Mpaka sasa sijaona timu ya kutwaa ubingwa hapa..Labda tuone Oranje, Brazil na Spain watatuonesha potential gani.
BTW: Where's Zidane nowadays mkuu?
Leo siku ya Messi nini?
Mpaka sasa sijaona timu ya kutwaa ubingwa hapa..Labda tuone Oranje, Brazil na Spain watatuonesha potential gani.
Alibanwa huyo leo.
Ngosha,Kweli kabisa Mpemba........Hawa Argentina nao wabovu tu kama France........Nigeria wamecheza vizuri sana dakika 25 za mwisho haa baada ya kuingia Peter na Obafemi...Argentina wachovu tu.........Ngoja tuwaangalie Orange,Spain na Brazil.........Na kwa mbaaaaaaaaaali Portugal na England...........
Mpemba...Unaizunguziaje game ya England na US....Mie naona kaa US wanashinda vile
Nafikiri Enyama alikuwa amepewa maelekezo vizuri jinsi mguu wa kushoto wa messi anavyoutumia na mipira yake inavyokwenda.
USA wanashinda leo bana....England wachezea kichapo aisee
usa wanashinda leo bana....england wachezea kichapo aisee
Ndio nakwambia mimi, kuna thread nyingi tu........akiniruhusu naweza weka hapa timu alizotabili lakini ikawa kinyume.....achilia ile ya stars na Brazil, ambayo alitabili....alijitaidi kwelikweli....sorry Balantandanashukuru kusikia unatabiri/unataka usa ishinde....maana yake watafungwa kwa rekodi yako nzuri....lol
.......USA watapata kichapo tu leo, England wapo juu kwa soccer.
green,johnson,terry,king,cole,gerrard,lampard,milner,lenon,rooney,heskey.......hio ndio timu ya leo ya england....hii naona imekaa ki-mbiombio tu tutegemee very high pace game