World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

nimeielewa vizuri sana mkuu ufafanuzi lakini bado sheria ina utata na itafanyiwa kazi.nashukuru mungu imetokea na ndio itaweza kujadiliwa manake miaka yote hio sijawahi kuona kitu kama hiki ni vizuri dunia imeiona.

kumbuka kipa kaenda kucheza mpira sio kwamba katoka bila sababu kama ni hivyo wa mruhusu huyo mchezaji kudaka kama anageuka kuwa keeper.

Kaazi kwelikweli. Hi sheria sio kwamba imeanza leo, imekuwepo kwa muda sasa. Tatizo ni kwamba mashabiki hamjishugulishi kuzifahamu sheria vizuri. Kwenye TV za wenzetu watangazaji walisema mara moja kuwa mwamuzi yupo sahihi na akatoa maelezo kwanini. Hii inaonesha kuwa wanazifahamu sheria za mchezo.

Sipati picha kama hii inatokea kwenye mechi ya Simba na Yanga halafu mashabiki wenyewe ndio kama akina wenger, Patakuwa hapatoshi ha ha ha!!!
 
Kaazi kwelikweli. Hi sheria sio kwamba imeanza leo, imekuwepo kwa muda sasa. Tatizo ni kwamba mashabiki hamjishugulishi kuzifahamu sheria vizuri. Kwenye TV za wenzetu watangazaji walisema mara moja kuwa mwamuzi yupo sahihi na akatoa maelezo kwanini. Hii inaonesha kuwa wanazifahamu sheria za mchezo.

Sipati picha kama hii inatokea kwenye mechi ya Simba na Yanga halafu mashabiki wenyewe ndio kama akina wenger, Patakuwa hapatoshi ha ha ha!!!

Kipa ndo anahesabika mchezaji wa mwisho. kwa hiyo ukiwa mbele ya kipa hata kama wachezaji wako 10 basi umeotea
 
Heheh sasa huyo mchezaji akidaka penati itatolewa au haitotolewa? Hii sheria ina kautata kidogo ndio zile sheria zinajifiaga zenyewe baada ya mashindano.

offside is all about POSITIONING na sio DUTIES za players,nina maana ingawa wamechange who is last/2nd last from goal line lakini kipa anabaki kuwa kipa na mchezaji wa ndani anabaki kuwa mchezaji wa ndani.......
sheria hii haijatungwa kwa ajili ya mashindano haya tu,ilikuwepo infact ndio tafsiri ya offside.....tatizo ni mimi na wewe tulikuwa hatuijui coz hatukuwahi kuona hii scenario kwenye mechi nyingi tulizoangalia,ndio maana yule linesman haku-hesitate hata kidogo na pundits wote niliokuwa nawasikiliza hamna hata mmoja alieshangaa wala kuhoji hii decision,in fact mwisho wa mechi wao walikuwa impressed sana na competence ya huyu linesman.
 
Kipa ndo anahesabika mchezaji wa mwisho. kwa hiyo ukiwa mbele ya kipa hata kama wachezaji wako 10 basi umeotea

UR COMPLETELY WRONG,unaweza kuwa mbele ya kipa kama kuna 2 or more players inline with you or infront of u(in relation to goal line) thats not an offside position.
NB:sheria ya offside haisemi KIPA inasema OPPONENT(S) read carefully
A player is in an offside position if:
  • he is nearer to his opponents' goal line than both the ball and the second last opponent

A player is not in an offside position if:
  • he is in his own half of the field of play
  • he is level with the second last opponent
  • he is level with the last two opponents
 
Kaazi kwelikweli. Hi sheria sio kwamba imeanza leo, imekuwepo kwa muda sasa. Tatizo ni kwamba mashabiki hamjishugulishi kuzifahamu sheria vizuri. Kwenye TV za wenzetu watangazaji walisema mara moja kuwa mwamuzi yupo sahihi na akatoa maelezo kwanini. Hii inaonesha kuwa wanazifahamu sheria za mchezo.

Sipati picha kama hii inatokea kwenye mechi ya Simba na Yanga halafu mashabiki wenyewe ndio kama akina wenger, Patakuwa hapatoshi ha ha ha!!!
mkuu watu tunaeleweshana na sijasema kwamba sheria haikuwepo kabla lakini tuna ruhusiwa kuhoji sheria kwani imetungwa na binadamu kama sisi tu.
 
he is level with the second last opponent
hapa ndio ilipotuchanganya manake akilini tulikuwa tumeshazoea wachezaji wa ndani tu ukiwa nao sawa ukiwatoa makipa,leo tumejifunza manake tukio kama hili ni mara chache sana kutokea.

kwa maoni yangu nadhani kidogo inatunyima raha ya mpira kwenye tukio kama la leo.
 
Ufaransa wanaweza kuleta upinzani mkubwa katika kundi hili kwa sababu kuna wazoefu!
 
Uruguay hao...




_48056671_uruguaylineup.jpg



Haya wapenzi na washabiki wa kandanda tuna dakika chache kabla ya mchezo huu kuanza.
 
wandugu........tutafungua THREAD NGAPI kama kila game mnafungu thread???nauliza tu.......naomba tufungue one thread....LIVE WC GAMES...
 
wale waliokuwa wana mtetea huyu kocha wa ufaransa wako wapi? leo sasa mteteeni tena kwa kumueka bench malouda kumuanzisha Diaby.
 
wandugu........tutafungua THREAD NGAPI kama kila game mnafungu thread???nauliza tu.......naomba tufungue one thread....LIVE WC GAMES...

lile jukwaa la asubuhi la mechi ya mexico ndio libadilishwe jina iandikwe hio "live wc games" hili tuendelee pale.
 
Kila mechi na topiki yake ,kwa mnaotumia webu ,mnatizamia wapi ??? VVV/Urgent mechi zimeanza kupungua na sijaona isipokuwa kwenye maandishi tu
 
Kila mechi na topiki yake ,kwa mnaotumia webu ,mnatizamia wapi ??? VVV/Urgent mechi zimeanza kupungua na sijaona isipokuwa kwenye maandishi tu
pole sana mkuu,mie naangalia kwenye tv lakini jaribu hii website atdhe.net,iraqgoals.net.
 
Back
Top Bottom