RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
]Kila mechi na topiki yake[/B] ,kwa mnaotumia webu ,mnatizamia wapi ??? VVV/Urgent mechi zimeanza kupungua na sijaona isipokuwa kwenye maandishi tu
not necessary
nyumbani
unamaanisha nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
]Kila mechi na topiki yake[/B] ,kwa mnaotumia webu ,mnatizamia wapi ??? VVV/Urgent mechi zimeanza kupungua na sijaona isipokuwa kwenye maandishi tu
Hehehe Domenech ameshajichokea lol...!!
Ufaransa wanaweza kuleta upinzani mkubwa katika kundi hili kwa sababu kuna wazoefu!
wale waliokuwa wana mtetea huyu kocha wa ufaransa wako wapi? leo sasa mteteeni tena kwa kumueka bench malouda kumuanzisha Diaby.
Watu wana offline mentality utafikiri wako katika printing press.
Kila mechi na thread yake.
pole sana mkuu,mie naangalia kwenye tv lakini jaribu hii website atdhe.net,iraqgoals.net.
Link hii hapa sina uchoyo kama wengine walivyo ,yaani hata hapa mnaleta uhaini ?? Duh wabongo noma ile mbaya !! Haya kafaidikeni na hii link pengine ikaconvert hapa hapa na tukaona kwa pamoja
Watch Live Football | Online Streaming | World Cup 2010 For Free
Kila mechi na topiki yake ,kwa mnaotumia webu ,mnatizamia wapi ??? VVV/Urgent mechi zimeanza kupungua na sijaona isipokuwa kwenye maandishi tu
Nadhani anakosa 1 ijayo, sina hakika.Ndiyo anakosa mechi mbili au tatu?