World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

kwahizi dk chache tu nilizoona,hii mechi ni nzuri sana....hopeful waamuzi hawataharibu........
 
sijui kwa nini kila siku tupo tofauti? hivi ni kwa nini?

Mwone Shekh Yahaya anaweza kukusaidia kufanya mahesabu ili kujua kama nyota zenu zinapatana au kama nyie ni mahasimu! Ili usithubutu kupita kwenye mitaa yake!
 
Hata hawa wareno watakukatisha tamaa zaidi ha ha ha


Tusubiri Mkuu...si ulisema mpira huwa unadunda?...hivyo unaweza kudunda kinamna leo na Spain wakaaga mashindano.
 
wewe umeuona wapi acha kunichuuza bwana,ila uniambie pm sio jamvini!..au umeufananisha na wa mamsapu wako,kama hivyo ana usafiri mzuri!!..
Leo naona upo Portugal,una hatari kijana!!

Kuna mtu alishawahi kuutumia kwenye Avatar yake hapa jamvini lakini sitamtaja.
 
hahahahahahaha umeona eh! lol una macho kweli Mkuu....basi we endelea tu kushangaashangaa na hiyo avatar wakati sisi tunaendelea na mpira...kukiwa na goli tutakushtua lol!

Unatazamaga ile commercial ya budweiser?...'the old goalie distraction trick'...ndio mambo yenyewe hayo.

Hata hivyo nimerudisha macho kwenye runinga maana memsap yupo ubavu wa pili..najaribu kumfanya awe shabiki wa soka toka WC iaanze....Kisha pia anapenda kutupia macho humu JF nikitundika mipicha eti...:biggrin1:

Jana kaniuliza vp ile picha ya yule demu wa Brazil niliomwasilishia Arsene Wenger????.
 
Vuvuzela leo ni balaa kelele mtindo mmoja sijui wamelipwa! Agggrrrrrrrrrrr
 
wanachoniuzi mimi ni kwamba hii mipira si walikuwa wanatumia toka kwenye friendlies na qualifying stages?

Na kama hawakutumia basi utakuwa ujinga na kama ilitumika mda ulikuwepo wa kubadilisha badala ya kuwanufaisha adiddas.

I second your opinion AW....labda wanaogopa kuwaoffend waliotoa jina la Jabulani
 
Baby can have ile miguu ya Kizenji? hii nahitaji mawani ya Kapello loooh LOL


Mwambie Kapello akupatie lol! maana hahitaji kuona tena!

:horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
 
Back
Top Bottom