. Sasa hali mbaya iko wapi kati ya Kenya na Tanzania ukitumia hizi figures mbili to make comparison? Nyani kawaida haonangi kundule
Kwa upungufu wao wote, walichopungukiwa zaidi Watanzania ni somo la hisabati 🀣 🀣 .
 
Debating with a Tanzanian ni kazi kweli na inahitaji mshahara wa aina yake. Yani hivyo ndivyo mnavyofundishwa? Kwamba 40% ukiround off inakuwa 50%. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe kweli ni zuzu.

Hiyo figure hata ukiweka hiyo 50% that you desperately want it to be bado inakupa tu 26 million people. Compare that with 28 million people living in extreme poverty in Tanzania. Sasa hali mbaya iko wapi kati ya Kenya na Tanzania ukitumia hizi figures mbili to make comparison? Nyani kawaida haonangi kundule
So we're arguing abt 40 and 50 %. That's just exaggeration like y'all do it, de article says more than 40%, sasa more than 40% si karibu tu na 50%.
Worse enough ni 17% higher kuwashinda Zimbabwe.
Linchi lenu kuna umaskini mkubwa sana, sijui mnapata wapi guts za kujibu huku.
 
Debating with a Tanzanian ni kazi kweli na inahitaji mshahara wa aina yake. Yani hivyo ndivyo mnavyofundishwa? Kwamba 40% ukiround off inakuwa 50%. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wewe kweli ni zuzu.

Hiyo figure hata ukiweka hiyo 50% that you desperately want it to be bado inakupa tu 26 million people. Compare that with 28 million people living in extreme poverty in Tanzania. Sasa hali mbaya iko wapi kati ya Kenya na Tanzania ukitumia hizi figures mbili to make comparison? Nyani kawaida haonangi kundule
Use the relative figure instead of absolute one to get mood on ground.
 
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hawa watu wamechoka deadly[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28], just leave them, hawasaidiki., wako ovyo kishenzi[emoji28][emoji23][emoji23]
Hatujachoka kama Kenya mazee, nyinyi ni maskini sana, jokes aside, kuwazidi Zimbabwe? Zimbabwe? De poorest in sadc. Mkae kimya tu, mnajiaibisha na English yenu
 
Yani nimecheka sana. Eti 40% ukiround off inakuwa 50%. [emoji23] [emoji23] No wonder they cross over to Kenya in search of quality education. Matokeo ya Saint Kayumba ndio hizi tunaona hapa
Nobody crosses over now, it's 2021.
Wewe cheka na umaskini wenu kuwashinda Zimbabwe.
 
Pia hiyo report ya world bank hawakusoma wamekurupuka na some sensational article, hawa watu maze hawasaidiki[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti Hatujasoma tumekurupuka, ona hii ngombe, wewe article ulosoma inasemaje.
 
View attachment 1765812

Kiongozi Mzalendo anavyoguswa na wanaoteseka.
Come 2022, Ruto for presidency.
Hoja zikikutoka kichwani sasa ni kukurupuka na picha.Basi Naibu Rais Ruto kapigwa picha na bibi kama kashikilia bakuli.hii ina uhusiano gani kitakwimu na mada?Itabidi sasa tuwe tunatumia kiswahili maana naona kiingereza kimemewazidi si siri
 
Back
Top Bottom