NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Zimbabwe ambayo ni middle income wakati Tanzania ni LDC ndio unasema ni poorest in SADC?π€£π€£π€£Hatujachoka kama Kenya mazee, nyinyi ni maskini sana, jokes aside, kuwazidi Zimbabwe? Zimbabwe? De poorest in sadc. Mkae kimya tu, mnajiaibisha na English yenu
Hoja zikikutoka kichwani sasa ni kukurupuka na picha.Basi Naibu Rais Ruto kapigwa picha na bibi kama kashikilia bakuli.hii ina uhusiano gani kitakwimu na mada?Itabidi sasa tuwe tunatumia kiswahili maana naona kiingereza kimemewazidi si siri
Wacha kuhamisha goli kisa kua umechengwa eleza jinsi picha ulioiweka hapo juu inavyo wiana na takwimu.wacha blah blah za kanipiga kisa kua sikua nimevua shatiKama kula yako ni ya kusua sua, wewe ni masikini. Kwa hiyo kwenye ile takwimu na wewe umo.
Wacha kuhamisha goli kisa kua umechengwa eleza jinsi picha ulioiweka hapo juu inavyo wiana na takwimu.wacha blah blah za kanipiga kisa kua sikua nimevua shati
Poorest are these people. Extreme poverty mnatambulikaUmezoea nn msee, poorer than de poorest in sadc.
Mzee jiwe alipokea nchi yetu ikiwa na 9.7 percent maskini lakini hadi anaondoka kwenda kuwa mkuu wa malaika masikini walikuwa asilimia 27.2. Kwa maana nyingine tushiwapita Zimbabwe kwa umaskini wenye 23. Angejaa mitano tena tungefikia aslimia 60. Ashukuriwe Mungu kwa kutuondolea Kayafa huyoReport mpya ya world bank inasema Kenya yaongoza katika nchi zenye ufukara wa kutisha, huku ikibainisha kwamba zaidi ya 50% ya wakenya wote wanaishi kwenye umaskini wa kutosha.
Report inaenda mbele zaidi na kudai hata Zimbabwe ina hafueni ukilinganisha na aina ya ufukara unaopatikana Kenya, wakati huo huo Newport kutoka WB hiyo hiyo inadadavua katika kipindi cha corona zaidi ya wakenya million 4 wametupwa kwenye ufukara ambao awali hawakuwepo.
View attachment 1764693View attachment 1764694
Two different things and it's 2021 rememberPoorest are these people. Extreme poverty mnatambulika View attachment 1765870
Ona hii, Tz sio LDC tena, alafu it's 2021Zimbabwe ambayo ni middle income wakati Tanzania ni LDC ndio unasema ni poorest in SADC?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tz was demoted back to LDC. Uko dunia gani wee?Ona hii, Tz sio LDC tena, alafu it's 2021
Mzee, according to WB we are mid income, hao imf watz tunawajua since nyerere's Era, na iyo report yao inatambuliwa na haters kama nyinyi, inawapea orgasm wakunya that you are better than us, whilst you're the poorest hapo kwa category ya mid income, poorer than Zimbabweans, yani mko hapo mkiani, above the red line, [emoji23], that's vry bad, mlikuwaga above Zimbabwe, what happened.Tz was demoted back to LDC. Uko dunia gani wee?
Tanzania Demoted back to LDC Status
Tanzania has been demoted back to an LDC country according to the Regional Economic Outlook Report published by IMF in October 2020. The membership of countries reflects the most recent data on per capita gross national income (averaged over three years) and the World Bank, Country Policy and...www.jamiiforums.com
Fanya leta tangible source, tuisome, sababu jiwe anasingiziwa mengi sana lately, ilhali amefanya mengi tunayoyaona.Mzee jiwe alipokea nchi yetu ikiwa na 9.7 percent maskini lakini hadi anaondoka kwenda kuwa mkuu wa malaika masikini walikuwa asilimia 27.2. Kwa maana nyingine tushiwapita Zimbabwe kwa umaskini wenye 23. Angejaa mitano tena tungefikia aslimia 60. Ashukuriwe Mungu kwa kutuondolea Kayafa huyo
Hivi nyinyi Watanzania hudhania kila mtu ako na nia ya kuwafinyilia chini? Yani IMF iachane na miinchi kama Uchina, Marekani, Ufaransa, Japani et al ianze kupotezewa usingizi na Tanzania ambayo uchumi wake haufikii 1/3 hata wa kitown kimoja kidogo cha USA kama Austin hivi? π€£ π€£ π€£Mzee, according to WB we are mid income, hao imf watz tunawajua since nyerere's Era, na iyo report yao inatambuliwa na haters kama nyinyi, inawapea orgasm wakunya that you are better than us, whilst you're the poorest hapo kwa category ya mid income, poorer than Zimbabweans, yani mko hapo mkiani, above the red line, [emoji23], that's vry bad, mlikuwaga above Zimbabwe, what happened.
Mdada, masikini wa Tanzania ana unafuu mara mia kwa masikini wa kenya failed state.Wanafurahiaga kusikia TZ tupo HoheHaded. Sijui wakoje jiraniz
Hiyo ni ripoti ya October last year (2020) meaning it's so recent. Tuletee yako ya 2021 inayoonyesha the situation has improved.Two different things and it's 2021 remember
Tatizo ni kwamba mnakubaliana na data za IMF na World Bank pale tu Tanzania inapotajwa in a positive way. Lakini mambo yakiwa kinyume, wanakua mabeberu. Mko na shida sana watanganyikaMzee, according to WB we are mid income, hao imf watz tunawajua since nyerere's Era, na iyo report yao inatambuliwa na haters kama nyinyi, inawapea orgasm wakunya that you are better than us, whilst you're the poorest hapo kwa category ya mid income, poorer than Zimbabweans, yani mko hapo mkiani, above the red line, [emoji23], that's vry bad, mlikuwaga above Zimbabwe, what happened.
Hivi nyinyi Watanzania hudhania kila mtu ako na nia ya kuwafinyilia chini? Yani IMF iachane na miinchi kama Uchina, Marekani, Ufaransa, Japani et al ianze kupotezewa usingizi na Tanzania ambayo uchumi wake haufikii 1/3 hata wa kitown kimoja kidogo cha USA kama Austin hivi? π€£ π€£ π€£
Alafu tuletee hiyo ripoti yako ya World Bank maanake Wabongo mnajulikana kwa kutoelewa maripoti vizuri na kurukia tu mnaposikia Kenya imetajwa pabaya.
2017 versus 2021 π€£π€£π€£π€£Bado unadandia hii propagandaπππππ, pole pambana na hali yenyu bro., Hapa mtachukua mda kutoka, your brains ziko slow sana!
View attachment 1765341
2017? π€£π€£ππ€£π€£π€£40% of 52 million Kenyans is 20 million people. Compare and contrast with Tanzania's figures from the same World Bank
View attachment 1765571View attachment 1765571