World Bank cancels LDC Tanzania missions over safety concerns and human rights violations

Jamaa anajifanya hajui maana ya failed state. Kwa sasa wanataka kuuza mashirika yao kufidia badget alafu anadai hajui maana ya failed state. Huyu zuzu wa korogosho hanaga point hata sikumoja.
 
Brah brah nyingi😂😂😂😂 Hivi unataka kusema tanzania hakuna viwanda vya viberti?? It seems mnatumia old stone tools kuwashia moto.... Ukiangalia mashilika yalio binafsishwa nakushindwa kufanya kazi Magifuli kayaludisha serikalini. Ukianza na TTCL pamoja na TRC. Usiongee tu kwa sababu unajua kuongea.
 
 
Am Tanzanian but I hate this Tanzanians leaders they don't have any future to this nation # makonda supposed to be sacked
 
Korea Kaskazini wao nafuu maana wana viwanda vyao vya ndani, hawa wenzetu hadi sindano wanaagiza, yaani mzungu akipiga chafya wanajamba.....
N.Korea pia wamezingirwa na marafiki tajiri kama vile Uchina na Urusi. Hawa LDC wamezingirwa na LDCs kote ispokuwa kaskazini waliko Wakenya ambao wamewafanya maadui. Little brains are very dangerous.
 
TB..Joshua alitutabilia mabaya ila hatukumuelewa tu mapema.
 
Kwani Kenya kuna kiwanda kimebakia kwa umma?
 
Kama yatupate sababu ya kuukana ushoga,Mungu atutie nguvu.hatuwezi chekea wabanduliwa mikundv.
Umezaliwa ushoga umeukuta upo tu. Na hautaweza ukemea wala umaliza hata siku moja. Mambo mengne ni kututoa nje ya reli. WB wamezungumzia mambo menginzaid ya ushoga.
 

Duh! Mwanzi1
 
Umezaliwa ushoga umeukuta upo tu. Na hautaweza ukemea wala umaliza hata siku moja. Mambo mengne ni kututoa nje ya reli. WB wamezungumzia mambo menginzaid ya ushoga.
Wewe kwa sasa huna malinda. Upo hapa unatetea ajira yako kupitia WB. Lipi la ziada wamelisema WB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…