World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

Na ukitegemea kuna faida zitokanazo na kuwa LDC, hii inaweza ikawa ni habari mbaya kwao
 
Hongera watanzania sio hongera JPM
Tumepata nini sisi?
Hongera kwake yeye anayefaidika kisiasa.
 
Soma hii comment [emoji23][emoji23][emoji23]
Cicero,
Huu ni uongo mtupu. Dunia itapasuka katikati kabla ya hili kufanyika.
Wana wivu wa kijinga mnoo.
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

1. Denial

2. Negotiation

3. Acceptance

Na huwa wanapita hzo hatua kwa kasi ya umeme [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huyo ni kundi fulani huku Tz tunaita Nyumbu. Kazi yao ni kupinga tu.
 

Mkuu kwanza shukrani kwa kutambua kwamba kwenye baadhi ya mambo nna uelewa japo kidogo.
Pili, sibishi chochote hapa Kaka, naomba nifupishe maneno kwa kusema kwamba, malengo ya WB na UN siku zote ni kulinda maslahi ya wenyewe. Kwa muktadha huo, watawapamba na kulingana na wao wanataka kitu gani na endapo maslahi yao hayaathiriki. Naweza kuwa siko sahihi ila kwa kuwa nimefanya nao kazi muda mrefu, huo ndio mtazamo wangu.

Hapa tulitakiwa tuwe tunajadili sababu gani au vigezo vipi vimetufikisha hapo, na je, ukuaji huo wa uchumi unafika kwa wananchi? Kuna namna tunaweza ongeza zaidi ufanisi wa utendaji kuendelea kufanya vizuri zaidi? Kuna hatari ya kuporomoka endapo baadhi ya mambo hayatachukuliwa umakini unaostahili? Nnachostaajabu hoja imekua tutawapita Kenya, mara hamtuwezi, mtasalimu amri n.k tumelewa sifa.

Unakumbuka China wamewahi kukataa kwa nguvu zote ukuaji wa uchumi wao kukua kwa kasi kiasi cha kuwa hatarishi kwa US?

Ni sawa na mtu aniambie niko smart wakati nauelewa uwezo wangu na lengo lake ni kutaka anitumie kwa manufaa yake. (Itategemea ana malengo gani na anatumia vigezo vipi).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…