World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

Shida huwa ni population..ukiweza kukua kuliko population yako then Middle income...gawanya 62bil usd kwa _58mil tanzanians utapata around 1080usd..sasa tukiweza kukuza GDP na pop.ikabaki almost stable..then tutamaintain status...
Ethipoia ana GDP kubwa ila population nayo ni kubwa inafanya abaki kwenye 980usd...

We need either to grow much much our gdp control pop growth

Hapo suluhisho ni kuongeza uzalishaji tu na kuimarisha sekta zote za kiuchumi. Hakuna haja ya ku conrol population growth.

Population growth kuwekwa katika kipimo cha GDP ni janja ya kuzuia ukuaji wa watu. Na ndio maana nchi nyingine zinafanya sensa feki na kutoa idadi ya population ambayo sio sahihi ili kuonekana wana GDP kubwa. Kuna ka nchi fulani masikini ikiko jangwani na kanchio kadogo tu ila kina population ya 55million people, ila kwenye sensa yao feki wanasema wako na watu 47million.[/QUOTE]🤣🤣🤣..unajua pia..kuwa stable currency against USD inasaidia toka magu aingie Tzs haijayumba sana..kama kipindi cha nyuma..imagine Tzs ilitoka 1100 hadi 2000 ndani ya miaka kumi
 
Hapo suluhisho ni kuongeza uzalishaji tu na kuimarisha sekta zote za kiuchumi. Hakuna haja ya ku conrol population growth.

Population growth kuwekwa katika kipimo cha GDP ni janja ya kuzuia ukuaji wa watu. Na ndio maana nchi nyingine zinafanya sensa feki na kutoa idadi ya population ambayo sio sahihi ili kuonekana wana GDP kubwa. Kuna ka nchi fulani masikini ikiko jangwani na kanchio kadogo tu ila kina population ya 55million people, ila kwenye sensa yao feki wanasema wako na watu 47million.
🤣🤣🤣..unajua pia..kuwa stable currency against USD inasaidia toka magu aingie Tzs haijayumba sana..kama kipindi cha nyuma..imagine Tzs ilitoka 1100 hadi 2000 ndani ya miaka kumi
[/QUOTE]

Kabisa, kuwa na stable currency kunasaidia ukuaji wa uchumi na kudhibiti mfumuko wa bei. Hili limewezekana kwa udhibiti uliofanyika katika maduka ya kubadilishia fedha. Na jinsi sasa BOT inapowekeza kwenye kuhifadhi madini kwenye reserve yake ndio shilingi itazidi kuwa imara na himilivui dhidi ya USD.
 
Ni wimbo nimeusikia tangu kuijua Tanzagiza.

SGR Dar to Morogoro ilikuwa ifunguliwe November 2019 , one year later bado tunangoja. [emoji16]
Sgr yetu ni kisu cha ngariba wewe endelea kuvuta subira hapo kibera station ya dar inakuja soon tuone na hizo za kichina
Dar station inameremeta kama tanzanite sikuizi mmepunguza kusema inatisha baada ya kuona picha zake hivi majuzi
 
Nimeingia kwenye hio website ya World Bank. Nimefurahi sana kuona World Bank wameshabadilisha Tanzania kutoka LDC hadi MIC kwa website yao. Kwa hivyo ni rasmi kuanzia leo kuwa TZ ni middle income country. Swali langu moja ni je mbona serikali yenu imekaa kimya, haipigi makelele ili dunia nzima ifahamu kuwa nyie sio watoto tena ili kuvutia investors. Hapa Kenya serikali yetu na media zetu zinajua kujipigia debe. Nyie endeleeni kulala tu.
 
Kaka wewe ni mmoja wa Watanzania ambao huwa naona wana akili hata kwenye kupanga hoja zao, na nikijadili na watu kama wewe huwa inabidi niweke pembeni mambo ya ligi na kuvuta aerial ili tuendane vizuri, ila hapa najaribu nikuelewe nashindwa nini haswa unachobishia, utawalaumu vipi wale watoa mikopo, wao hushinikiza itumiwe vizuri lakini hawana uwezo wa kuja kukagua tofali kwa tofali, hilo sio jukumu lao.
Mimi nimefanya miradi kadhaa iliyogharamikiwa na Benki kuu ya dunia (WB), walikua wanatuma wakaguzi mara moja moja kufanya high level survey, na kila tukikamilisha tulikua tunawapa reports, ila hawakua na uwezo kuingia kwenye kila kitu kukagua, ilikua jukumu la maafisa wa serikali kuhakikisha ubora wa miradi yenyewe sio WB.
Sasa hapo unakuta hao maafisa kwanza wanapiga hela kupita maelezo na hamna mwenye jeuri ya kuwahoji. Lakini upande wa pili miradi yenyewe ilikua na umuhimu mkubwa kwa jamii.
Wewe ni kipofu nikitazama nchi yenu ninaona damu tena ninaona nchi zaidi ya moja yaani kunasiku Kenya itagawanyika kama sudani
Hivyo sijui kama uchaguzi wa 2022 utakuwa na amani ,, shika haya maneno yangu
 
Nimeingia kwenye hio website ya World Bank. Nimefurahi sana kuona World Bank wameshabadilisha Tanzania kutoka LDC hadi MIC kwa website yao. Kwa hivyo ni rasmi kuanzia leo kuwa TZ ni middle income country. Swali langu moja ni je mbona serikali yenu imekaa kimya, haipigi makelele ili dunia nzima ifahamu kuwa nyie sio watoto tena ili kuvutia investors. Hapa Kenya serikali yetu na media zetu zinajua kujipigia debe. Nyie endeleeni kulala tu.

