Uchaguzi 2020 World Bank yapitisha Mkopo wa Zaidi ya Trillion 1 Uliopingwa na Wanasiasa pamoja na Wanaharakati

Yani Mwalimu umeshindwa hata kuelewa hii Project na namna inavyopaswa kutekelezwa! Zitto kaibuka MSHINDI, alichopigania ni kuhakikisha watoto wakike wanapata elimu bila kujali changamoto za mimba. Kwenye taarifa ya WB imeeleza content ya hii project vizuri kuwa ni watoto kupata elimu bila kujali changamoto zozote (This project will support better quality secondary education, while helping make school a safer place where children can thrive, and where all girls, no matter the circumstances, have a pathway to complete their secondary education). Hiki ndiyo kilikuwa kilio cha Zitto & watu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Mwalimu sijamuelewa baadhi ya vitu vingi
 
Kuna akili ipi ya kuelewa neno fedha za ndani we kiazi? Jiwe alikuwa anaropoka maneno ili aonekane kapandisha uchumi, bila kijua kwamba anaowaongopea walikuwa mjini kabla yake.
You can rig election votes but you can't rig economic data. Lazima zikuumbue tu
 
Ww acha hizo, Tz ni donor country, siyo maskini, ofcourse ww huwezi elewa sasa ila baadae kama Mungu atakujalia maisha utaelewa in near future! Tunaweza kuukataa kama tulivyoikataa misaada mingi mingine...soma historia rafiki uelewe!
Endelea kujidanganya na Jiwe wenu. Mtamaliza miaka 10 SGR haijafika hata Makutopora
 
Hao waliohusika kuandaa muongozo huu wanatakiwa wajitathmini kama kweli hizi sio akili za kushikiwa!
Unaongea kana kwamba hao waandaa miongozo ni malaika vile, mengine huwa ni mambulula tu na hupelekea hata kuharibu mfumo mzima wa elimu! Hivi mmesahau yule waziri wa elimu mwenye asili ya kikenya akishirikiana na wenzie walivyoikoroka elimu ya tz kipindi chao! Majitu mengi yakichaguliwa kukaa na kutengeneza miongozo huwa yanakimbilia posho tu! Na hata nafasi hizo muda mwingine huwa zinatolea kwa upendeleo, wanaachwa vipanga yanapelekwa kujadiri mambulula na matokeo yake ndio kama haya...upuuuzi tupu!
 
Mie nakubaliana na mawazo na msimamo wa dhati wa Magu ktk hili! Haifai kuwachanganya wazazi na wanafunzi, haijakaa sawa hata kidogo hii! Walioandaa upuuzi huo wajitathmini vichwa vyao!
 
Hivi ndivyo vinavyowafaa wazazi(wanaopata mimba shuleni) ili waweze kusapoti watoto wao na wao pia! Siyo kuwarudisha kwenye mfumo rasmi wa primary na secondary school!
 
Hivi povu lote hilo la nini?!

Huyo mtoto aliyepata mimba akiruhusiwa kuendelea na shule wewe au familia yako mnapungukiwa na nini?!

Ni kwamba una roho mbaya na hutaki kuona watoto wa maskini wakifanikiwa au hayo mapovu ni kwa sababu unataka kuendelea kumtetea Magufuli ambae hata mwenyewe na serikali yake wameshaufyata?!

Yaani upo tayari kuona watoto wa maskini wanaishia kuuza maandazi ili mradi tu Magu aonekane alikuwa sahihi ingawaje ni kinyume ni miongozo ya serikali?

Hivi kwa akili yako kuna mtoto wa mwenye nacho anayeweza kupata mimba na kuacha shule kifala namna hiyo wakati wazaz wake wana uwezo wa kwenda kuichoropoa hiyo mimba ikibidi hata nje ya nchi?!

Au hata kama wasipochoropoa, unaamini msimamo wa Magu wa kutaka wanafunzi wasirudi serikalini wao utawaathiri wakati uwezo wa kusomesha private wanao?!

Yaani upo tayari kuona kizazi cha maskini kinaendelea kuwa maskini kwa ajili ya kumtetea Magu?!

Yaani bila aibu unalinganisha suala la Mungai na suala la kumpa mtoto second chance?! Inaonekana uamuzi wa Mungai uliathiri elimu... huyo mtoto akipewa fursa ya kuendelea elimu inaathirika kwa namna gani hadi ufananishe na suala la Mungai?

Again, wewe kama wewe unapungukiwa na nini mtoto kama huyo akiendelea na masomo?!

Familia yako itapungukiwa na nini?

Kama una watoto, watoto wako watapungukiwa hao mabinti wakipewa second na ikibidi hata third to tenth chance?! Utapungukiwa na nini?!
 
