BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
- Thread starter
- #421
Mpaka sasa sijaona timu ya kutwaa ubingwa hapa..Labda tuone Oranje, Brazil na Spain watatuonesha potential gani.
Ujue hizi ni mechi za mwanzo tu kadri mashindano yanavyoendelea baadhi ya timu zinaweza kuongeza kiwango chao cha uchezaji na hata ufungaji wa magoli. Pamoja na matokeo ya leo bado Argentina ni moja ya timu ambazo zinapewa nafasi kubwa kuutwaa ubingwa. Na hizi ni mechi nne tu bado kuna mechi nyingi tu katika raundi ya hii ya kwanza.