klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hehehe mkuu una moyo kweli, mwenzako invizibo kaona hakieleweki kasepa, inawezekana kabisa ka log out bila kuaga.ha ha ha nipo na SPAIN mkuu bado, mashambulizi ya portugal ni kawaida ya mpira hayanitishi viile.