Hivi ndivyo vinavyowafaa wazazi(wanaopata mimba shuleni) ili waweze kusapoti watoto wao na wao pia! Siyo kuwarudisha kwenye mfumo rasmi wa primary na secondary school!
Utamwaga sana mapovu lakini haitakusaidia kitu manake uamuzi ndo umeshapita!!! Yaani ulivyo-mind utadhani hiyo pesa unatoa wewe; aaaaaargh!! Yaani yote hiyo kwa sababu ya siasa... yaani povu lote hilo ni kwa sababu hutaki ionekane Magufuli alikurupuka, na kwa sasa ameshaufyata!!!
 
Sasa nani anayemwaga povu kati yangu na ww 😂 😂 😂 😂 😂 !
Sijasema wasiende shule, bali waendelee na shule ktk utaratibu mbadala! Na kwa taarifa yako, wanaopata mimba sio watoto wa maskini tu! Hiyo unaisema roho mbaya sijui, utetezi wa Magu...hayo yote hayana mashiko! Nachosema ni makosa makubwa sana kuwachanganya wanafunzi watoto pamoja na wazazi kusoma pamoja! Hata mazingira siyo rafiki tena kwa wazazi kusoma kupitia mfumo rasmi! Ipo mifumo mbadala ambayo wazazi hao wanaweza pitia na kufikia malengo yao! Kinachotakiwa ni kuiboresha mifumo mbadala! Sijui kwa nini !nang'ang'ania tu wazazi wajichanganye na watoto? Na hamuoni madhara ya taarifa mtakayokuwa mnatuma kwa watoto wa shule!
 
Mie nakubaliana na mawazo na msimamo wa dhati wa Magu ktk hili! Haifai kuwachanganya wazazi na wanafunzi, haijakaa sawa hata kidogo hii! Walioandaa upuuzi huo wajitathmini vichwa vyao!
Usiseme wazazi na wanafunzi,sema wanafunzi waliozaa na ambao hawajazaa!
Halafu tumia tafiti,je kuna madhara gani kufanya hivyo?Sio kuendeshwa kwa hisia tu!
 
Tutaupitia upya mchako mzima, ili kurudisha maadili mashuleni, haya ndio madhara ya kuwaachia mataga na mapoyoyo kutunga sera na taratibu zinazoathiri taifa!
Tutafanya referendum soon! Tuone kama maamuzi haya yanakubarika na watz waliowengi au kuna majuha wachache walikaa na kutusukumia utaratibu wa kipuuzi! Kwa kuwaachia watu wa sampuli hii kufanya maamuzi yanayoathiri taifa zima ipo siku mtakuja jikuta mnalazimishwa kuukubali ushoga na kuuheshimu!
 
Usiseme wazazi na wanafunzi,sema wanafunzi waliozaa na ambao hawajazaa!
Halafu tumia tafiti,je kuna madhara gani kufanya hivyo?Sio kuendeshwa kwa hisia tu!
Acha upuuzi, ww umefanya utafiti gani wa madhara yatakayotokea tukiamua kutekeleza upuuzi huo!
Eti usiseme wazazi, kwani mtu aliyezaa huitwaje? Hebu toa upuuzi wako, hao ni wazazi wanafunzi, na wale ni watoto wa shule! Huwezi kuwaweka pamoja bika kufundishana elimu nyingine hapi shule!!
 
Whether namtetea Magu kwa jinsi ufahamu wako ukutumavyo au naelezea mambo ambayo uwezo wako kwa sasa ni mdogo sana kuelewa, hayo siyo muhimu kwa sasa! Sina tatizo na hiyo fedha, ninatatizo na future ya watoto wa kike nchini ukitekeleza utaratibu unaowaonyesha kutokuwa na tangible consequences za kubeba mimba kama kupoteza nafasi ya mfumo rasmi wa shule, ukiacha yale yanayoweza kumuathiri kibiologia!
Sitaki hata kuwaza kizazi gani tutakachokuwa tunatengeneza(kizazi cha watoto wazazi)
 
Marekani (US) yaiasa Benki ya Dunia: "Tanzania isipewe mkopo wa maendeleo ya elimu kwa wakati huu, bado kuna masuala yanahitajika kuwekwa sawa kwanza" - JamiiForums

Jr[emoji769]
 
Kenya na Uganda wanawaruhusu,kuna madhara gani yametokea?
Kuzaa hakuwaondolei utoto wao,acha upuuzi!
 
Changa la Macho, hii ndio kuingizwa chaka la miba makalamata
Mnajua RIBA ni kiasi gani?
Hawa World Bank NI WAJANJA WA DUNIA HII
CHOO CHA KIKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…