Kwangu mimi huwezi kuniambia kitu nikakuelewa kuhusu uchumi wa kwenye makaratasi, mm nataka nione vitu kwa macho yangu, wkt wa Jk hzo takwimu kila zilipokuwa zikisomwa raia walikuwa wakilalamika kwamba uchumi unakuwa mbn hatuuoni, maji safi shida huduma za afya shida, usafiri shida, serikalini nidhamu hakuna, gepu la tajiri na maskini linazidi kuongezeka, lkn sasa hivi huwezi msikia mwananchi akilalamikia takwimu cz anaona yanafanyika na ana hope kwamba soon mambo yatazd kuwa poa, hizo ni kanuni za kiuchumi kwmb kuna transition period wkt mnajenga uchumi wa kweli perhaps unajua ila unataka kupoteza watu maboya humu, infact Jpm anafanya vzr sn cz zile shida zilizotusumbua na kutukera WaTz zote zimebaki kenya na sidhani kama zitaondoka.