Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui kwa nini kila siku tupo tofauti? hivi ni kwa nini?
sijui kwa nini kila siku tupo tofauti? hivi ni kwa nini?
wewe umeuona wapi acha kunichuuza bwana,ila uniambie pm sio jamvini!..au umeufananisha na wa mamsapu wako,kama hivyo ana usafiri mzuri!!..
Leo naona upo Portugal,una hatari kijana!!
hahahahahahaha umeona eh! lol una macho kweli Mkuu....basi we endelea tu kushangaashangaa na hiyo avatar wakati sisi tunaendelea na mpira...kukiwa na goli tutakushtua lol!
:violin:sijui kwa nini kila siku tupo tofauti? hivi ni kwa nini?
duuuh casillas kacheza vizuri sana .jabulani liko powa tu wengine wazushi.
AW, hata FIFA nao ni wazushi?
FIFA acknowledges problems with Jabulani ball - International Football - Yahoo! Sports
:violin:
duuuh casillas kacheza vizuri sana .jabulani liko powa tu wengine wazushi.
Vuvuzela leo ni balaa kelele mtindo mmoja sijui wamelipwa! Agggrrrrrrrrrrr
:fencing:
wanachoniuzi mimi ni kwamba hii mipira si walikuwa wanatumia toka kwenye friendlies na qualifying stages?
Na kama hawakutumia basi utakuwa ujinga na kama ilitumika mda ulikuwepo wa kubadilisha badala ya kuwanufaisha adiddas.
Mwambie Kapello akupatie lol! maana hahitaji kuona tena!
Vuvuzela leo ni balaa kelele mtindo mmoja sijui wamelipwa! Agggrrrrrrrrrrr