Habari zetu nyingi huwa tunapenda majirani zetu watangaze. Kama walivyoshadadia COVID tunataka na hii waitangaze pia😂😂
 
Shida huwa ni population..ukiweza kukua kuliko population yako then Middle income...gawanya 62bil usd kwa _58mil tanzanians utapata around 1080usd..sasa tukiweza kukuza GDP na pop.ikabaki almost stable..then tutamaintain status...
Ethipoia ana GDP kubwa ila population nayo ni kubwa inafanya abaki kwenye 980usd...

We need either to grow much much our gdp control pop growth

Hapo suluhisho ni kuongeza uzalishaji tu na kuimarisha sekta zote za kiuchumi. Hakuna haja ya ku conrol population growth.

Population growth kuwekwa katika kipimo cha GDP ni janja ya kuzuia ukuaji wa watu. Na ndio maana nchi nyingine zinafanya sensa feki na kutoa idadi ya population ambayo sio sahihi ili kuonekana wana GDP kubwa. Kuna ka nchi fulani masikini ikiko jangwani na kanchio kadogo tu ila kina population ya 55million people, ila kwenye sensa yao feki wanasema wako na watu 47million.[/QUOTE][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ni kweli kabisa mkuu
 
Leo tarehe moja mbona hakuna hiyo issue.. hata kwenye web ya wolrd bank hakuna.

Je ni uzushi?
 
Leo tarehe moja mbona hakuna hiyo issue.. hata kwenye web ya wolrd bank hakuna.

Je ni uzushi?
[emoji116][emoji116]
Screenshot_2020-07-01-12-40-52.jpeg
 
Leo tarehe moja mbona hakuna hiyo issue.. hata kwenye web ya wolrd bank hakuna.

Je ni uzushi?
Kuwa makini kabla ya kulalamika kila wakati. Rudi nyuma kasome post nambari 185 ya Meela Gift. Amekuwekea link ya World Bank ambayo inaonyesha wazi World Bank wamebadilisha TZ kutoka Ldc hadi Mic. Jifunze saa zingine kuclick link na kusoma. Link haipo hapo kwa sababu ya mapambo. Uvivu wa kusoma ndio unayo.
 
Kuwa makini kabla ya kulalamika kila wakati. Rudi nyuma kasome post nambari 185 ya Meela Gift. Amekuwekea link ya World Bank ambayo inaonyesha wazi World Bank wamebadilisha TZ kutoka Ldc hadi Mic. Jifunze saa zingine kuclick link na kusoma. Link haipo hapo kwa sababu ya mapambo. Uvivu wa kusoma ndio unayo.
Icho kidonge kinawafaa watu wote wanaopotezea kusoma link humu jf nakuualiza maswali yakuchosha
 
Kuwa makini kabla ya kulalamika kila wakati. Rudi nyuma kasome post nambari 185 ya Meela Gift. Amekuwekea link ya World Bank ambayo inaonyesha wazi World Bank wamebadilisha TZ kutoka Ldc hadi Mic. Jifunze saa zingine kuclick link na kusoma. Link haipo hapo kwa sababu ya mapambo. Uvivu wa kusoma ndio unayo.
Kweli kabisa hata mm nilimuelewa kwmb ni mvivu kusoma na ndiyo maana nika screen shot nimuwekee picha.
 
Nimeingia kwenye hio website ya World Bank. Nimefurahi sana kuona World Bank wameshabadilisha Tanzania kutoka LDC hadi MIC kwa website yao. Kwa hivyo ni rasmi kuanzia leo kuwa TZ ni middle income country. Swali langu moja ni je mbona serikali yenu imekaa kimya, haipigi makelele ili dunia nzima ifahamu kuwa nyie sio watoto tena ili kuvutia investors. Hapa Kenya serikali yetu na media zetu zinajua kujipigia debe. Nyie endeleeni kulala tu.
Kizuri chajiuza kibaya chajitangaza ,sisi siyo kama nyinyi mlijipendekeza kutolewa kundi LA chini sisi hata hakukuwabembeleza na serikali ilisema tutatoka 2023 hivi ,,,,Mara PA!!!!! Tumetoka kwa kasi ya hapa kazi tu
 
Kuwa makini kabla ya kulalamika kila wakati. Rudi nyuma kasome post nambari 185 ya Meela Gift. Amekuwekea link ya World Bank ambayo inaonyesha wazi World Bank wamebadilisha TZ kutoka Ldc hadi Mic. Jifunze saa zingine kuclick link na kusoma. Link haipo hapo kwa sababu ya mapambo. Uvivu wa kusoma ndio unayo.
Icho kidonge kinawafaa watu wote wanaopotezea kusoma link humu jf nakuualiza maswali yakuchosha
 
Wewe ni kipofu nikitazama nchi yenu ninaona damu tena ninaona nchi zaidi ya moja yaani kunasiku Kenya itagawanyika kama sudani
Hivyo sijui kama uchaguzi wa 2022 utakuwa na amani ,, shika haya maneno yangu
Hii ni reasoning ya 1980s hata hivyo Tanzania ya Sasa ni Kenya ya 80s kwahivyo nakuelewa kwa fikra zako duni.
 
Back
Top Bottom